Ushauri kwa vyama vya upinzani: Nia na dhamira ya Rais Samia ni njema , tutamkumbuka.

Ushauri kwa vyama vya upinzani: Nia na dhamira ya Rais Samia ni njema , tutamkumbuka.

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
3,117
Reaction score
5,321
Kuna watu wamejaliwa kipaji Cha utambuzi kwa kutumia jicho la tatu katika kufahamu nia na dhumuni la mtu wakati anapozungumza au anapotenda na kipaji hiki mara nyingi unakuwa ni uwezo wa ndani alionao mtu na mara nyingine mwenye uwezo wa namna hii anapoyasema ya namna hii anaonekana ni kichaa.

Leo acha nionekane kichaa kwa mara nyingine tena lakini nitoe ushauri huu kwa viongozi wa upinzani bila kuzungumzia au kuangalia chochote kilichotokea huko nyuma ila naangalia sasa na kesho ya Tanzania.

UShauri wangu Leo utajikita katika kutazama nia na dhamira ya Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia jicho la tatu kwa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka 5 ijayo 2025-2030.

Niliwahi kuandika uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-naiona-tanzania-mpya.2137379/ambao niliona nia na dhamira njema ya Rais wetu kwa nchi yetu.

Hapa pia niliona dhamira na nia njema PreGE2025 - Tulio tayari kufanikisha ushindi wa kihistoria wa Rais Samia 2025, tujipongeze kwa kulitendea haki Taifa

Hapa nilieza kwa nini natamani sana Rais Samia Agombee kwa sababu niliona dhamira na nia yake njema https://www.google.com/url?sa=t&sou...MQFnoECCMQAQ&usg=AOvVaw2YJqVeDXLP6jxC9ZF21Nfp

Hizo ni baadhi ya nyuzi nilizoandika baada ya kuona nia njema ya Rais wetu kwa Taifa ,ni nia njema kabisa

Kutokana na Hilo ndio maana Leo nasimama kuwashauri wapinzani wasizoreteshe nia hiyo njema.

Nia ya Rais Samia kulivusha na kulipeleka Taifa letu nchi ya ahadi
ni ya dhati

Nia ya Rais kufanya maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa kupitia maridhiano ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kuibadili nchi yetu ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kutupatia katiba mpya ni ya dhati.

Tafadhali vyama vya upinzani msipoteze nafasi hii adimu kwa misukumo ya kisiasa na kufanya kilio Cha kutopatikana katiba mpya kikaanza upya kwa watu maana wakati huu katiba itapatikana. Tukipoteza nafasi hii tutamkumbuka.
 
Ni kweli tutamkumbuka kwa mauaji ya watanganyika wengi ambao hawana hatia,pia tutamkumbuka kwa kuliangamiza taifa letu na kuliingiza kwenye mgogoro wa kiuchumi.


Mwisho nashauri huyu mama baada ya kumng'oa D9 afutwe kabisa kwenye kumbukumbu za Marais waliowahi tawala Tanganyika,tuanzie kwa magufuki na baadae Lissu au Heche
 
Kuna watu wamejaliwa kipaji Cha utambuzi kwa kutumia jicho la tatu katika kufahamu nia na dhumuni la mtu wakati anapozungumza au anapotenda na kipaji hiki mara nyingi unakuwa ni uwezo wa ndani alionao mtu na mara nyingine mwenye uwezo wa namna hii anapoyasema ya namna hii anaonekana ni kichaa.

Leo acha nionekane kichaa kwa mara nyingine tena lakini nitoe ushauri huu kwa viongozi wa upinzani bila kuzungumzia au kuangalia chochote kilichotokea huko nyuma ila naangalia sasa na kesho ya Tanzania.

UShauri wangu Leo utajikita katika kutazama nia na dhamira ya Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia jicho la tatu kwa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka 5 ijayo 2025-2030.

Niliwahi kuandika uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-naiona-tanzania-mpya.2137379/ambao niliona nia na dhamira njema ya Rais wetu kwa nchi yetu.

Hapa pia niliona dhamira na nia njema PreGE2025 - Tulio tayari kufanikisha ushindi wa kihistoria wa Rais Samia 2025, tujipongeze kwa kulitendea haki Taifa

Hapa nilieza kwa nini natamani sana Rais Samia Agombee kwa sababu niliona dhamira na nia yake njema https://www.google.com/url?sa=t&sou...MQFnoECCMQAQ&usg=AOvVaw2YJqVeDXLP6jxC9ZF21Nfp

Hizo ni baadhi ya nyuzi nilizoandika baada ya kuona nia njema ya Rais wetu kwa Taifa ,ni nia njema kabisa

Kutokana na Hilo ndio maana Leo nasimama kuwashauri wapinzani wasizoreteshe nia hiyo njema.

