Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,911
- 95,097
Tena wivu wa kipumbavu.Bora tamaa kuliko kua na wivu km wako
Tena wivu wa kipumbavu.Bora tamaa kuliko kua na wivu km wako
Tatizo nyie waswahili wa Pwani mnaridhika na vitu vidogo, Mwinyi ana miaka 100 Lowasa 64 nani mdogo? kufa hata kama una siku moja utakufa, sisi wakristo tunafundishwa kutafuta mpaka tone la mwisho.Huyo Lowassa siyo jiwe ana damu na nyama atakufa tu kama mimi na wewe. Mnatakiwa kuwa mnaandaa warithi siyo kukomalia vizee vinavyotakiwa kulea wajukuu nyumbani
Nchi hii ikiwa na watu wenye akili na mawazo kama yako...baada ya miaka mitano tu maneno ya Trump yatatimia. Tutatawaliwa tena upya na wakiloni.Namhurumia kama binadamu mwenzangu tu " UTU" hebu fikiria mtu ambaye kushika microphone wakati wa kampeni alikuwa hawezi, na yeye eti anajifanya mwanaharakati kweli " Wonders shall never cease"
- Kutafutiana lawama tu mzee, pumzika
Namshauri kwasababu ana shida kubwa kuliko mimiMkuu Mkaruka 'umeshatatuliwa' ile shida yako ya pesa kidogo uliyokuwa unaomba au unahangaika tu kumshauri mtu anayechagua alale nyumba ipi na atoke na gari ipi?
Lakini siyo kutafuta kwa WIZI, DHULMA, UTAPELI, UWONGO na UZUSHITatizo nyie waswahili wa Pwani mnaridhika na vitu vidogo, Mwinyi ana miaka 100 Lowasa 64 nani mdogo? kufa hata kama una siku moja utakufa, sisi wakristo tunafundishwa kutafuta mpaka tone la mwisho.
Kama itavyokuua weweTamaa ilimuua mzee fisi
Hapana mkuu, mimi naona kama wewe ndio mwenye shida zaidi maana hata vishida vyako vidogo vidogo unakuja kuomba utatuzi kwa wanajamii forum!Namshauri kwasababu ana shida kubwa kuliko mimi
- Mimi nina shida ya pesa ila yeye ana shida nyingi na kubwa kuliko mimi
Kaa na uvivu wa Pwani, Dar nzima mmekimbia mji watu wa kuja ndiyo wamejaa hapo, huku watu wanatafuta life hata kama ana miaka 120.Lakini siyo kutafuta kwa WIZI, DHULMA, UTAPELI, UWONGO na UZUSHI
Mbona mshatawaliwa na ukoo wa MteiNchi hii ikiwa na watu wenye akili na mawazo kama yako...baada ya miaka mitano tu maneno ya Trump yatatimia. Tutatawaliwa tena upya na wakiloni.
Hivi kwanini Lowasa anaandamwa hivi na vyombo vya dola? Nini amekosa hata kutishiwa uhuru wake wa kutoa maoni? Kusema wale masheikh wa uamsho waachiwe ni uchochezi? Kweli? Hili jini linaloitwa uchochezi ambalo dola imelifungia kwenye chupa na inalilea iko siku litapasua chupa na kumeza watoto wa Tanzania. Watanzania hawahoji sasa lakini siku hiyo watapiga mayowe na itakuwa too late. Uganda ya Idd Amin ilianza hivi.Jamani, kwenye maisha siyo kila unachotaka utakipata, tamaa mbaya
- Mtu kachuma tangu utoto, kakwiba, lakini bado anakomaa tu
- Tamaa Mbaya Mzee Pumzika
Bora mimi ninaeomba JF yeye anaomba mpaka kwa WAMACHINGA, WAPIGA DEBE, MAMA N'TILIE na MABODABODA.Hapana mkuu, mimi naona kama wewe ndio mwenye shida zaidi maana hata vishida vyako vidogo vidogo unakuja kuomba utatuzi kwa wanajamii forum!
Jamani, kwenye maisha siyo kila unachotaka utakipata, tamaa mbaya
- Mtu kachuma tangu utoto, kakwiba, lakini bado anakomaa tu
- Tamaa Mbaya Mzee Pumzika
Nani kasema kazi ya wazee ni kulea wajukuu? Kama baba yako anaelea wajukuu unataka kila mzee afanye hiyo kazi ya kulea wajukuu?Huyo Lowassa siyo jiwe ana damu na nyama atakufa tu kama mimi na wewe. Mnatakiwa kuwa mnaandaa warithi siyo kukomalia vizee vinavyotakiwa kulea wajukuu nyumbani
Jamani, kwenye maisha siyo kila unachotaka utakipata, tamaa mbaya
- Mtu kachuma tangu utoto, kakwiba, lakini bado anakomaa tu
- Tamaa Mbaya Mzee Pumzika
Kwanza hapo kuna watu wa kizazi tofauti!kikwete au Lowassa sio wa kizazi cha sita au mangulaHata ukiangalia Trend za CCM utaona kabisa inatengenezwa upya kwa kuingiza watu wapya kuanzia Chamani mpaka serikalini
- Kizazi cha kina Kikwete, Lowassa, Sitta, Mwandosha, Mwakyembe, Mangula, Kinana "kinapita" wanaingizwa watu wapya kabisa. Check baraza la mawaziri
- Hiyo ndio Successional plan", binadamu siyo jiwe kwamba utadumu MILELE
Mzee ana tamaa sana huyu sijapata kuona,,mbaya zaidi ataishia tu kuwa mgombea ila ikulu hatoenda
Wajanja na wasomi hao hapo kwenye Avatar yangu