Ushauri kuhusu uchaguzi wa godoro bora

Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro lingine premium,halina spring lakini linanesa sana na bei yake ni juu kidogo kuliko la Spring. Nimegundua nahitaji kupata uzoefu kwa watumiaji kabla sijajunua. Karibuni kushare experience.
Upo wapi mkuu?
 
Godoro langu lilinesa nesa siku ya kwanza kulalia ila baada ya hapo ni majanga na limekuwa ulimi kinoma .Nliambiwa ni tanform nkatoa 150k,kuja kusoma vizuri limeandikwa Dodoma sijui nn...kuwa makini mkuu usiuziwe fyamba
 
Tanform Walinipigia Wakaniambia Popote Ulipo Tanzania Wana Mawakala Wao
Unachofanya Unawasiliana Arusha Unapewa Ya Kiwandani Unaelekezwa Ulipo Na Wakala Wao Unabeba
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hilo godoro la tanfoam la spring silielewagi kabisa.

Yaani unalala kama unaelea vile na zile spring zinaumiza pia.
 
Back
Top Bottom