Ushauri: Je, nilivyojenga juu ya shimo la choo ni sahihi?

Kazanazo

JF-Expert Member
Aug 16, 2023
692
1,362
Kama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.

Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.

Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.

Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.
 
Kama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.

Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.

Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.

Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.
Hakuna shida kabisa.
Huo ndio ujenzi wa kijanja, matumizi sahihi ya ardhi ndio kipaumbele.
 
Kama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.

Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.

Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.

Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.

Subiri tetemeko la ardhi lipitie hapo ndipo tutakuja kuongea hapa!
 
Kama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.

Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.

Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.

Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.
Kuta za karo la choo ulilaza tofali au ulisimamisha? Kwenye slab ulitumia nini kati ya ile milunga iliyokaa kama kuni ama nondo? Na kabla ya kulaza hizo tofali, ulikumbuka kuweka mawe ya kutosha na zege mahali ambapo ukuta unatakiwa kupita ili maji ya choo yasije yakachimba chini ya ukuta na kufanya kuta zining'ing'ie na kushuka chini baada ya muda
 
Kuta za karo la choo ulilaza tofali au ulisimamisha? Kwenye slab ulitumia nini kati ya ile milunga iliyokaa kama kuni ama nondo? Na kabla ya kulaza hizo tofali, ulikumbuka kuweka mawe ya kutosha na zege mahali ambapo ukuta unatakiwa kupita ili maji ya choo yasije yakachimba chini ya ukuta na kufanya kuta zining'ing'ie na kushuka chini baada ya muda
Ukuta tumetumia wa fensi na kufunika fundi kashauri tutumie yale mabanzi ya miti yaliyokuwa yanatumiwa na wazee kujenga nyumba za miti huwa hayaliwi na wadudu ko hatukutumia nondo
 
Kuta za karo la choo ulilaza tofali au ulisimamisha? Kwenye slab ulitumia nini kati ya ile milunga iliyokaa kama kuni ama nondo? Na kabla ya kulaza hizo tofali, ulikumbuka kuweka mawe ya kutosha na zege mahali ambapo ukuta unatakiwa kupita ili maji ya choo yasije yakachimba chini ya ukuta na kufanya kuta zining'ing'ie na kushuka chini baada ya muda
Kuta za karo walitumia zile tofari zenye matobo katikati, so walilaza kiubavu
 
Hio Slab iliyopangwa kuziba shimo la choo iliwekwa istahili uzito kiasi gani (siwezi kujua huenda lilikuwa ni Handaki likabadilishwa kuwa shimo la Choo au waliweka tu kufunika harufu isitoke yaani hata nzi wa kutosha wakitia kambi inaanguka...

Kuweka zege bila foundation kuwa makini kuhimili uzito huenda hata hio zege inaongezea uzito kupunguza safari ya inevitability...
 
Hio Slab iliyopangwa kuziba shimo la choo iliwekwa istahili uzito kiasi gani (siwezi kujua huenda lilikuwa ni Handaki likabadilishwa kuwa shimo la Choo au waliweka tu kufunika harufu isitoke yaani hata nzi wa kutosha wakitia kambi inaanguka...

Kuweka zege bila foundation kuwa makini kuhimili uzito huenda hata hio zege inaongezea uzito kupunguza safari ya inevitability...
Kuhusu kujengea shimo fundi kajitahidi ni laduara kalijenga vizuri tu sema nahofia joto la ndani haliwez kuleta athari za baadae maanake tumelifunika gubigubi na foundation ya jiko na choo kwa juu ukienda hata dalili ya shimo lilipo halionekani
 
Kuta za karo walitumia zile tofari zenye matobo katikati, so walilaza kiubavu
Hiyo ni hatari sana kiusalama, vile vitofali kwanza ni vyembamba halafu huwa wanafyetua vitofali vingi kwa mfuko mmoja wa cement kwa hivyo ubora wake pia ni wa mashaka. Ni afadhali ungetumia hizi tofali za kawaida kwa kuzilaza, kwa hapo mkuu, kaa tu mguu pande
 
Hiyo ni hatari sana kiusalama, vile vitofali kwanza ni vyembamba halafu huwa wanafyetua vitofali vingi kwa mfuko mmoja wa cement kwa hivyo ubora wake pia ni wa mashaka. Ni afadhali ungetumia hizi tofali za kawaida kwa kuzilaza, kwa hapo mkuu, kaa tu mguu pande
Fundi alisema zile ndo nzuri ili maji yapenye yanyonywe na ardhi

Sasa kwa usalama zaidi ili kupunguza athari nifanyeje mkuu
 
Ucjalibu utaua watu.
Kuna picha naweka hapa sema inagoma. Tena shimo hilo limejengewa tofali nchi 6 lakini limeshuka chini baada ya MIAKA 9. Sio poa na juu hapakua n chumba chchote
Itakuwa vizuri iyo picha ikikubali ku upload ili tujifunze mkuu
 
Ukuta tumetumia wa fensi na kufunika fundi kashauri tutumie yale mabanzi ya miti yaliyokuwa yanatumiwa na wazee kujenga nyumba za miti huwa hayaliwi na wadudu ko hatukutumia nondo
Unauliza baada ya kujenga? Kama nimelewa vizuri ujenzi wako, shimo la choo linahitaji sehemu ya ''kupumua'' kwani kunakuwa na production ya gas ndani. Uliweka chimney ya kutolea gas?
 
Uimara unategemea kuta za hilo shimo la choo na slab umetumia material gani.

Shule za umma miaka ya nyuma vyoo vilikuwa vinakuwa juu ya karo lenyewe hata matundu sita na hakuna shida pamoja na idadi kubwa ya wanafunzi.
 
Uimara unategemea kuta za hilo shimo la choo na slab umetumia material gani.

Shule za umma miaka ya nyuma vyoo vilikuwa vinakuwa juu ya karo lenyewe hata matundu sita na hakuna shida pamoja na idadi kubwa ya wanafunzi.
 
Ukuta tumetumia wa fensi na kufunika fundi kashauri tutumie yale mabanzi ya miti yaliyokuwa yanatumiwa na wazee kujenga nyumba za miti huwa hayaliwi na wadudu ko hatukutumia nondo
Are you serious mabanzi ni Bora kuliko nono? Ungetumia nondo nzito
 
Back
Top Bottom