Sosinsa Unswe
Member
- Oct 30, 2016
- 91
- 76
Bro naomba nikuulize simple tu,una errect vizuri? Kama ni ndi nsjua una uwezo wa kusex,na una ejaculate? Kama yote hayo yanafanyika basi mtoto utapata.ni PM.
mkuu ni bora akapata ukwel wa sa hvi kuliko kuendlea kuish na matumaini ambayo hayawez kulete majibu ya leo aukesho.Ok...shida iliyopo ni kwamba mke wangu ni yatima mama na baba zake na wadogo zake walifariki zamani sana sasa naona hili litamfanya akose furaha
kula mbegu za maboga kama mwezi mzima asbh na jioni kisha tengeneza mtotoMimba utampa. Usipige punyeto had I December kula vizuri tulia. Akija tu pigs mzigo dry na mwaga humo humor mimba lazma apate
Pole sana,usimfiche,ni bora umwambie ukweli.Habari za mchana, Mimi ni Kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.
Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor ktk Hosp moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.
Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata Mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapo kuja.
Naombeni mnishauri nifanye nn juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kuzazi chake ila Mimi ndio kwenye tatizo.
Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.
Habari za mchana, Mimi ni Kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.
Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor ktk Hosp moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.
Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata Mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapo kuja.
Naombeni mnishauri nifanye nn juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kuzazi chake ila Mimi ndio kwenye tatizo.
Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.
Ninaerect vzr na Ninamwaga sijui tatizo ni nn.....anyway Nakuja PMBro naomba nikuulize simple tu,una errect vizuri? Kama ni ndi nsjua una uwezo wa kusex,na una ejaculate? Kama yote hayo yanafanyika basi mtoto utapata.ni PM.
haya maumivu unayojiskia sasa hivi ni kama yale ya mwanamke anayenyanyaswa akiwa hajapata ujauzito ndani ya ndoa yake .. maumivu ni makali sana na ukijumlisha na masimango ya mume na mawifi uwii halafu ukute chanzo ni mwanaume ambaye anaamini kuweza kudisa ndo kuweza kumpa mimba mwanamke hataki kupima ni kumdharau mwanamke tu dah huwa inaumiza kupita maelezoHabari za mchana, Mimi ni Kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.
Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor ktk Hosp moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.
Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata Mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapo kuja.
Naombeni mnishauri nifanye nn juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kuzazi chake ila Mimi ndio kwenye tatizo.
Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.