Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.


Hizo tetesi umezisikiaje mkuu?
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Mungu atakupa hitaji la moyo wako
 
Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
 
Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Hatari mabinti wengi wakishaona husikii wanasumbua wanaambizana nitampeleka wapi
 
Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Jiamini, jikubali, ukifanya hivyo na wengine watafanya hivyo kwa lazima. Ukijishusha na kuwa mbabaifu na wengine wana kushusha na kukufanyia ubabaishaji.

Jiweke namna unataka, misimamo nk.
 
Jiamini, jikubali, ukifanya hivyo na wengine watafanya hivyo kwa lazima. Ukijishusha na kuwa mbabaifu na wengine wana kushusha na kukufanyia ubabaishaji.

Jiweke namna unataka, misimamo nk.
Me pisi nazipata sema huyu nimeambiwa tu anavyosema sina uhakika
 
Wanaume wanaweza kuishi na wanawake pamoja na udhaifu lkn wanawake ni wachache sana wenye moyo huo Ningekua na uwezo Mungu atubari wanaume wenye uoendo wa kweli wote tuende peponi.Unakuta una risk unajinyima kumake hata usile mchana lkn ukailinde familia yako lkn bado unaporudi nyumbani unakuta mke hajali wala nini yupo yupo tuu.
 
Back
Top Bottom