Dom2
Member
- Jul 15, 2021
- 72
- 99
Habari za leo ndugu zangu,
Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.
Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.
Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.
Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?
Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.
Nawasilisha.
Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.
Hukumu ya kesi imetoka tarehe 04/04/2023 baada ya mtuhumiwa kukiri. Hakimu kamuamuru anilipe hela hiyo ndani ya miezi mitatu, kwa maana tarehe 04/04-4/7/2023. Muda ulipita na Mdaiwa hakulipa chochote.
Nikarudi Mahakama tarehe 10/07/2023 kuripoti kuwa sijalipwa. Wakanielekeza niadike barua ya kukaza hukumu, nikaandika nikawakabidhi.
Mpaka sasa sijapewa taarifa yoyote na nakala yangu ya hukumu pia hawajanipa. Je, nifanye nini kupata haki yangu? Na kipi kinafuata baada ya hatua hiyo?
Naomba sana Wataalamu wangu muongozo wenu wa Kisheria.
Nawasilisha.