Ushauri: CHADEMA muogopeni Mungu juu ya Edward Lowassa

Ushauri: CHADEMA muogopeni Mungu juu ya Edward Lowassa

punguani mkubwa wewe, una akili za shetani kabisa! unamwita raisi wako, raisi wa mama yako, raisi wa baba yako, raisi wa lowassa na raisi wa watanzania mil 46 kilaza! kupata kicertificate cha gade III cha ualimu ndo unajiona intelligent kuliko raisi! pumbavu na lofa mkubwa wewe, koma kabisa kuwa na adabu
punguza jazba mbona JK alikuwa na kifafa na Ikulu aliingia au ulikuwa bado kuingia bongo kutoka kwenu congo?
 
Hata asipofanya kampeni CDM wakasema akapumzzike kura yangu anayo
 
tumia akili katika kujenga hoja.
Kenya, rais mwai kibaki alikuwa mgonjwa kwa taarifa yako lakini ndiye aliyeongoza kwa vizuri kenya.
Sisi hatujui anaumwa nini labda twambie anaumwa nini ili tukamtibia aje kututawala akiwa na afya njema.

wewe na nduguzo ndiyo mtatawaliwa na mwana mazingaombwe mwenzenu
 
Hajawahi kushindwa ndiyo maana hata kivuli chake mnaogopa.
Mmetumia pesa mpaka zimeisha sasa mnaangaika tu na atapita tu.
MABADILIKO LOWASA

NI KWELI MABADILIKO YA KUJENGA MATEMBE NCHI NZIMA KWA SIKU MIA MOJA Bhangi zingine bwana hadi raha unadanganywa utafikiri we ni maiti na unakubali tu kama kondoooooooooooooooooo kweli hii ndiyo pipozi pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom