uKijana unajidanganya.
Usiache mbachao kwa msala upitao.
Au wewe ni wa KKKT?
hahahahahaa mbona umepanick bosi imani ya kweli imebaki rohoni acha ufia dini usio na mantiki we jamaa kkkt si kanisa na likikosea acha manabii wakemeee mnaleta udini siasani na mkemewe tu
nani kakudanganya kuwa imechuja?Hii nyimbo imechuja leteni nyingine....
Hatumuogopi "mungu", tunamuogopa "Mungu"...
Namalizia kwa kusema:
Pumbaf zenyu magamba mazafantaz firigisi mkia wa ng'ombe mbuzi nyie shwain!
Acheni ulofa,
Huyo mwenye moyo wa bandia hamwoni?
Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahau jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo anapiga "CCM Oyee" jukwaa la chadomo.
Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amri Abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).
Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.
Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.
Kutokana na muonekano wa kiafya wa muheshimiwa Lowassa nashauri kusitisha kampeni kwa ngazi ya uraisi. Apate muda wa matibabu. Siasa zisipotezee utu wetu! Uhai na thamani ya maisha ya mwanadamu ni zaidi ya siasa.
Kwa jinsi alivyokuwa pale Zanzibar leo kiukweli huyu mtu kama CHADEMA mtaendelea kumpeleka kwenye kampeni mnapata dhambi kwa Mungu serious! Sitishe kampeni kwanza zifanyike taratibu za kihospitali.
Wagombea ubunge wanaweza kuwa wanaendelea kumnadi kipindi ambacho hatokuwepo katika kampeni zao za kila siku.Kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, JK aliumwa na akalitangazia taifa.
CHADEMA pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please!
Naomba nisitafsiriwe vibaya
Ata Mohamed Buhari Yule wa Nigeria walisema hivi hivi mwisho wa siku kampeni zikaisha akaibuka kidedea
u
Kwenye uislamu kmekushinda, mfumo kristu umekushinda, sasa umeingilia KKKT, nakoo utashindwa pia, you are a loser FaizaFoxy
Kutokana na muonekano wa kiafya wa muheshimiwa Lowassa nashauri kusitisha kampeni kwa ngazi ya uraisi. Apate muda wa matibabu. Siasa zisipotezee utu wetu! Uhai na thamani ya maisha ya mwanadamu ni zaidi ya siasa.
Kwa jinsi alivyokuwa pale Zanzibar leo kiukweli huyu mtu kama CHADEMA mtaendelea kumpeleka kwenye kampeni mnapata dhambi kwa Mungu serious! Sitishe kampeni kwanza zifanyike taratibu za kihospitali.
Wagombea ubunge wanaweza kuwa wanaendelea kumnadi kipindi ambacho hatokuwepo katika kampeni zao za kila siku.Kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, JK aliumwa na akalitangazia taifa.
CHADEMA pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please!
Naomba nisitafsiriwe vibaya
Sidhani kama afya bora kwa raia ni miongoni mwa sera za chadema..Kama wanashindwa kujali afya ya huyu mzee sembuse ss walalahoi
Kinachoguopesha wewe ni ufisadi wako! Unaona akija rais asiye upande wa kilaza Kikwete utafilisiwa na kuishia jela!Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahau jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo anapiga "CCM Oyee" jukwaa la chadomo.
Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amri Abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).
Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.
Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.