Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

Kuna mijanaume bwana ni janga la kitaifa.

They look so smart but their minds are so empty.

Hawanaga cha kuongelea.

Akishika topic ni hiyo hiyo.

Janga la kitaifa mpaka nimeshindwa janga la kitaifa linaitwaje in English.

Nisije sema wonder of the nation. lols. hahaaaa

ha ha ha haha... mpenzi wala usitafute kingereza ,..... alafu unakuta ni wabishi hawakubali lkuelekezwa yani huwa natamani kupanda juu ya mtiiii kwa kweli
 
Kuna mijanaume bwana ni janga la kitaifa.

They look so smart but their minds are so empty.

Hawanaga cha kuongelea.

Akishika topic ni hiyo hiyo.

Janga la kitaifa mpaka nimeshindwa janga la kitaifa linaitwaje in English.

Nisije sema wonder of the nation. lols. hahaaaa
..lols, ndio umeamua kutuita " disaster" ya kitaifa eeh!!
 
nadhani wameelewa japo wameleta ubishi sana

Binafsi huwa naongea na wasichana/wanawake baada ya kazi nkichoka i just reflesh my mind siwezi kuwa serious but nabehave kulingana na kind of particular women
 
hahahaaa. Mpaka disaster lilinitoka.
..lols, ndio umeamua kutuita " disaster" ya kitaifa eeh!!

Yeah like you and me are compatible. Unaweza kujikuta unawish the night never comes to an end.
..sasa kama mko incompatible unategemea mtaongea nini, compatibility test ya kwanza ni flow ya stories...kama mtu umetoka nae out for a date alafu hata cha kuongea nae huna...unategemea nini!!!
 
Baby ofisini/kazini/homu kwenu kuna mtu AMEUGUA DANGEUUUUUU?
 
ha ha ha haha ha haha ha ni kweli lakini ndo nataka kujua mkuuu ,,,, i love i hate this words jamani tooo much mnaboa........ alafu tyta huku jf haina maana ndo maisha yangu ndo unipende uje unitongoze kisa nakaa sana mmu probably that is not me....
Hahahaaaaaa.... mkuu naona wajuaji wa mambo wamekushika pabaya! Mie nasubiri hoja zako tu, kulipangua hili!
 
wewe umekutana na kishoka, ukikutana na mjanja siku 2 utaomba ndoa ww!
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.


Kweli wewe ni MISS CHAGGA
 
Back
Top Bottom