Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Yaani katika wapuuzi wewe ni namba moja,unaacha kumtegemea Mungu, unategemea mizimu,ndio maana mikosi haikuishi, maana unaujinga mwingi kichwani, we ulizaliwa na mizimu!? Pumzi unayovuta ni ya mizimu!? Du hii inchi ndio maana ina laana... Ina wajinga wengi mno..
Oneni hii kenge, Mungu alikuzaa wewe? Au ulizaliwa kupitia mama na baba ambao wakifa tunawaita mizimu ndugu zetu wa karibu, au wewe umebeba makamasi hapo kichwani ukisikia neno mizimu unapagawa unaona kama majini, mapepo
 
Waliokufa katika mwili lakini wazima kiroho.
Haujajibu swali walio tutangulia wapi?
Watu waliokufa, wamekufa kabisa, unavyosema kimwili na wazima kiroho unamaanisha hawajafa, sa kwanini tunasema huyu mtu amekufa? Si tungesema huyu mtu ni mzima? Na roho nini kama sio mtu? yenyewe ni kiungo gani katika mwili ambacho chenyewe hakifi,?
 
Mila ni muhimu mangi kwa ambaye hataki aache, weka mshimbika wa mbege na maziwa mtindi afu chinja mbuzi sua dume......kule kwa babu yako wa jina.....wanasema kachinje mburu ya rina....chinja mbuzi ya jina....

Wachina, wahindi, waturuki, waafrika kusini, wamarekani wale wa asili, waisrael, nigerians, wanaamini rituals
Nashukuru mangi, mbuzi wa jina maana yake nini?
 
Oneni hii kenge, Mungu alikuzaa wewe? Au ulizaliwa kupitia mama na baba ambao wakifa tunawaita mizimu ndugu zetu wa karibu, au wewe umebeba makamasi hapo kichwani ukisikia neno mizimu unapagawa unaona kama majini, mapepo
Kwahyo mizimu ni nini? Ungewaelezea maana ya mizimu usingekutana na hayo maswali
 
Haujajibu swali walio tutangulia wapi?
Watu waliokufa, wamekufa kabisa, unavyosema kimwili na wazima kiroho unamaanisha hawajafa, sa kwanini tunasema huyu mtu amekufa? Si tungesema huyu mtu ni mzima? Na roho nini kama sio mtu? yenyewe ni kiungo gani katika mwili ambacho chenyewe hakifi,?
Binadamu amepewa roho ambayo ni immortal na mwili ambao ni mortal, kwamba mwili utakufa cell na organ nyingine won't function anymore.

Ila roho/nafsi ambayo haifi itabaki milele
 
Napitia changamoto kuhusiana na maswala ya mizimu, nataka ninunue mbuzi, mbege na vitu vyingine vitakavyotumika kwenye mila.

Nipo mkoa mwingine sipo moshi, ila changamoto nyingine kule kijijini wazee waliacha mila baada ya kushawishiwa na ndugu zetu wasomi uchwara waliobahatika kupata pesa na kukimbilia kwa mwamposa, ila mila hazikuvunjwa zingatieni hili wakuu kwahiyo bado tupo kwenye mikataba na mizimu.

Ombi langu ni kwamba nitawezaje kuwapooza hawa wazee wangu(mizimu) kwa kuchinja mbuzi angali sipo moshi na kule kuna changamoto nilizozitaja hapo juu wale wazee hawatakubali kirahisi.

kuna mtu kanishauri niende moshi nikachukue udongo alafu nirudi mkoani nichinje mbuzi na kuomba mizimu je hii itafaa?

Naombeni ushauri wachagga wenzangu.

Wale wafia dini naombeni mpite kimya kimya kama umeona kinyesi kibichi.
Kuna wahusika ndo wanaofanya hizo kazi sio kila mtu
Huwezi fanya mambo ya mizimu kienyeji
 
Mila ni muhimu mangi kwa ambaye hataki aache, weka mshimbika wa mbege na maziwa mtindi afu chinja mbuzi sua dume......kule kwa babu yako wa jina.....wanasema kachinje mburu ya rina....chinja mbuzi ya jina....

Wachina, wahindi, waturuki, waafrika kusini, wamarekani wale wa asili, waisrael, nigerians, wanaamini rituals
Achinje wapi hizo madhabahu anazijua unafikiri ni rahisi hivyo
 
Pole Sana Ila ndugu zako wasomi Elimu imewakomboa they are no longer stumble in damn
Running from your origin is craziness, they struggle seeking for the other power that doesn't belong to them

Hakuna msomi mpumbavu ndugu yangu hizo degree na masters ni makaratasi tu.

Degree au master ya uchumi inakusaidia nini kwenye maswala ya imani, stop being fool.
 
Nimepita kimya kimya
Na pipa lako kichwani baiki ya phoenix ya miaka hio ukiendesha hio baiki unaonekana una hela kishenzi, enzi hizo bodaboda na Bajaj hakuna kabisa tena ni zilikua za kuhesabu
 
Kwenye uzi kama huu ndio utajua jinsi gani watu ni wachawi!! Huo mnaofanya ni uchawi kbsa hakuna tofauti na anyeenda kwa mganga kufanya tambiko lkn mkiwa huku mtandaon mnabisha kuwa hakuna Mungu wakt nyie mnamiungu.
.
Ashukuliwe Yesu siguswi na mizim wala miungu ya kafara.. um free as wind..
 
Back
Top Bottom