Ushauri kwa Graduates wasio na kazi

Kweli mkuu kuna mishe zingine ukikurupuka kuziingilia unaweza ukajikuta unagongwa na gari au unavunja shingo halafu unaacha kutafuta kazi unabaki kujiuguza majeraha.
Hapa duniani mungu aliweka madaraja ya watu akiwa na maana yake.
Maisha ndio yalivyo, sasa mtu akurupuke akabebe Sinia la Maparachichi apite akitembeza katika Mataa eti ujasiriamali.
 
Hahaha utakuwa unakoswakoswa kugongwa na pikipiki,kutimuliwa vumbi na maji hadi utajuta.
Hatukatai unaweza kufanyakazi nje ya field yako lakini ziwe kazi za kistaarabu.
kwa mfano kuuza duka,kusimamia restaurant,grocery hizi zinavumilika kwa mtu yeyote
Maisha ndio yalivyo, sasa mtu akurupuke akabebe Sinia la Maparachichi apite akitembeza katika Mataa eti ujasiriamali.
 
Nimemaliza chuo 2014 nipo zangu tabora kaliua nalima tumbaku ingawa sasa solo ni changamoto ila vijana tujitume tu maisha popote nimetoka mbeya hadi tabora vijijini huku nilianza kuuza CD nanunua kaliakoo naleta kijijini igagala,usinge hadi kigoma nguruka
Nilikuwa nanua CD moja 1000 mi nauza 3000 nikichukua pisi mia faida yangu kama
Laki mbili biashara ilikuwa nzuri ila ikawa mbaya gafla hapo ndio nikajikuta naingia
Kwenye kilimo cha tumbaku
Ingawa nyumbani ni ubaruku mbarali tunalima sana mpunga lakini kilimo kile kina garama sana kama huna mtaji
 
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi wala mtaji lakini unaweza ukamkuta na vitu hvi either kimoja or vyote.

1. Smartphone ya ghali (iphone 6 ,7,8 nk au samsung ya ghali sana.

2. Laptop isiyo na manufaa kwake (anatumia kuangalia movie).

Ushauri wangu:
Kama huna kazi na mtaji na upo kwenye hayo makund ya kumiliki vitu hvyo uza alaf fanya yafuatayo.

1. Ukiuza ukapata ata 400k unaweza ukazama ndichi ukaenda kukod shamba kwa ata 30k kwa heka ukalima maharage au zao lolote lisilo ns gharama na ukwekeza nguvu zako kuminimize cost unaweza ukatumia 300k n ukanunua ata Tecno ya kuwasalimia wadau online ukiwa ndichi.

Najua wengne mtajiuliza mashamba ya bei hyo unapata wap but hyo bei ukienda mkoa wa ruvuma kuanzia namtumbo, songea, mbinga, madaba, peramiho kote huko unapata mpka kwa 20k.

Pia ata songwe unapata kwa 40 to 50k, sumbawanga ni 25-50k, chunya ni 30-50k, njombe (mavanga) kunakubaki sana maharage kule ni 40k.

2. Kuna jamaa aliuza simu yake kwa 250k baada ya kitaa kumweka sawa akaenda kununua hle mashine ya fingerprint Famoco na kutoa aibu nabkuingia kitaa kusajili line mpaka sasa anapata commision around 200-350k per month na alitumia miezi mitatu tu akanunua tena simu na life go on.

3. Unaweza ata ukaenda masokon ukanunua mitumba viatu au nguo na kuanza kuuza kwa kuwa una elimu utaweza ata kutumia platform za social media kutafuta customers. (but degree uiweke pembeni).

4.Ukasubiri msimu wa mavuno ukaenda vijijin haswaaa ukanunua mazao kwa bei ya kulangua ukifika tiwn kidogo ukala cha juu huku ukiwa unakuza mtaji wako ikifika kubwa unafkisha town kabisa au unaprocess mwenyewe.

5. Ukiona zotehazikufai unasubiri Uncle atangaze ajira karibu forex utrade ukiwa n stress uchome account alaf uanze tena kutia huruma mtaani.

