Kutongoza au kujitongozesha kwa wanaume ni kazi sanaaaa! Sikia tu kwa wenzio

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!1

Tunakazia kazia kishikaji ya leo kali sana.

Jamani raha ya maisha kuishi na kuishi huko usijiwekee mipaka. Hahahaaaaa! Sasa katika mijadala ya hapa na pale kuna mchizi wangu mmoja yeye sio mzuri wala sio elekezi ila akikuonesha picha za mabwana zake wote visuuuuuuu vya hatari afu wana mipunga mirefu hatariiii. Mda wote tunamvumiliaaa tu tunakaa kimyaaa.

Sasa juzi mwaka juzi aifanya new addition kwenye collection yake, mkaka mmoja hatari sanaaa mwarabau wa Kariakooo. Mzuri ni balaaaaaa. Ukimuona utadhani anakwambia SHUT THE FRONT DOOR! Hahahahaaa! Kwa roho zetu mbaya tukasema atakuwa ana mfugaa tu, bwana kama yule kwa uzuri gani alio nao ampate kirahisiiii?

ukamchana live acha kufuga mabwana mtu wangu, miaka hii pastoralism is discouraged. Akaruka futi 3000 kwamba hamfugi huyo bwana wala nini nahawapo kwenye independent relationship, kwamba kila mtu anjihudumia, eti, etiiiiii, etiiiii mwarabu ndo anamuhudumiaaaa! Khaaaaaaaaa! Tukamwambia usiuanye watoto wadogo. Kukata ubishi akasema njooni kwangu, chukua simu hio , tuma sms agiza unavotaka asipoleta mi namfugaaa.

Sasa hyo mwarabu ana shelli ya baba ake anasimamia. Nikaagiza Luku imeisha, gas, Dst imeisha, na matumizi mengine. Simu nikabakia nayo mimi, jst incase asiume sms ninunulie nitakurudishia hela yako, hahahaaaa!. Zikapita dakika 10 tu ikaingia sms Ingia hio luku. Kuingiza umeme wa kilo. Ikaiangia sms ya DSTV kifurushi cha mpira kile, haaaaaa! Ikaingia sms nimemtuma Ali anawaletea gas mpemtungi tupu. Matumizi mengine narusha Mpesa sasa hivi uende sokoni niko busy.Tobaaaaaaaaaa!Akauliza mmeamini?

Tukakaa kikao cha dharura shoga huyo mganga wako tupe namba yake sio kuchuna huku mchana kweupeee tena direct bila kuzunguka mmbuyu wala kuandika risala.Tupo tayari kupulizaaa. Hahahaaaaa! Akasema zama za kupulizaa waachie bibi zetu uchawi mpya ni KUTONGOZA WANAUME!!!!!!!!!! KHAAAAAAAAAAAA! TOBAAAAAAAAAAA! MHHHHHHHH!

Tukaendelea kupata darasa elekezi. Kutongoza huko vepeeeeeee! Akasemakutongoza kwa kawaida tu huku huku kama wanaume wanavowatongozeni na nyie muwatongoze hivo hivo. Hahahaaaaaaaaa! Mmmmmh! Akaendlea kuchamba mnaona jojo eeeh mtu mzima anakuimbishaaa na bado unajifanya keki sasa n kwambaa THE PREY BECOMES THE HUNTER! Khaaaaaaaaaa!

Tukachekaaaaa, hilo tuuuuuuu au kuna lingineeee! MBONA RAHISI? Hahahaaaa! Akasem sio rahisi kama unavodhani, ni ngumu maana yule mtu ana mtu wake at the time unajenga interest nae, kumconvise you are better sio mchezo inahitaji uwe na mapafu ya mbwa, uwe comandoooo kipensi. It is all strategies and no feelings involved. Bottom line is SIO RAHISI. Dont under estimate the mission. Tukachukulia poaa tu, what is so hard kumwambia mtu I love you which you dont mean and offer him free pussy which he will never refuse????? What is so hard abt that?

Akasema sasa hapo HUJAMTONGOZA, hapo umejirahisishaaa, ukikuta mtu hana msimamo atakutumia tu afu basiiii, au atakufanya mpango wa kando, ho ni sawa na kujitoa sandakalawe. Mimi nilimaanisha kutongoza in the sense that unachukua LEADING ROLE. Unakuwa central piece. Tofuti na kutongozwa ni kwamba wewe ndo uakuwa umengineer the whole issue. Tukasema tunawezaaaaaa. Mmmmmmmhhhh!

Kuanzia hayo maongezi hamn success story hata moja wakati Master Maestro kaongeza new addition kwenye collection yake ya boss wa usalama wa taifa. namwagiwa mihelaa tu. Boss kamsahau mkewe kabisaaa, afu mkewe kajifungua mwaka huu huu. (Dont get too judgy and hollier than the pope on this kasegement sababu sio dhima ya hili bandiko) Kuchukua bwana wa mtu is peace of cake ila mume wa mtu mwenye watoto wa 3 imeonesha her skills are IMPECCABLE AND OUTSTANDING. Ltes not get on the WHY rather we should focus on HOW part.

