J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,139
- 2,635
Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahau jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo anapiga "CCM Oyee" jukwaa la chadomo.
Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amri Abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).
Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.
Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.
Kama hawawezi kuliona umelileta hapa la nini?. Basi wewe unakihelehele na kiroho pepo