Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 692
- 1,362
Kama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.
Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.
Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.
Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.
Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.
Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.
Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.