haikosi nyumba yenyewe ina harufu ya samadiNa wanalala kitanda kimoja?daaah huyu mwanaume anamoyo wa chuma
Watu aina ya mke wa mtoa mada hawarekebishiki. Ukikaa nae wiki moja tu unanyanyua mikono hata kama una uvumilivu kiwango cha juu. Kwanza kuoga mbinde mno.
Hahahaahhahahaahahahahaha Santeeeeeeeeeeeeeee lol namwonea huruma tu mke wa mtoa madaHapo la kwa kwanza akae azungumze nae,amueleweshe ,akiona hali mbaya haelewek na majib anayopewa mabovu,kiukwel hamna mwanamme anaependa kuishi na mwanamke mchafu anaenuka kama shombo na nyumba kunuka kama kidonda.
amtishie amwambie tu kua lazma apeleke ili suala kwa mama wa mwanamke ili ampe elmu juu ya usafi alaf aone atavoreact.amchukulie simple ivoivo akiona habadiliki hapo lazma achukue hatua..
Lazma akamueleze mzaz wa kike wa mwanamke ,na hamna mama anaetaka mwanae aishi maisha hayo ya uchafu lazma atamueleza na kumuelimisha kinagaubaga mwanae,ijiwezekana atamtafutia kungwi ili apate somo kdg,atabadilika taratibu.
still hajabadilika dawa yake mke wa pili tu mbn atajishuulikia bila kutaka uyo,atakua msafi kuliko ww mwanaume
Nasikitishwa sana na wanawake wanaoponda huyo make ya mtoa siredi
Mhmmhmhmhmh hio basi ni big problem kwakweli usafi kwa mwanamke ni automatic tu kwa jinsi miili yetu ilivo mhmmhmhmhmhmhmhmh! plus majukumu yetu ya nyumbani mhmmhmhmhmhmhmhmh
Bado watoto wetu mhmmhmhmhmhmhmhmh
Usafi hauepukiki kwakweli
Cc Smart911
🙂 🙂Pole, hiyo ni takataka sio mke, nadhani ulimuokota kwenye majalala. If she has already reached the age of maturity, you have little chance of changing her behaviors. Kama nilivyosema hilo ni takataka anza kuandaa mazingira ya kulirudisha kwao/ jalalani
Kuna wengine wanasingizia wamekaa sana boarding ndio maana hajui kazi,kuna tofauti ya kujua kufanya kazi na uchafu. Hebu fikiria mtu anavua underwear na kuitupia popote hata chini ya uvungu hapo kuitoa mpaka asikie uvundo mkalii,vyombo na watoto hali mbaya hata akiletewa housegirl hatadumu nae.
Mke atulie na uvivu wake mwisho dada wa kazi ajimilikishe mume