Ushauri kwa yeyote anayefikiria kuingia katika ndoa

Ushauri kwa yeyote anayefikiria kuingia katika ndoa

Screenshot_20220109-230739_WhatsApp.jpg
 
Kwa hiyo hao ni kizazi cha 1890?
Ndoa zilisha kufa kifo cha mende , ndoa zilikua zinalindwa na mifumo dume tangu kale ya mababu zako , now kila mtu afe na mambo yake hizo habari za ndoa ni huko makanisani mnadanganyana tu
 
Kama tendo la ndoa halina maana kwako, basi ndoani sio sehemu yako.

Katika ndoa, tendo la ndoa sio hiari - ni msingi.

Ikiwa unapenda kutenga pesa zako peke yako, basi baki mseja daima.

Ndoa ni maono ya pamoja, pochi ya pamoja, na dhabihu ya pamoja.

Ikiwa unawapenda wazazi wako zaidi kuliko mwenzi wako wa ndoa, ndoa itakuwa kama mzigo mzito kwako.

Mpenzi wako lazima awe kipaumbele. Ikiwa sivyo, ishi na wazazi wako. Ikiwa huwezi kushauriwa, kaa peke yako.

Ndoa haitawaliwi na sauti moja bali hujengwa na mioyo miwili yenye unyenyekevu inayosikilizana.

Unyenyekevu huweka upendo pamoja. Ikiwa huwezi kusahihisha makosa yako basi baki kuwa mseja.

Ikiwa huwezi kusema "samahani," huwezi kuishi na mtu yeyote. Ndoa si ya wenye kiburi. Ndoa ni ya watu wanaomiliki makosa yao na kuomba msamaha.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Haya uliyoyasema Mengi karibu yote ni kwa mwanamke sio mwanaume ,na bila shaka mtoa mada utakuwa ni KE maana huu ushauri umekaa ki mwanamke mwanamke.
 
Kuna wanawake wana bleed miezi 2 mfululizo ni noma sana,hiyo ya kusema tendo la ndoa ni lazima-inaweza isi apply
 
Haya uliyoyasema Mengi karibu yote ni kwa mwanamke sio mwanaume ,na bila shaka mtoa mada utakuwa ni KE maana huu ushauri umekaa ki mwanamke mwanamke.
Hujawahi kutana na wanaume wanao hitaji ushauri hapa jf?

Kama wadhani kuwa huu ushauri anawahusu wanawake tu basi itakuwa wewe bado kinda.
 
Ndoa zilisha kufa kifo cha mende , ndoa zilikua zinalindwa na mifumo dume tangu kale ya mababu zako , now kila mtu afe na mambo yake hizo habari za ndoa ni huko makanisani mnadanganyana tu
Kwa kataa ndoa fans wewe utakuwa ni mweka hazina unayeiba michango yote ya wanachama..

Wahuni ndivyo mlivyo
 
Kwa kataa ndoa fans wewe utakuwa ni mweka hazina unayeiba michango yote ya wanachama..

Wahuni ndivyo mlivyo
Vichaa wengi sasa hivi mmejazana kwenye ndoa ndio maana mnachinjana kama kuku tu
 
Back
Top Bottom