Ndugu Kabonde mtoa habari amesema mume wa huyo mwanamke alikufa kwa ajali. Na kwa upande wangu sioni tatizo kwa huyo kijana kumuoa huyo mama, muhimu tu ni kupima afya zao kabla ya kuoana.
Wanawake wako wengi kwanini uangukie kwa mwanamke alikwishaolewa tena mwenye mtoto ????????????.Hapana mwambie amwache huyu mwanamke atafute kipusa mwingine wako kibao,kubwa zaidi tajibandika shughuli ya kulea mtoto mbae si wake,tena wanawake waliofiwa na waume zao wakati mwingine wana nuksi unaweza kujikuta unapoteza maisha bure.Nimewahi kuona mwanamke kila akiolewa lazima mwanaume afe mpaka walipofika wanaume watatu watu wakastukia mama ana mapepo ya kuua wanaume,wengine utakuta mume kafa na ukimwi ukiingiza tu umekwisha jaribu kuuliza mwanaume kafa na ugonwa gani.