Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Yaani katika wapuuzi wewe ni namba moja,unaacha kumtegemea Mungu, unategemea mizimu,ndio maana mikosi haikuishi, maana unaujinga mwingi kichwani, we ulizaliwa na mizimu!? Pumzi unayovuta ni ya mizimu!? Du hii inchi ndio maana ina laana... Ina wajinga wengi mno..
Mungu ni nini? Au ni nani? Na hiyo mizimu ni nini?
Je! Hiyo pumzi unayosema inammiliki yeye mmiliki kaitoa wapi? Na unaposema hii nchi ina laana unamaanisha nini?
 
Unajua maana ya hali,? Kabla sijakupinga au kukubalia basi niambie unaposema hali unamaanisha nini?
Yaani unajuaje hii ni hali na hii si hali au nikipimo gani kinachotumika kuijua hali?
Wewe una mtazamo wako ambao unauamini kwaiyo usimchoshe jamaa kwa maswali yasiyo na kichwa wala miguu...Huamini mizimu full stop
 
Unapoelekea unajichanganya mdogo wangu anza kusoma upya na soma kwa makini majibu yangu.

Hizi terminology mortal na immortal zimekuchanganya sana
Terminology hizo zinaeleweka, sasa wewe unachokosea nikwamba, unataka tuamini kuwa immortal ni roho, sasa na hiyo roho umekataa kuwa ipo mwilini ukaniambia ni hali, sasa hali ni nini? Ukaniambia haishikiki,haionekani , ndo nikakuuliza mnatumia kipimo gani kujua kuwa roho ipo?
....either ukabaliane na mimi hizo ni dhana ambazo hazina uthibitisho wowote kuhusu uwepo wake.
 
Terminology hizo zinaeleweka, sasa wewe unachokosea nikwamba, unataka tuamini kuwa immortal ni roho, sasa na hiyo roho umekataa kuwa ipo mwilini ukaniambia ni hali, sasa hali ni nini? Ukaniambia haishikiki,haionekani , ndo nikakuuliza mnatumia kipimo gani kujua kuwa roho ipo?
....either ukabaliane na mimi hizo ni dhana ambazo hazina uthibitisho wowote kuhusu uwepo wake.
Ndio maana nikakwambia tatizo lako unasoma haraka haraka.

Nilikwambia binadamu tumepewa roho ambayo haifi na mwili ambao unakufa ambapo kwa kizungu unatumia terminology za immortal na mortal.

Labda kama unataka uanzishe mada mpya kupinga uwepo wa roho kwa mwanadamu.
 
Ndio maana nikakwambia tatizo lako unasoma haraka haraka.

Nilikwambia binadamu tumepewa roho ambayo haifi na mwili ambao unakufa ambapo kwa kizungu unatumia terminology za immortal na mortal.

Labda kama unataka uanzishe mada mpya kupinga uwepo wa roho kwa mwanadamu.
Sindio hiyo roho ipo sehemu gani na wakati unapewa hiyo roho ulipewa kwa namna gani?
 
Mila ni muhimu mangi kwa ambaye hataki aache, weka mshimbika wa mbege na maziwa mtindi afu chinja mbuzi sua dume......kule kwa babu yako wa jina.....wanasema kachinje mburu ya rina....chinja mbuzi ya jina....

Wachina, wahindi, waturuki, waafrika kusini, wamarekani wale wa asili, waisrael, nigerians, wanaamini rituals
Hao ulio wataja hapo chini sijui kwa waamini siku ya mwisho wataenda wapi!
Ndo maana mimi saa nyingine huwa nakuja na conclusion kwamba watu wasijifanye wanamjua sana Mungu kuliko wengine.
"Dini ni Fumbo"
Lakini kuna power above all ipo! Very confusing ukianza kuchimba haya mambo ya religions.
Ila Mungu Yupo na Malaika wapo hilo naamini.
 
Back
Top Bottom