Nilikuwa airport asubuhi nikashangaa,nilijua CCM ndio wametengeneza hiyo ndege kumbe tumenunua . Seriously tunaacha kazi za msingi tunaenda kuishabikia ndege kuanza safari yake ya kwanza .Watanzania tulikofikia siko wenzetu wanatengeneza nasisitiza wanazitengeneza nyingi tu sisi kamoja utafikiria tumetua mass tusibweteke Watanzania safari bado Ni ndefu Sana Kama ndege tu tunaacha shughulike zote na kupokea . Anyway hongera Raisi wetu tunashukuru tungeshangilia Nini kwa mfano Maine Seema Nina wivu jamani Ni mawazo yangu ya kishamba