Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Kwaiyo ww unataka kusema huna wazee au watu wazima wa ukoo ukawapigia simu wakakupa utaratibu mzuri wa nn chakufanya
Mbona kla kitu mnaweka wazi wazi wakat ayo ni mambo nyeti naya kifamilia
Ebu punguza kuomba ushauri ovyo ovyo tafta ndgu zako au wazee wa kabila lako wakupe maelezo nn chakufanya

Uwo ni ushamba na ujinga unafanya
Kuna wakati nilidhani mimi bado sijakuwa, kumbe nimeshakuwa na natakiwa kuyafanya mwenyewe!.....
 
Pole sana mkuu, changamoto yangu ni hao wazee wameshadanganywa kwa kupewa pesa na zawadi na wakajengewa nyumba ya kifahari na wao wamesahau asili yao kabisa.

Au ninaweza kutumia wazee wa kichaga wa ukoo mwingine wa jirani au italeta madhara?

Shukran mkuu,
• Kama ni ukoo wa kabila moja ni Sawa, maana Mizimu inaombwa hasa hasa makaburini( ya ukoo, kuyasafisha, kuchinja wanyama kwa ajili ya damu, baada ya hapo mtaludi nyumbani ) sehemu walipo kuwa wanaishi bibi na babu(kama walisha tangulia mbele za haki,).

• Mimi hii kazi kila misho wa mwaka lazima nifanye,

• Mizimu ni ulizi mkubbwa sana katika maisha wakikupenda na ni ngumu kuwatoa kupitia imani za kawaida.

• Faida niliyo iona kwenye Mizimu ni kwamba:-
(1) ukilala usiku wanakuletea njozi ya Maisha ya kesho yake itakuwaje katika harakati zako za utafutaji.
(2) wachawi watakuchukia sana maana hawezi kukuroga hata waungane, maana mchawi hawezi kuroga bila kuomba Mizimu husika ya ukoo wenu.
(3) mambo hunyooka kila utakacho gusa kwenye biashara kupata hasara ni mara chache sana.
 
Kwann aongee na mzimu wa kizungu badala ya kuongea na mizimu ya asili yake?
Mizimu tofauti zao ni nguvu ya mizimu hiyo: ukiwa na mzimu wa kizungu ambao hauna nguvu umeliwa, pia ukiwa na mzimu wa kiafrika ambao hauwezi kukusaidia pia umeliwa. Tafuta mzimu kutoka popote ili mradi una nguvu kushinda mingine ili upate ufumbuzi wa matatizo yako. Yesu Kristo ni biss wa hiyo mizimu.
 
Kokya meku!
#Mirumo!
Kumbuka Mirumo ina nafasi yake. Ukipuuzia ndo hayo - utateseka na hakuna rangi utaacha kuona. Hizo ni Roho na kumbuka ule upendo (uhusiano) uliokuwepo baina yako na wao wakati wa uhai wao unaendelea(Upendo haufi). Inakuwaje sasa unawadharau na kuwapuuzia kana kwamba lao limekwisha/limepita? Hapo ni lazima watakurudi na watakupa miongozo mpaka akili ikukae sawa.
 
Kwann aongee na mzimu wa kizungu badala ya kuongea na mizimu ya asili yake?
Nakazia hoja. Hawa jamaa weupe/wageni walipokuja, cha kwanza walihakikisha wamevunja-vunja, wamedhalilisha na kuifanya duni kabisa imani walioikuta tunayo na tunaiheshimu, kisha wakapandikiza mambo yao kwa manufaa yao hususan kurahisisha uchukuaji wa mali asili na kutufanya watulivu ili tutawalike kirahisi.
 
Nakazia hoja. Hawa jamaa weupe/wageni walipokuja, cha kwanza walihakikisha wamevunja-vunja, wamedhalilisha na kuifanya duni kabisa imani walioikuta tunayo na tunaiheshimu, kisha wakapandikiza mambo yao kwa manufaa yao hususan kurahisisha uchukuaji wa mali asili na kutufanya watulivu ili tutawalike kirahisi.
Upo sahihi.... Wametubandika Ukristo, wakawabandika uislam, ajabu na kweli sasa, eti sisi ndio leo hii tunaujua Ukristo /uislam kuzidi wao.
 
Upo sahihi.... Wametubandika Ukristo, wakawabandika uislam, ajabu na kweli sasa, eti sisi ndio leo hii tunaujua Ukristo /uislam kuzidi wao.
Inafikirisha sana. Yan tuseme; hivi ni kweli tangu kuumbwa wanadamu hakuna mmojawapo wa mababu zetu (mbongo - mTz) aliyefika kwa Mungu na anastahili kutumika kutuombea au tunayeruhusiwa kuwasiliana naye Kiroho? Eti hao weusi wanawaita ni Mizimu lakini wale weupe wanaitwa Watakatifu.😳
 
Mila ni muhimu mangi kwa ambaye hataki aache, weka mshimbika wa mbege na maziwa mtindi afu chinja mbuzi sua dume......kule kwa babu yako wa jina.....wanasema kachinje mburu ya rina....chinja mbuzi ya jina....

Wachina, wahindi, waturuki, waafrika kusini, wamarekani wale wa asili, waisrael, nigerians, wanaamini rituals
 
Mila ni muhimu mangi kwa ambaye hataki aache, weka mshimbika wa mbege na maziwa mtindi afu chinja mbuzi sua dume......kule kwa babu yako wa jina.....wanasema kachinje mburu ya rina....chinja mbuzi ya jina....

Wachina, wahindi, waturuki, waafrika kusini, wamarekani wale wa asili, waisrael, nigerians, wanaamini rituals
Hata kwenye hizi imani tulizoletewa (Dini) rituals huzingatiwa. e,g, Siku ya kuabudu kwa kukusanyika ni Jumapili au Jumamosi tu, siku nyingine ni nyongeza. Zipo sababu na chimbuko lake na pia mavazi rasmi kwa kiongozi wa shuguli hiyo ni lazima.
 
Hata kwenye hizi imani tulizoletewa (Dini) rituals huzingatiwa. e,g, Siku ya kuabudu kwa kukusanyika ni Jumapili au Jumamosi tu, siku nyingine ni nyongeza. Zipo sababu na chimbuko lake na pia mavazi rasmi kwa kiongozi wa shuguli hiyo ni lazima.
Uban na chetezo wapi majivu na jumapili ya matawi njoo maji ya baraka.
 
Nashukuru mkuu, wewe ni mchaga? Hili la kuchukua udongo unalizungumziaje? Mm nataka nichinje mbuzi kabisa na sio mara moja itakuwa mwendelezo kila baada ya muda fulani.
Yaani katika wapuuzi wewe ni namba moja,unaacha kumtegemea Mungu, unategemea mizimu,ndio maana mikosi haikuishi, maana unaujinga mwingi kichwani, we ulizaliwa na mizimu!? Pumzi unayovuta ni ya mizimu!? Du hii inchi ndio maana ina laana... Ina wajinga wengi mno..
 
Back
Top Bottom