Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

mimi sielewi mizimu inapataje nguvu. ndugu yetu walihangaika kwa waombezi wote hakuna kitu mpaka huyo Mwamposa.
alipopelekwa Meru wazee walicheka sana. chap wakafanya mambo akakaa sawa.
sasa huwa nashindwa kuelewa ina maana hiyo nguvu ya maombezi inashindwa na mizimu? wajuzi nipeni majibu.
cc Mshana Jr
 
Yaani katika wapuuzi wewe ni namba moja,unaacha kumtegemea Mungu, unategemea mizimu,ndio maana mikosi haikuishi, maana unaujinga mwingi kichwani, we ulizaliwa na mizimu!? Pumzi unayovuta ni ya mizimu!? Du hii inchi ndio maana ina laana... Ina wajinga wengi mno..
Mungu ni nini? Au ni nani? Na hiyo mizimu ni nini?
Je! Hiyo pumzi unayosema inammiliki yeye mmiliki kaitoa wapi? Na unaposema hii nchi ina laana unamaanisha nini?
 
Unapoelekea unajichanganya mdogo wangu anza kusoma upya na soma kwa makini majibu yangu.

Hizi terminology mortal na immortal zimekuchanganya sana
Terminology hizo zinaeleweka, sasa wewe unachokosea nikwamba, unataka tuamini kuwa immortal ni roho, sasa na hiyo roho umekataa kuwa ipo mwilini ukaniambia ni hali, sasa hali ni nini? Ukaniambia haishikiki,haionekani , ndo nikakuuliza mnatumia kipimo gani kujua kuwa roho ipo?
....either ukabaliane na mimi hizo ni dhana ambazo hazina uthibitisho wowote kuhusu uwepo wake.
 
Terminology hizo zinaeleweka, sasa wewe unachokosea nikwamba, unataka tuamini kuwa immortal ni roho, sasa na hiyo roho umekataa kuwa ipo mwilini ukaniambia ni hali, sasa hali ni nini? Ukaniambia haishikiki,haionekani , ndo nikakuuliza mnatumia kipimo gani kujua kuwa roho ipo?
....either ukabaliane na mimi hizo ni dhana ambazo hazina uthibitisho wowote kuhusu uwepo wake.
Ndio maana nikakwambia tatizo lako unasoma haraka haraka.

Nilikwambia binadamu tumepewa roho ambayo haifi na mwili ambao unakufa ambapo kwa kizungu unatumia terminology za immortal na mortal.

Labda kama unataka uanzishe mada mpya kupinga uwepo wa roho kwa mwanadamu.
 
Ndio maana nikakwambia tatizo lako unasoma haraka haraka.

Nilikwambia binadamu tumepewa roho ambayo haifi na mwili ambao unakufa ambapo kwa kizungu unatumia terminology za immortal na mortal.

Labda kama unataka uanzishe mada mpya kupinga uwepo wa roho kwa mwanadamu.
Sindio hiyo roho ipo sehemu gani na wakati unapewa hiyo roho ulipewa kwa namna gani?
 
Back
Top Bottom