Nia ya Rais Samia kulivusha na kulipeleka Taifa letu nchi ya ahadi
ni ya dhati

Nia ya Rais kufanya maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa kupitia maridhiano ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kuibadili nchi yetu ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kutupatia katiba mpya ni ya dhati.

Tafadhali vyama vya upinzani msipoteze nafasi hii adimu kwa misukumo ya kisiasa na kufanya kilio Cha kutopatikana katiba mpya kikaanza upya kwa watu maana wakati huu katiba itapatikana. Tukipoteza nafasi hii tutamkumbuka.
hana uhalali wa kuanzisha process ya katiba mpya..hivi nyinyi huwa mnamuona anao huo uwezo kusimamia mambo ya nchi au mmelogwa? huyu mtu hana huo uwezo..! hear us when say like that..!
 
hana uhalali wa kuanzisha process ya katiba mpya..hivi nyinyi huwa mnamuona anao huo uwezo kusimamia mambo ya nchi au mmelogwa? huyu mtu hana huo uwezo..! hear us when say like that..!
Wakati ni sasa ,Rais Samia ana kusudi, nia na dhamira ya dhati ya kutupatia katiba mpya msiikwamishe
 
Kwani tangu January muuaji alivyojipitisha kugombea pekeyake angeitisha tume ya maridhiano hadi October [miezi 9] baadae angepata anaemia?

Miezi 9 yote ingetosha kufanya reform za kweli kwenye tume ya uchaguzi ikawa huru kweli sio hii ya makada wa CCM.

Halafu muda huo huo draft ya katiba ikawa imepita referendum tungeona ana nia njema ila hakufanya yote hayo ameishia kujiita chura kiziwi.

Hiyo mnayosema ni tume[kwangu ni kikunri cha udaku] kaipa jina la kusema inachunguza uvunjifu wa amani sasa nakuuliza wewe mleta mada vifo vilivyotokea tarehe hiyo wa nani atachunguza?

Hadi sasa policcm haijatoa idadi ya watu waliowaua na wengine wamewazika katika makaburi ya jumla , ndugu wamebaki kuzika picha sasa utawaambia nini ndugu huyu mtu ni rais halali na hiyo tume yake ina uhalali upi?
20251117_060116.jpg
 
Kuna watu wamejaliwa kipaji Cha utambuzi kwa kutumia jicho la tatu katika kufahamu nia na dhumuni la mtu wakati anapozungumza au anapotenda na kipaji hiki mara nyingi unakuwa ni uwezo wa ndani alionao mtu na mara nyingine mwenye uwezo wa namna hii anapoyasema ya namna hii anaonekana ni kichaa.

Leo acha nionekane kichaa kwa mara nyingine tena lakini nitoe ushauri huu kwa viongozi wa upinzani bila kuzungumzia au kuangalia chochote kilichotokea huko nyuma ila naangalia sasa na kesho ya Tanzania.

UShauri wangu Leo utajikita katika kutazama nia na dhamira ya Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia jicho la tatu kwa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka 5 ijayo 2025-2030.

Niliwahi kuandika uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-naiona-tanzania-mpya.2137379/ambao niliona nia na dhamira njema ya Rais wetu kwa nchi yetu.

Hapa pia niliona dhamira na nia njema PreGE2025 - Tulio tayari kufanikisha ushindi wa kihistoria wa Rais Samia 2025, tujipongeze kwa kulitendea haki Taifa

Hapa nilieza kwa nini natamani sana Rais Samia Agombee kwa sababu niliona dhamira na nia yake njema https://www.google.com/url?sa=t&sou...MQFnoECCMQAQ&usg=AOvVaw2YJqVeDXLP6jxC9ZF21Nfp

Hizo ni baadhi ya nyuzi nilizoandika baada ya kuona nia njema ya Rais wetu kwa Taifa ,ni nia njema kabisa

Kutokana na Hilo ndio maana Leo nasimama kuwashauri wapinzani wasizoreteshe nia hiyo njema.

Nia ya Rais Samia kulivusha na kulipeleka Taifa letu nchi ya ahadi
ni ya dhati

Nia ya Rais kufanya maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa kupitia maridhiano ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kuibadili nchi yetu ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kutupatia katiba mpya ni ya dhati.

