Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

Pole sana kaka...kwanza badili hospital nenda kwa madaktari bingwa hata regency maana huwezi kuhitimisha kwa daktar mmoja...kitu cha pili mwambie ukweli mkeo atakuelewa tu kama ana utu sisi wanawake ni wavumilivu na ukimwambia ukweli mtaangaika wote kutafuta tiba pamoja na mungu atakusaidia jaribu na dawa za kihaya nasikia ni nzuri pole sana
 
Yah maana matatizo mengine yanatibika kwa mitishamba angesema tatizo
Ni kweli..huku pia kuna watu walishawahi kupata matatizo mbalimbal ila walipoyaweka wazi wakapata msaada na hatimaye kufanikiwa.
Mficha uchi hazai....
 
Ndio hicho nachoogopa..asante kwa ushauri
Kuna kaka mmoja naye aliambiwa kuwa ana case kama ya kwako baada ya kuishi na mkewe kwa miaka 5 bila kupata mtoto,walipimwa mwanaume akaambiwa sperms zake hazina uwezo wa kumimbisha,alianza kutumia dawa za miti shamba pamoja na vyakula vya protin alivyoshauriwa na wataalamu wa tiba mbadala..
Mwaka wa saba wa ndoa yake mke akabeba mimba,kuna baadhi ya watu wakawa wanasubiri kwa makini mtoto atakayezaliwa kwani walihisi kuwa labada wametafuta sperm donor..
Mungu si Athumani, mtoto na baba yake ni copy and paste... Na kwa sasa wana watoto wawili...
Kwa nasaba hawa wanandoa wananiita mama. So ni watu nawafahamu vizuri.

Mtoa mada rudia vipimo, tafuta na tiba mbadala, zingatia lishe bora... Kuwa na subira, ipo siku Mungu atakubariki.
 
Kuna kaka mmoja naye aliambiwa kuwa ana case kama ya kwako baada ya kuishi na mkewe kwa miaka 5 bila kupata mtoto,walipimwa mwanaume akaambiwa sperms zake hazina uwezo wa kumimbisha,alianza kutumia dawa za miti shamba pamoja na vyakula vya protin alivyoshauriwa na wataalamu wa tiba mbadala..
Mwaka wa saba wa ndoa yake mke akabeba mimba,kuna baadhi ya watu wakawa wanasubiri kwa makini mtoto atakayezaliwa kwani walihisi kuwa labada wametafuta sperm donor..
Mungu si Athumani, mtoto na baba yake ni copy and paste... Na kwa sasa wana watoto wawili...
Kwa nasaba hawa wanandoa wananiita mama. So ni watu nawafahamu vizuri.

Mtoa mada rudia vipimo, tafuta na tiba mbadala, zingatia lishe bora... Kuwa na subira, ipo siku Mungu atakubariki.
N kweli mitishamba inasaidia sometym
 
Pole sana kaka...kwanza badili hospital nenda kwa madaktari bingwa hata regency maana huwezi kuhitimisha kwa daktar mmoja...kitu cha pili mwambie ukweli mkeo atakuelewa tu kama ana utu sisi wanawake ni wavumilivu na ukimwambia ukweli mtaangaika wote kutafuta tiba pamoja na mungu atakusaidia jaribu na dawa za kihaya nasikia ni nzuri pole sana
Asante kwa ushauri
 
Pole sana kaka...kwanza badili hospital nenda kwa madaktari bingwa hata regency maana huwezi kuhitimisha kwa daktar mmoja...kitu cha pili mwambie ukweli mkeo atakuelewa tu kama ana utu sisi wanawake ni wavumilivu na ukimwambia ukweli mtaangaika wote kutafuta tiba pamoja na mungu atakusaidia jaribu na dawa za kihaya nasikia ni nzuri pole sana
Kinachoniumiza kichwa ni kuwa huyu mwenzangu kabaki peke yake hana ndugu hata mmoja wa tumbo mmoja....sasa hii kisaikolojia Utakuwa mtihani Mkubwa sana
 
Sikiliza kijana, nenda hospitali za nje, maana siku hizi hata kama una produce sperms chache sana wana uwezo wa kuzipandikiza na ukapata mtoto, huyo Dr. Asikukatishe tamaa.
Asante kwa ushauri.....Hosp za nje changamoto ni kipato....lakini ntapambana hadi mwisho.
 
Wanasema mbegu zangu ni weak hazina uwezo wa kumimbisha.
Pole sana,kuwa na iman utapona tatzo lako mkuu. Chamuhm maombi kwa Mungu na kuzingatia lishe ya vyakula vya asili na matunda. Usisahau pia kufanya mazoez ila yasiwe magum sana.
Pia kumbuka kwenda kupima kwa daktari mwingine ili kujiridhisha zaidi.
 
Kaka pole sana, ila binafsi nilitamani ungeweka wazi tatizo lako pengine hospital hawawezi kulitibu lakini kuna matibabu mbadala yanaweza badiri mstakabali wako. Mke wako ni wako mueleze ukweli na mtafute namna ya kulimaliza tatizo kwa pamoja
 
Pole bt utakavyomwambia mkeo hakikisha had mamako anajua kama uez na mawif ili wasianze kumcmamnga... Maana hao ndo uwa wanawacmanga mno sasa ili wanyamaze kimya wajue nn wew....
Ngoja npambane kwanza kutafuta tiba ikushindikana ntawashirikisha.
 
Habari za mchana, Mimi ni Kijana wa miaka 30 nimeoa miaka miwili iliyopita na nampenda sana mke wangu.
Nimejaribu kumpa mimba mke wangu kwa miaka 2 hiyo lakini imeshindikana, ilinibidi niende kwa doctor ktk Hosp moja hapa jijini lakini baada ya vipimo ilionekana sitoweza pata Mtoto maishani mwangu, nimeumizwa sana na hili tatizo.
Ninahitaji ushauri kama nimwambie mke wangu juu ya hili au nikae tu kimya? Ikumbukwe kwamba tupo mikoa tofauti kwa ajili ya majukumu ya kikazi na yeye kapania sana kupata Mtoto December hii kwamba kajiandaa kuchukua likizo ili abebe mimba atakapo kuja.
Naombeni mnishauri nifanye nn juu ya hili maana yeye hana tatizo lolote kwenye kuzazi chake ila Mimi ndio kwenye tatizo.
Nipo tayari kushauriwa hata kukejeliwa pia.
niwajuavyo wanawake ni heri ufiche tu,lasivyo ukiamua kumwambia basi uwe na uwezo wa kifedha angalau atatulia la sivyo hutaishi kwa amani hata punje
 
Kaka pole sana, ila binafsi nilitamani ungeweka wazi tatizo lako pengine hospital hawawezi kulitibu lakini kuna matibabu mbadala yanaweza badiri mstakabali wako. Mke wako ni wako mueleze ukweli na mtafute namna ya kulimaliza tatizo kwa pamoja
Dr aliniambia kuwa sperm ziko weak....hapo sasa nilichanganyikiwa kiasi nilishindwa kuhoji vzr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom