Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Katibu mkuu John Mnyika anaonesha video ya mtu mmoja aliyemtaja kwa jina la Noeli Mhema akiwa amelala chini baada ya kupigwa rungu la kichwa na kung'atishwa mbwa ambapo pembeni wanaonekana polisi pembeni na baadaye wakimpakia kwenye gari kumpeleka hospitali. Kwenye taarifa ya jeshi la polisi hakuna taarifa inayomhusisha Noeli na kwamba hakuna mtu yeyote aliyepigwa tarehe 24 Aprili 2025. Kwa ushahidi huu polisi bado mnakana kuhusika?
Pia soma Muliro awakana Makada wa CHADEMA wanaodai kuteswa, kutupwa porini
Pia soma Muliro awakana Makada wa CHADEMA wanaodai kuteswa, kutupwa porini