[emoji3] [emoji3] [emoji3] loh! MakubwaMi najuta kuoa.bora ningebakia singo boy tuu
Nokia83, acha kumtia presha mwenzioUnaweza kukuta jirani yako ndio baba mwanaidi
sijapanga ni nyumba ya serikaliJengaa nyumbaa acha kupangaaa,we unapanga nyumba yenye single boys alafu mkeo mama wa nyumbani unategemeaann??tena ukute mkeo ndo alimtaka
Kuwa mvumilivu kwanza kaka.inaumiza sana.yani kuna muda nikimwangalia wife natamani nimmeze maana naona kama ananisanifu hivi. ila kuna muda utafika nitachukua maamuzi magumu sana we subiri
Nakusalim tu maana siku chache sijakuona.Nokia83, acha kumtia presha mwenzio
Umeongea ukweli mkuu, unaweza kukuta Mke ndo chanzo cha kila kituUshauri:- mkeo ndio anacho jamaa anachotaka. Ebu deal na mkeo acha kumfata jamaa huwez kujua labda mkeo ndio anamtaka.
Wewe endelea kujifanya una hasira sana ukamtoe roho binadam mwenzio.. Kaa ukijua damu ya mtu haiendi bure UTAILIPA TU.aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Nashukuru. Mi mzima. Sijui weweNakusalim tu maana siku chache sijakuona.
Kama unampenda mkeo/ndoa yako, nikushauri tafuta nyumba nyingine na kisha uhame.Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
SafiMueleze mkeo kua vyanzo vyako vimekudokeza kua ana uhusiano na huyo jirani yako,hii itamfanya kuelewa kua kuna watu wanamfuatilia na ataingiwa na woga coz hatajua ni nani hasa hao vyanzo vyako vya habari,
Mpe darasa jinsi gonjwa la ukimwi lilivyo hatari na halina tiba mpaka leo ukizingatia mna mtoto na anahitaji malezi ya baba na mama,akileta jeuri achana nae kwani kuishi na mke ambae si muaminifu ni kujitafutia magonjwa ya moyo,ukimwi na magonjwa mengine au kifungo gerezani.
kama anatembea na mkewangu nipo tayari kwa loloteWewe endelea kujifanya una hasira sana ukamtoe roho binadam mwenzio.. Kaa ukijua damu ya mtu haiendi bure UTAILIPA TU.
ongea na mkeo maana ndie asiejielewa.
Mie mzima pia namshukuru mungu.Nashukuru. Mi mzima. Sijui wewe