Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

Baelezee baelewe India wanapiga sana pesa mambo ya kupandikiza mimba kwa mbegu zako hizo hizo... na pia sikuhizi kuna watoto wa baba wawili mtu anaweza kukupa company mbegu
 
Njooni kwa Yesu anawapenda watu wakiolemewa na mizigo kama wwe hakika atakupumzisha
 
tumia dawa za kienyeji achana na habari za kisayansi mbn wanawake wakiwa hivyo hutumia dawa na kuimarisha kizazi chao
 
Wewe piga mashine brother. kama shahawa zinatoka, na wewe chukua likizo, jiandae kisaikolojia kwamba sasa unakwenda kupanda mbegu, kula vizuri hasa vyakula vyenye protini. Piga supu ya samaki tena ukipata sea foods ndio penyewe. usiogope wengi tumeona majabu uzeeni.
 
Habari za mchana,

Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor katika hospitali moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.

Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapokuja.

Naombeni mnishauri nifanye nini juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kizazi chake ila mimi ndio kwenye tatizo.

Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.
Usimwambie, ila ipo siku yeye atakwambia "BABY JIANDAE KUITWA BABA". Hapo ndo utajua kuwa hawa wenzetu co watu wa sportsports na kwanini Eden kona walianza kulifanya wao lkn adhabu kubwa tukapewa wanaume.
 
Usimwambie, ila ipo siku yeye atakwambia "BABY JIANDAE KUITWA BABA". Hapo ndo utajua kuwa hawa wenzetu co watu wa sportsports na kwanini Eden kona walianza kulifanya wao lkn adhabu kubwa tukapewa wanaume.
 
Njoo tuongee nikusaidie kupata mtoto mkuu maana ndio mkombozi wako huyo,hilo linawezekana tu in God we trust.
 
Habari za mchana,

Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor katika hospitali moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.

Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapokuja.

Naombeni mnishauri nifanye nini juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kizazi chake ila mimi ndio kwenye tatizo.

Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.
 
Habari za mchana,

Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor katika hospitali moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.

Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapokuja.

Naombeni mnishauri nifanye nini juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kizazi chake ila mimi ndio kwenye tatizo.

Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.

Mbona wataalamu wapo wa mambo hayo., sio ndumba ni dawa ya kutengeneza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom