Hakuna Godoro Yaani Ni Bure Kabisa Ukilalia Likibonyea Basi Wala Halirudi JuuFanya ufanyalo, usinunue GSM tu….
Upo wapi mkuu?Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro lingine premium,halina spring lakini linanesa sana na bei yake ni juu kidogo kuliko la Spring. Nimegundua nahitaji kupata uzoefu kwa watumiaji kabla sijajunua. Karibuni kushare experience.
Ndo nimemweleza hapo, hizo godoro ni kiwango balaa...Godoro ni QFL DODOMA tu
gogoro n kuanzia laki nne kwenda mbeleGodoro langu lilinesa nesa siku ya kwanza kulalia ila baada ya hapo ni majanga na limekuwa ulimi kinoma .Nliambiwa ni tanform nkatoa 150k,kuja kusoma vizuri limeandikwa Dodoma sijui nn...kuwa makini mkuu usiuziwe fyamba
Hakuna kitu hapo atapoteza pesa zake bure.Mkuu chukua godoro Dodoma hutajuta, nafikiri ina lifetime guarantee maana mimi nimetumia zaidi ya miaka 15 na hayaonyeshi dalili ya kuchakaa.
MwanzaUpo wapi mkuu?
Tanfoam nini!Kuna godoro ni gumu utasema kitandani umepanga tofali ni kampuni gani hile
Sijajua,yaani kama tofaliTanfoam nini!
Wakati wa mechi inakuwaje?Sijajua,yaani kama tofali
QFL Dodoma ni mkataba.Hakuna kitu hapo atapoteza pesa zake bure.
Godoro ni Tanform Arusha pekee.
Dodoma ndo best miaka buku.Mkuu chukua godoro Dodoma hutajuta, nafikiri ina lifetime guarantee maana mimi nimetumia zaidi ya miaka 15 na hayaonyeshi dalili ya kuchakaa.
Inategemea na Dodoma upiMkuu chukua godoro Dodoma hutajuta, nafikiri ina lifetime guarantee maana mimi nimetumia zaidi ya miaka 15 na hayaonyeshi dalili ya kuchakaa.
Sijajua kwa watumiaji inakuwaje??Wakati wa mechi inakuwaje?