miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #61
Umeongea kitu cha maana saana .
Kama ungekua bunge spika angeaema Hoja yako ina mashiko.
Ila nataka nikueleweshe jambo moja.,iko hiviii ,
Mwanaume anapomwaproach mwanamke ,anavaa tabia husika ya mwanamke mwnyewe,mfano, ww Miss Chaga kakukuta unapenda siasa ,atakuja Akiongelea updates za Bunge na Mambo ya siasa.. Kama ww napenda habari za Macelebrities atakuja hivyo hivyo , yaani ni kama kinyonga ,atahakikisha anamartch na ww kwa namna unavyotaka ,ili tu akupate .
Mwanume hawezi ongelea jambo ambalo halikuvutii ,zaidi atakuboa.
Kuna wanawake hata ukiwauliza Raisi wa Tanzania ni nani ,anaweza kukuambia Ni Mkapa, mtu ka huyo ina maana siasa hazipendi,kuongea siasa na yeye ni kimchefua.
Hivyo basi ,jambo hili linaanza moja kwa moja na nyie wenyewe ,ni namna ipi mnajiweka mnapotongozwa. ??
" Miss Chaga" ww Atakayekutongoza ni lazima aje akiwa ana Msimamo wa Muundo wa Serikali unayoihitaji.
Na aweze kuutetea muundo huo.
wanashindwa kufanya hivyo ndo maana nikasema... ila kiukweli men should be creative na si kujumuisha mambo