chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 289
Sheria inataka mkataba ushuhudiwe na wakili au hakimu sio serikali ya mtaa kwanza sheria haiwatambui tunafanya kwa mazoea kwa sababu kubwa moja tu wao ni kamishna wa viapo pia ni wataalamu kuandaa mkataba au kuchukua template za mkataba inaweza kuletea shida mbele kuna formality za legal contract