Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,618
- 5,650
Mimi nataka kufungua mirath ya Baba yangu mkubwa kwa bahati mbaya Mungu akumjalia mtoto..
Umepita mda sasa mirathi haijafunguliwa na baadhi ya ndugu wamenza kujimilikisha baadhi ya vitu..
Ndg Wakili utanisaidiaje...
Umepita mda sasa mirathi haijafunguliwa na baadhi ya ndugu wamenza kujimilikisha baadhi ya vitu..
Ndg Wakili utanisaidiaje...