NB: Achana na motivational speakers wanakugeuza wewe fursa. Kilimo sio lazima uwe na miliioni ndo uanze kuna maeneo unapewa mashamba alaf unalipa gunia either 1 au 2 ukivuna so hapo inakuwa ni nguvu yako tu.

# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business.

Wadau wengine wataongezea lengo letu sote ni kufanikiwa tukumbuke tupo uchum wakati.
.....# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business........

Hii statement yako imenihuzunisha sanaa Mimi mkulima.

Kwamba siwezi kuwa tajiri kupitia kilimo?..!!!

Basi soon nitakurudia niijibu...

#YNWA
IMG_20200707_093248.jpg
 
Hahaha utakuwa unakoswakoswa kugongwa na pikipiki,kutimuliwa vumbi na maji hadi utajuta.
Hatukatai unaweza kufanyakazi nje ya field yako lakini ziwe kazi za kistaarabu.
kwa mfano kuuza duka,kusimamia restaurant,grocery hizi zinavumilika kwa mtu yeyote
Jamaa upo sahihi ila unaMiss point sehemusehemu, hizo ulizotaja hapo ni ajira nazo uwezi kuzipata ni Process kama ajira zingine 'Kusimamia Mgahawa' unachukulia poa nakama unamaanisha uwo mgahawa uwe wako umejiajiri 'Mtaji' unautoa wapi.

Weka mifano yenye uharisia bado imeonesha unakosoa kitu solution huwezi kuiweka.
 
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi wala mtaji lakini unaweza ukamkuta na vitu hvi either kimoja or vyote.

1. Smartphone ya ghali (iphone 6 ,7,8 nk au samsung ya ghali sana.

2. Laptop isiyo na manufaa kwake (anatumia kuangalia movie).

Ushauri wangu:
Kama huna kazi na mtaji na upo kwenye hayo makund ya kumiliki vitu hvyo uza alaf fanya yafuatayo.

1. Ukiuza ukapata ata 400k unaweza ukazama ndichi ukaenda kukod shamba kwa ata 30k kwa heka ukalima maharage au zao lolote lisilo ns gharama na ukwekeza nguvu zako kuminimize cost unaweza ukatumia 300k n ukanunua ata Tecno ya kuwasalimia wadau online ukiwa ndichi.

Najua wengne mtajiuliza mashamba ya bei hyo unapata wap but hyo bei ukienda mkoa wa ruvuma kuanzia namtumbo, songea, mbinga, madaba, peramiho kote huko unapata mpka kwa 20k.

Pia ata songwe unapata kwa 40 to 50k, sumbawanga ni 25-50k, chunya ni 30-50k, njombe (mavanga) kunakubaki sana maharage kule ni 40k.

2. Kuna jamaa aliuza simu yake kwa 250k baada ya kitaa kumweka sawa akaenda kununua hle mashine ya fingerprint Famoco na kutoa aibu nabkuingia kitaa kusajili line mpaka sasa anapata commision around 200-350k per month na alitumia miezi mitatu tu akanunua tena simu na life go on.

3. Unaweza ata ukaenda masokon ukanunua mitumba viatu au nguo na kuanza kuuza kwa kuwa una elimu utaweza ata kutumia platform za social media kutafuta customers. (but degree uiweke pembeni).

4.Ukasubiri msimu wa mavuno ukaenda vijijin haswaaa ukanunua mazao kwa bei ya kulangua ukifika tiwn kidogo ukala cha juu huku ukiwa unakuza mtaji wako ikifika kubwa unafkisha town kabisa au unaprocess mwenyewe.

5. Ukiona zotehazikufai unasubiri Uncle atangaze ajira karibu forex utrade ukiwa n stress uchome account alaf uanze tena kutia huruma mtaani.

NB: Achana na motivational speakers wanakugeuza wewe fursa. Kilimo sio lazima uwe na miliioni ndo uanze kuna maeneo unapewa mashamba alaf unalipa gunia either 1 au 2 ukivuna so hapo inakuwa ni nguvu yako tu.

# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business.

Wadau wengine wataongezea lengo letu sote ni kufanikiwa tukumbuke tupo uchum wakati.
Mimi baada ya chuo hali ikawa tete, nkatafuta kazi ya ulinzi.

Nikasave mpaka ikafika Milioni na ushee, nikaenda huko Kibiti nikakodi shamba na kulima mihogo ekari 6.

Haikurudi hata 100!!!

Nilipoteza kila kitu.
 
Vipi ungeuza ukatengeneza chanzo cha kipato then ungenunua PC nyengine nakuombea kazi na kupata.

Je hiyo ingeitwa nini si laptop pia.

Kabla Sijapata Kazi miaka minne iliyopita nilikutana sana na Post kama hizi Jamii Forums lakini Sikukata Tamaa hiyo hiyo Computer unayoambiwa uuze mimi ilikua inanisaidia kutuma maombi ya Kazi.
 
Mwaka juz nikutana na jamaa amemaliza Bsc. Petroleum eng UDOM anapga boda boda na sio kwamba amependa ila life ndo inamfanya apge alaf mbaya zaid mwenye bodaboda ni jamaa walisoma nae primary akaingia kitaa coz hakufanya vizur.

Siku hizi hakuna cha priority wote ni majanga ila wengne majanga yao makubwa zaid coz engineering kwa wahind bado zinaokoteka japo salary ndo wanawanyonya sana vjana wenzetu.
tuonane October kwenye sanduku la kura
 
Niliwai sikiliza ushauri kama huu nikaingia kichwakichwa kwenye biashara fulani 🤣🤣🤣 mzigo ulinitesaaa nikatamani bora ata ningecheza biko.
 
Kwanini usimshauri mtu..
inahitaji kutuliza kichwa sana mpaka kufika kwenye kiwango cha kuanza kutengeneza pesa kama inavyoonekana kwa watu waliofanikiwa na hyo biashara, walio wengi wanaingia huku kwa shauku ya kutaka kuwa matajiri haraka bila kujua kama soko ni pana sanaaaa inakuhitaji muda na akili tulivu kufika hapo.
 
Nimemaliza chuo 2014 nipo zangu tabora kaliua nalima tumbaku ingawa sasa solo ni changamoto ila vijana tujitume tu maisha popote nimetoka mbeya hadi tabora vijijini huku nilianza kuuza CD nanunua kaliakoo naleta kijijini igagala,usinge hadi kigoma nguruka
Nilikuwa nanua CD moja 1000 mi nauza 3000 nikichukua pisi mia faida yangu kama
Laki mbili biashara ilikuwa nzuri ila ikawa mbaya gafla hapo ndio nikajikuta naingia
Kwenye kilimo cha tumbaku
Ingawa nyumbani ni ubaruku mbarali tunalima sana mpunga lakini kilimo kile kina garama sana kama huna mtaji
Nimepiga sana ruti za ubaruku back then nasomba mpunga kama gunia 50 naleta town nauza ila nikaona natumia nguvu nyingi faida kidogo na wateja saa nyingine wanazingua kulipa aisee.
Na ndiyo chanzo cha hii ID nafaka
 
Pole mkuu Mimi nilisha kimbia huko unatumia mtaji mkubwa kipato kidogo sana mashamba ya nje nayo huwa hayaeleweki kabisa mvua ikiwa kidogo ndio hasara umepata karibu tabora tulime mahindi tu maana tumbaku nayo ishaa ingia dosari .
 
Mimi baada ya chuo hali ikawa tete, nkatafuta kazi ya ulinzi.

Nikasave mpaka ikafika Milioni na ushee, nikaenda huko Kibiti nikakodi shamba na kulima mihogo ekari 6.

Haikurudi hata 100!!!

Nilipoteza kila kitu.
Kilimo kisikieni tu..ni changamoto sana.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Back
Top Bottom