Sasa mimi napenda vya kunyonga siku zoteeeee. Vya kuchinja siviwezagiii. Sipendi tabuuu kabisaaaa. Wanaojileta wenywe ni idadi ya kuridhisha ya nini niingie war front, nachotafuta nini haswaaa! Mtu kuridhika, anachokuletea Mungu ndo kinacho kufaaa. Hahahaa!

Kimembe majuzi hapo nilikutana na rare specie. Kiukweli siku namuona huyo mtu siku shtukaaa wala nini. Tatizo mjingamjinga mmoja asienitakia mema wala nini dunia hii kama katumwa na shetani from no whereeee, akaja kuniambia unajua flani ana hela sanaaaa. Haaaaaaaa! Nikambishia, hela gani mtu anashindwa kujinunulia chakula decent akala anashindia mkate na soda? Hahahaaa! Akaniambia angalia kwenye system. usiandikie mate wakati wino upo. Nikagoma siangalii sababu hela haijifichiii hata siku moja yule hana hata 100. Akniambia mi ndo nimekwambia habari ya msingi hio, na kikubwa hana mwanamke wa kumchunaaa aliemuweka kiganjani akajua kuzifuja fuja zile hela. Nimekuja kukwambia haya nimesikia unaongea na yule mnyamwezi wa Finanace humu ndani hamna mtu mwenye helaaa, oooh sijui wote tumechokaa, nimesikia unavokunyaaaa nikataka tu kukwambia wenye hela wapo na kama wewe kijike kweli kweli mchune yule jamaa. Si unadaiwa wewe huo mkopo wako wotee utaokatwa miaka3 anaingiza kwa wiki 2. Naenda. Mmmmmmmhhhhhhh! Nikacheka tu nikaona saumu kali ofisini tunanogesha genge tu. Hahahaaaa! Unafaya mchezo na uchumi wa Magufuli.

Jioni kama shetani nikaangalia malipo yake. Tobaaaaaaaaa! Kumbe kweli tena ali under estimate akafanya average tu, hakuangalia dipper factors kama growth rate. Nikachokaaa. Tamaa ya fisi ikanijaaaa rohoni. Hahahaa! Wazo likawa limenikaa akilini sio kidogo. Asubuhi nikamuita chemba chobingo. Weeeee kumbe kweli, najuuuta ulivo nipa ile habari. Akaniambia ndiooo hivooo. Nikamuuliza sasa hawa wanwawake wa humu vepeee hawajui huu mgodi ni kwamba hawajaugundua au? Akasema bwanaa wee sikufuchi yule mwanaume mgumuuuu. Osokoniiii. Hela yake kaipata kwa shida sanaa, kwa hio anaichunguliaa sanaa hela. Hawezi kutumia hela ikamzoeaaa. Afu ana misimamo ya kiduwanziiii. Ana misimamo falani flani isio na akili. Tunavoongea watu kibao wamejaribu kumuingia wameshindwa na haingiliki kabisaaa. Hahaaaaaaaaa! Nikachokaaa. Nikamwambia mimi ndo KUBWA LA MAADUI.

Sasa mwenyewe nilikuwa nishaharibu kitambo, nilkuwa nampotezeaaa kabla sijajuaaa. Si mnajua tenaa. Kuletwa branch tu nilishakosea mahesabu nikashoboka kwa boss wa branch hapo hatarii, sio kwa lengo la kumchukua ila kisiasa tuuuu, anikumbuke kwenye ufalme wake. Mara anakuwa amekaa jirani kabisaa nampita juu juu tu naenda kujihashua kwa boss, matani ya ofisniii, mara boss anishike kiuonooo, tena kuna mchepuko wa boss naurushaga roho basi na wenye unaingi kwenye matani, mara niuambie kama vipi tukose wote naenda kumwambia mke wa boss. Hahahaa! Watu wanachekaaaa. Na huyo kaka mara kibao anakuwepo pembeni. Anakaaga tu kimya. Hahahaa! Mara nivae nguo fupiii afu namuinamia boss namuuliza boss nikutafutie file lolote kabatini chini huko? Hahahaaaaa!Boss anasema utanitafutia nyumbani. Watu wanachekaaaaaa! Boss mtani sanaa tatizo. Afu ukimjulia hivi unampa meno tuuu anakulinda kwenye vibonus na allowance. In short point zote 3 MUHIMU NISHAPOTEZA prior zijaanza mchakato. Wanawake wenzangu mjiangalie maendo yenu ofisni ooooh kujichetua kwingine kuna coast sanaaa. You cant undo what you have already done

Sasa baada ya kujidabua ofisi nzima nikawa nimeanza mkakati wa kujiweka kwa Osokoni. Mkumbuke nishaharibu kila konaaa, kama mdahiliwa sina sifa za kudahiliwa. Nikajisemea potelea pote Mungu yupo. Nikaanza kujisafishaaa kwa serious. Nikaanza kutengeneza mazingira kwa Osokoni.

Nikawa amsalimiaa sanaa, wakati nilikuwaga simsalimiagi, story ndefuuuu zisizo na kichwa wala miguuu. The years have worn me down, i dont have it anymore. I no longer have what i takes to survive in these games. Nimetengeneza mazingira weeee, no progresss at all. Osokoni ananichukulia kawaida tuuu, wakati mi sitakiiiii anichukulie kawaida. I want him to take things to the next level.

Naweza kumkuta nikwamwambia ninunulie lunch, na nini shobo kibaooo, ataninunulia wala hasmi kitu. Nikopeshe laki, atanikopeshaa, wala hasemi kituYani ni mtu ambae undefined. Huwezi kujua anawaza nini. Nimetumia kanuni zile basics zote kwake hazifanyi kazi.

Nikaenda kwa Master Maestro yule mke ya mwarabu, nikamsimuliaaa A to Z akawa very existed. Nikamwambia Master nipe formulaaa mwananfunzi wako, equation imenigomeaaa. Master nae mpuuzi tu, anadai oooh ye mwenyewe she is bored and looking for bigger challanges. So far bar hajapataequation iliomshinda, kama vipi ajiweke mwenyewe kwa Osokoni! Tobaaaaaaaaaa! Chinekeeeeeeeee!. Nikamuulza mbona mwanamke una tamaa sana wewe hata upewe milki yote ya dunia hutoridhika sasa wewe Osokoni wa nini ushakuwa na watu wana helaa Osokoni anasubiri. Akasema i am looking for a man who can challange me, sitaki tena watu ninao wamanipulate. Inshort
sikuwekiii sababu umeniambia deails zote nitamtafuta ila kwa kujiweka mwenyewe. Kama unajiona unaweza ku compete same lavels na mimi BE MY GUEST. Ilarudia cv yangu kwenye ushangingi jicompee na wewe, kama vipi mnawe tu huyu Osokoni wanaume wako wengi.. Haaaaaaaa! WTF! Ulitokea ugomv mkubwaaa, mpakamda huu hatuongei ila kila hatua anayopiga ananitaarifu. Nimemualika dinner, sijui nini, mara anitumie screen shot wanachat kuhusu Euro. Mmmmmh! Roho inanitoka sio kidogo.

Nikataka kumnawaaa Osokoni kwani kitu ganiiii,dunia kubwa hii tusibanane, ila roho inaniumaa sanaaa, afusiaki kuweka record ya unyongeee. Mi Maestro nammudu mbona.Naamini nikituliza akili na mmudukabisaaa. Nataka tu kumkomoakwa uhanisi alionifanyia.

Nimeamua kurudi kwenye mtanange FULL, ila tatizo kiukweli sipigi hatuaaa. Kwelikutongoza mtu kazi sanaa, eeeeeeeeeeh, kuliko unavowazaaa. Maestro is like a natural, she jst can just bond with men just like that, afu na roho ngumu sanaa, hata akishuhuliwa anahimili mapigo wakati mimi napanic naweza kuvurga kila kitu. Maestro ananiburuzaaaa vibaya vibayaaaa soon aamuweka kwenye 18 zake. Na mie sitaki itokee hivo. Nikawaza sijui nimuombe Mungu tu anitete na kunishughulikia Maestro, ila naona kama hajawatetea wenye waume zao, Maestro kawaburuza wake za watu mpaka basi huenda hukumu yake iko mbali sanaa, tena sanaaa. Na mimi i need instant solution.

Embu nipeni mbinu mwenzenu nitamteka vipi.

KUMRADHI HII ISSUE HAILEWEKI SOME HOW SBABU NI ISSUE YA KWELI NA MNAVOJUA UKWELI UNACHANGANYA SANAA, NA HAUELEWEKI. TUVUMILIANE ILA MBINU HIZO MSIACHE KUNIPA KWA MLIVOELEWA.
 
kichwa imegoma kabisa!!!! yaan unasooma biology ghafla katikat inaingia history hujaelewa mara inaingia comerce wakati unatafakari nin kinandelea mara chemistry hyo sasa unajiuliza tangu uanze kusoma umesoma somo gani maalumu unashangaa geography hiyooo!!!!! mpaka unatoka unasindikizwa na bookeping!!!!!!!!!!!

kwakweli mtoa mada sijaelewa.
 
kichwa imegoma kabisa!!!! yaan unasooma biology ghafla katikat inaingia history hujaelewa mara inaingia comerce wakati unatafakari nin kinandelea mara chemistry hyo sasa unajiuliza tangu uanze kusoma umesoma somo gani maalumu unashangaa geography hiyooo!!!!! mpaka unatoka unasindikizwa na bookeping!!!!!!!!!!!

kwakweli mtoa mada sijaelewa.
mbavu zangu jaman
 
Umeongelea mambo mengi sana katika mada yako. Itabidi msomaji awe makini kwelikweki.
 
lara 1 ndo umeanza na Weekend story au? Mbn maruweruwe!? Nishaanza kuzeeka kama ww maana sijaelewa hata kidogo. Hebu topr njoo useme. Hii n story kam zile za siku zote au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom