Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Mkuu tuache ushabik....umewah tumia iphone,...na kama NDIYO...matumiz yake yakoje ukilinganisha na sm zngine kubwa za android....??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanunue iPhone mkuu achana na simu za Samsung ujiandae kwanza kwa gharama za kioo chenyewe au ikitokea imeharibika kitu kama MIC lazima uweke sain ili fundi anapotoa kioo kikivunjika ahusiki,. Alafu upande wa security ya android endapo imepotea lazima alieokota au kuiba ni rahisi sana kubadilishwa imei number na kutolewa kwa Samsung ID, ushauri kuhusu iPhone ni wengi hawajui kuzitumia kwa uvivu wa kutopenda kujifunza zaidi. Ila iPhone au kifaa chochote cha Apple ni Best ever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa android ni kwa sababu ina software nyingi na za bure. Pia haithibitiwi na hivyo sio salama. Ukiisha install hizo software wewe andaa kuflash mara kwa mara.
Ios the most stable. Intelligent and advanced os for mobile.
 
Nashukuru mkuu......bac utakuwa mtaalam sana wa hiz mm nilichemka!!....af cm yako soon itakata moto...icharge tafadhal

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahahaaaa...!!! Asante kwa ushauri mkuu, hii nauhakika wa kufika nayo mpaka mda nataka kulala kabisa ndio nitaipa moto, niliitoa asubuhi kabla ya kwenda kwenye mihangaiko wasaa9
 
Kiukweli mimi napenda Iphone sababu ya usalama
Nina uhakika hata kama nikiiacha mahali atakae ichukua atabaki nayo kama kopo
 
Nunua s8 au s8+ aiphones shida sana kutumia kwenye komputa ina masherti kibao
Japo natumia aiphone [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Point za nini sasa!!!

Umesema sijawahi kutumia iOS nimekubali,bado huna amani.

Unataka tubishane mpaka nikwambie simu nimeinunua lini na ni aina gani,sipo hivyo.

Acha ubishi... umeambiwa ukweli mtupu
 
Ni kweli zipo chache...bei ni kubwa kidogo lakini kama unavyojua tuna kawaida ya kununua majina yaliyozoeleka..na hii sio common sana hivyo hata wauzaji hawaweki sana as return ni pasua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

Nahisi uliuziwa techno...nnatumia jf, nadowload nyimbo na video pia plus apps kibao kwenye iphone
 
Ni kweli zipo chache...bei ni kubwa kidogo lakini kama unavyojua tuna kawaida ya kununua majina yaliyozoeleka..na hii sio common sana hivyo hata wauzaji hawaweki sana as return ni pasua!

Sent using Jamii Forums mobile app
kibongo bongo huwa wauzaji hawaamui simu za kueka wanaamuliwa na ma agent, wanaletewa tu sample wao wanaeka na kuuza. simu nzuri kibao ambazo zingeuza hazipo madukani.
 

Kwani Apple Store hakuna free app....!!??

Hebu ni app gani unayoitumia wewe wa android ambayo mimi nainunua huku Apple Store...!?
 

Acha uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…