faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
Nadhani si tamaa amempenda tu!mwambie amuoe tu jamani kama moyo wake una mpenda,heri ya huyo aliyeolew ndoa moja iliyo rasmi kuliko hao wengine ambao walishaolewa ndoa kumi zisizo rasmi.....heri ya huyo mwenye mtoto mmoja aliye hai kuliko wale waliojiozesha ndoa zisizo rasmi na kMiaka 29 unahangaika na jimama ambalo lilikwishaolewa na kuwa-widowed WHY?
Kama ni tamaa ya mali za marehemu mwambie aendelee; kama ni kutaka mke wa kuoa mwambie tamaa itampeleka pabaya!
uwauawa watoto kadhaa wakiogopa kashfa ya kukosa waume wa halali kwa kuwa wana watoto!
halafu huyo dada hakuachwa bali mumewe alifariki....inaonekana alikuwa na tabia nzuri ndio maana kifo kiliwatenganisha...