Tafadhali vyama vya upinzani msipoteze nafasi hii adimu kwa misukumo ya kisiasa na kufanya kilio Cha kutopatikana katiba mpya kikaanza upya kwa watu maana wakati huu katiba itapatikana. Tukipoteza nafasi hii tutamkumbuka.
Screenshot_20251119-103538~2.png
 
Kuna watu wamejaliwa kipaji Cha utambuzi kwa kutumia jicho la tatu katika kufahamu nia na dhumuni la mtu wakati anapozungumza au anapotenda na kipaji hiki mara nyingi unakuwa ni uwezo wa ndani alionao mtu na mara nyingine mwenye uwezo wa namna hii anapoyasema ya namna hii anaonekana ni kichaa.

Leo acha nionekane kichaa kwa mara nyingine tena lakini nitoe ushauri huu kwa viongozi wa upinzani bila kuzungumzia au kuangalia chochote kilichotokea huko nyuma ila naangalia sasa na kesho ya Tanzania.

UShauri wangu Leo utajikita katika kutazama nia na dhamira ya Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia jicho la tatu kwa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka 5 ijayo 2025-2030.

Niliwahi kuandika uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-naiona-tanzania-mpya.2137379/ambao niliona nia na dhamira njema ya Rais wetu kwa nchi yetu.

Hapa pia niliona dhamira na nia njema PreGE2025 - Tulio tayari kufanikisha ushindi wa kihistoria wa Rais Samia 2025, tujipongeze kwa kulitendea haki Taifa

Hapa nilieza kwa nini natamani sana Rais Samia Agombee kwa sababu niliona dhamira na nia yake njema https://www.google.com/url?sa=t&sou...MQFnoECCMQAQ&usg=AOvVaw2YJqVeDXLP6jxC9ZF21Nfp

Hizo ni baadhi ya nyuzi nilizoandika baada ya kuona nia njema ya Rais wetu kwa Taifa ,ni nia njema kabisa

Kutokana na Hilo ndio maana Leo nasimama kuwashauri wapinzani wasizoreteshe nia hiyo njema.

Nia ya Rais Samia kulivusha na kulipeleka Taifa letu nchi ya ahadi
ni ya dhati

Nia ya Rais kufanya maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa kupitia maridhiano ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kuibadili nchi yetu ni ya dhati

Nia ya Rais wetu kutupatia katiba mpya ni ya dhati.

Tafadhali vyama vya upinzani msipoteze nafasi hii adimu kwa misukumo ya kisiasa na kufanya kilio Cha kutopatikana katiba mpya kikaanza upya kwa watu maana wakati huu katiba itapatikana. Tukipoteza nafasi hii tutamkumbuka.
Atakumbukwa kwa utekaji na mauaji.
 
Aliyekuambia ccm inafika 2030 nani? Mwisho wa ccm ni December 9, 2025. Kama huamini rudi hapa kuanzia tarehe 10 December 2025
Bado sana na ni mapema sana CCM kutoka 2025 labda 2100 hivi
 
Wakati ni sasa ,Rais Samia ana kusudi, nia na dhamira ya dhati ya kutupatia katiba mpya msiikwamishe
Hana uwezo, achilia mbali kung'a ng'ania kugombea na kisha kuingiza nchi kwenye maafa na kutokuwepo uchaguzi! wala haihitaji kujua hiyo dhamira unataja..no need to go there..
 
 
Mnalipwa shi ngapi kuja kujifanya wenye hekima kumbe matapeli? Mnalipwa shi ngap kusaliti your conscience?

Hakuna namna utawalaghai waTanzaia kwa sasa, mmemwaga damu nyingi, hamkubaliki, hamtakiwi.

Huyo mama yenu anayetaka maradhiano, anataka kuridhiana nini, nini kimetokea mpaka atake kuridhiana?
Anataka kuridhiana baada ya kuua wenzetu 3000+?
Anataka kuridhiana baada ya kuwabambika mamia ya vijana kesi za uhani?
Au anataka kuridhiana baada ya kufisadi na kufuja nchi?

Wananchi hatumtambui yeye kama Rais, tunamtambua kama Ibilisi muuaji, na anguko lake na CCM linamefika.

Vile mnavyozidi kujifanya vipofu juu ya mliyoyafanya ndio anguko lenu linakaribia.

Wauaji wakubwa.
 
Back
Top Bottom