Ushauri kwa Graduates wasio na kazi

Nipo nafanya biashara ambazo mates zangu hawamini nikikutanaga nao nilisajiri sana line za simu enzi za 2017. Biashara zenyewe nafanyia sehemu za barabarani kwahiyo wadau huwa nakutana nao sana hapa town..​

Kuna Vitu watu wanavidharau ila vinalipa sna mfano Mbeya kwenye soko lao la sido pale kuna viatu vinauzwa kwa bei ya 2000- 4000 alaf vjna wanazifua na kuweka kwenye vbanda vya nje ya soko ukigusa unaambiwa 15,000 au wengne jion wanavimwaga chini. Kuna vijana wa TEKU na Mzumbe ndo nilikuwa nakaaga nao ndo wakaanza kunipa hyo michongo wao walikuw wananunua na kuuza chini jion but mpaka sasa wote wamejiongeza wanachukua wanapeleka kwenye mikoa ambayo bado makolo wengi.

Najua sio kila mtu atakuwa mfanyabiashara au mkulima au mfugaji wengne wataishia tu kuajiriwa na ndio anakuwa ametimiza malengo yake japokuwa unashriki kutimiza malengo ya boss wako yaliokuwa yanamsumbua.
 
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi wala mtaji lakini unaweza ukamkuta na vitu hvi either kimoja or vyote.

1. Smartphone ya ghali (iphone 6 ,7,8 nk au samsung ya ghali sana.

2. Laptop isiyo na manufaa kwake (anatumia kuangalia movie).

Ushauri wangu:
Kama huna kazi na mtaji na upo kwenye hayo makund ya kumiliki vitu hvyo uza alaf fanya yafuatayo.

1. Ukiuza ukapata ata 400k unaweza ukazama ndichi ukaenda kukod shamba kwa ata 30k kwa heka ukalima maharage au zao lolote lisilo ns gharama na ukwekeza nguvu zako kuminimize cost unaweza ukatumia 300k n ukanunua ata Tecno ya kuwasalimia wadau online ukiwa ndichi.

Najua wengne mtajiuliza mashamba ya bei hyo unapata wap but hyo bei ukienda mkoa wa ruvuma kuanzia namtumbo, songea, mbinga, madaba, peramiho kote huko unapata mpka kwa 20k.

Pia ata songwe unapata kwa 40 to 50k, sumbawanga ni 25-50k, chunya ni 30-50k, njombe (mavanga) kunakubaki sana maharage kule ni 40k.

2. Kuna jamaa aliuza simu yake kwa 250k baada ya kitaa kumweka sawa akaenda kununua hle mashine ya fingerprint Famoco na kutoa aibu nabkuingia kitaa kusajili line mpaka sasa anapata commision around 200-350k per month na alitumia miezi mitatu tu akanunua tena simu na life go on.

3. Unaweza ata ukaenda masokon ukanunua mitumba viatu au nguo na kuanza kuuza kwa kuwa una elimu utaweza ata kutumia platform za social media kutafuta customers. (but degree uiweke pembeni).

4.Ukasubiri msimu wa mavuno ukaenda vijijin haswaaa ukanunua mazao kwa bei ya kulangua ukifika tiwn kidogo ukala cha juu huku ukiwa unakuza mtaji wako ikifika kubwa unafkisha town kabisa au unaprocess mwenyewe.

5. Ukiona zotehazikufai unasubiri Uncle atangaze ajira karibu forex utrade ukiwa n stress uchome account alaf uanze tena kutia huruma mtaani.

NB: Achana na motivational speakers wanakugeuza wewe fursa. Kilimo sio lazima uwe na miliioni ndo uanze kuna maeneo unapewa mashamba alaf unalipa gunia either 1 au 2 ukivuna so hapo inakuwa ni nguvu yako tu.

# If you want to start move join agriculture but agr will not make you to be rich.
#If u want to be rich do business.

Wadau wengine wataongezea lengo letu sote ni kufanikiwa tukumbuke tupo uchum wakati.
hiyo namba 5 simshauri yeyote, ni kwa wema tu.
 
Wazo zuri Mkuu,lakin hiyo 400k, bado unakoenda kama huna ndugu inabidi ukapange chumba na hapo inabidi ule so inatakiwa uwe na zaidi ya hiyo
 
400k inatosha kutokana na matumiz yako unayaamuaje.. Vyumba vijijini bei 3000 na kuendelea, je huwez kumud bei hizi? Chainizi, figiri, fungu moja ni tzs. 100 je halikutoshi kwa mlo mmoja? Bana matumizi, Kula chukuchuku maana huwez kufa ukila chukuchuku,, endelea kulimia hyo 400k yako naamin itakutoa.. Gharama za matumiz hayo kwenye maelezo ni uzoefu wa maeneo kama mbeya (uyole & mbalizi), lakin pia, kama ni mwanaume uwe tayari Kupiga chni mapenzi na wapenzi wote kutopata stress za kununua pedi, vocha, na hela za kusukia nyele.
 
Kuna watu wakifanikiwa kazi ndogo tu basi huwaona wote wasio na kazi hawajui, hawana akili na hawapendwi na Mungu.
Beba wewe Famoco uingine kitaa usajili line!

Sio kila kazi nj sahihi kwa kila mtu, kazi zingine lazima ziachwe kwa kundi maalum la watu na ukiforce yatakayokukuta Mungu shahidi, utakuwa umeyataka.

Huwezi kuwa graduate ukaenda kubeba mizigo sokoni eti unatafuta maisha! Maisha hayapo hivyo kama tu kusema maisha sio popote bali yana pahala pake.....Namaanisha kuwa unapoona wewe yanakuendea hapo ndio penyewe na sio lazima kila mmoja aje hapo ndio yawe maisha kwake.
Kweli mkuu kuna mishe zingine ukikurupuka kuziingilia unaweza ukajikuta unagongwa na gari au unavunja shingo halafu unaacha kutafuta kazi unabaki kujiuguza majeraha.
Hapa duniani mungu aliweka madaraja ya watu akiwa na maana yake.
 
Tatizo mmekariri nendani kuna sehem inaitwa matiri ipo mbinga ndio kunalimwa sana maharage ya njano alaf ukaulize shamba, kabla ujafka ukifka kigonsera au mkako bei ya juu na ni karibu na barabara ya lami kabsa utaambiwa 50elfu.

Kwa ndugu zangu wale wa mpunga usiende kapunga mbeya kule bila 200k ujaona shamba labda uzame ndani kwa wasukuma wanakupa mpaka ya kulima na kulipa magunia ila inategemea umeendaje but kwa mashamba ya ndani bei ni 100k.

Njoo kisaki kaulize mashamba bei ya mwisho ni 150k tena hayo ni yale yakiyopakana n mashamb ya waziri LUAGA MPINA. Hakuna sehem wanayokodi mashamb ya kulima msimu wa mvua ambayo sio ya mpunga inayofika 100k kuanzia moro mpaka nyanda za juu kusini ukibisha bisha ila wanaoelewa wanalitambua hyo hzo bei za juu labda Arusha na moshi coz sina uzoefu na kilimo cha huko.

Anaesema ni kilimo cha pdf karibu mbeya nikutembeze kwenye mashamb nitakufksha maeneo ambayo utalim mpaka uache mwenyew.
Sawa mkuu lakini huko mbalali usipokuwa na imani inatakiwa utafte ushirikina kwa kiasi Fulani,watu tumepoteza mitaji huko
 
Hiyo ndio sababu kubwa ya kutotoboa unaweza ukalima na ukafanikiwa kuvuna sana lkn ukabeba mzigo kwenda sokoni ukashangaa mazao kama yako ya kwako yamezagaa hovyo sokoni hadi wanayakanyaga na kuyapiga teke hapo ndio utata unaanzaga
Yani kwenye kilimo ni aheri kufanya scalping kuliko kuinvest pesa from scratch!

Tia hio laki 4 kwenye gunia za mahindi 30k each uvumilie ndani ya miezi 2-3 bei itapanda mara mbili yake utauza kwa faida.
 
bora hii una uhakika mzigo upo kuliko mtu unapoteza muda wako kukaa porini mwisho wa siku mvua zinakata mazao yanakauka au unaambiwa wadudu wamevamia wanaharibu kila kitu
Yani kwenye kilimo ni aheri kufanya scalping kuliko kuinvest pesa from scratch!

Tia hio laki 4 kwenye gunia za mahindi 30k each uvumilie ndani ya miezi 2-3 bei itapanda mara mbili yake utauza kwa faida.
 
Back
Top Bottom