Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

ooooh helll no so umekuja kunizuga au? basi usinitongoze yani huwa natamani kubeba meza kichwani ili kupunguza hasira... unakuta mtu wiki nzima ya kukufukuzia akija i love ooh umependeza..... hivi si unatongozwa sana? sasa mimi nikishaona hivyo nakupotezea..
Anaweza kuongelea masuala ya kiuchumi pamoja na ahadi kemkem, kwa mfano kukununuli gari...japo ka-kakirikuu, lakini only to find out kwamba anakudanganya ili akupate. hiyo itasaidia nini@miss chagga.
 
Anaweza kuongelea masuala ya kiuchumi pamoja na ahadi kemkem, kwa mfano kukununuli gari...japo ka-kakirikuu, lakini only to find out kwamba anakudanganya ili akupate. hiyo itasaidia nini@miss chagga.

sitaki aniongelee mimi aongelee future yake siyo jitu kunilamba mikono mda wote na i love u.... na nimazungumzo tu kushauriana unaweza anzisha mada ukaona anashauri nini si kukaa kama zoba
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

Bahati yako nina wake wawili,ningekuonesha how matured we are!!! Huyo anayeshindwa kuongelea mambo mbalimbali ana uwezo mdogo au exposure kdg,,,,,,,
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

Mambo yamebadilika siku hizi;

Mashuleni kila somo lina Q & A, mtoto anasoma Q & A halafu anaenda kujibu mtihani, akipata 40 inaitwa Div 4 na amefaulu. Muda wa kusoma vitabu hakuna kabisa, na hii ni kwa sababu muda mwingi tunautumia kwenye mitandao!

Enzi za nyuma kabla ya huu utandawazi na kina Nyangwine, Msabila et al hawajarahisisha elimu watu tulikuwa tunahangaika na mavitabu kama Abbott, Nelkon, Biological Science, Monkhouse, Elementary Biology, UP, Backhouse (Pure 1 na 2), Lambert, Organic Chemistry Book, etc.

Kwa huo utaratibu wa kusoma vitabu lazima uwe nondo, uwe na point za kutosha hata huku kwenye maisha ya kawaida.

Bongo fleva nyimbo yote ni LoveDavi so kama ndio wanaokutongoza lazima ukubali kusikia hizo Love love.
 
Haaa sijawahi chat na wewe nikiamini hauko interesting..now najiuliza if I was wrong.....Nakuja jiandae na habari za gdp na uchumi wa dunia..ole wako ulete story za wema na kajala


Uchumi wa dunia ? Utauwa mkuu
 
Mambo yamebadilika siku hizi;

Mashuleni kila somo lina Q & A, mtoto anasoma Q & A halafu anaenda kujibu mtihani, akipata 40 inaitwa Div 4 na amefaulu. Muda wa kusoma vitabu hakuna kabisa, na hii ni kwa sababu muda mwingi tunautumia kwenye mitandao!

Enzi za nyuma kabla ya huu utandawazi na kina Nyangwine, Msabila et al hawajarahisisha elimu watu tulikuwa tunahangaika na mavitabu kama Abbott, Nelkon, Biological Science, Monkhouse, Elementary Biology, UP, Backhouse (Pure 1 na 2), Lambert, Organic Chemistry Book, etc.

Kwa huo utaratibu wa kusoma vitabu lazima uwe nondo, uwe na point za kutosha hata huku kwenye maisha ya kawaida.

Bongo fleva nyimbo yote ni LoveDavi so kama ndio wanaokutongoza lazima ukubali kusikia hizo Love love.

umenena vyema Kanigini hongera
 
Hmm.. Pole misschagga kwa kukumbana na wanaume ambao hawako vizuri kwenye conversations. Nadhani wengi wao sio wafuatiliaji wa masuala mbalimbali ya jamií kama siasa, uchumi, elimu n.k. Ndio maana mkikutana hawezi kukupa stori mpya zaidi ya 'i love you' nyingi tu

sidhani kama si wafatiliaji wa mambo muhimu ila nahisi hao wa hivyo huwa wanachowaza ni kugegeda tu sasa hizo habari zingine wanaona kama zinawachelewesha ndo mana unakuta wanang'ang'ania pale pale wanapoona watapa wakitacho upesi
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

shosti hao huwa wanawaza mgegedo tu sasa stori zingine wanaona wanachelewa
 
Asilimia tisini ya ubongo wa mwanaume unawaza sex.kwahyo hizo kumi ameshazitumia kazin akija kwako anautilize zile tisin
 
Haaa sijawahi chat na wewe nikiamini hauko interesting..now najiuliza if I was wrong.....Nakuja jiandae na habari za gdp na uchumi wa dunia..ole wako ulete story za wema na kajala

Hahaaaa nominal per capita GDP ya Marekani na China.....ndo ukakimbia kabisa ule mjadala.

Bado :usa2: iko juu samna.
 
sidhani kama si wafatiliaji wa mambo muhimu ila nahisi hao wa hivyo huwa wanachowaza ni kugegeda tu sasa hizo habari zingine wanaona kama zinawachelewesha ndo mana unakuta wanang'ang'ania pale pale wanapoona watapa wakitacho upesi

kwa kweli si sawa kabisa mwanume uwe na upeo w mbali na si kuwa na upeo wa kwenye pichu tu
 
Asilimia tisini ya ubongo wa mwanaume unawaza sex.kwahyo hizo kumi ameshazitumia kazin akija kwako anautilize zile tisin

yesu na maria sasa hapo maendeleo yapo kweli?
 
Back
Top Bottom