Nyie leo tunawapa pongezi kwa kwa kuwafunga watoto wa mtaani wa Morogoro mjini, walio chini ya miaka ishirini magoli 5 - 0
Pole mleta Uzi mbona hayo kwa simba na yanga ni vitu vya kawaida sana! Bila ya Mo simba pia si lolote kitu cha muhimu ni kupata viongozi weredi ambao watatumia assets za timu vzr ili ziweze kujitegemea. Mfano wanachama na wapenzi wa hizo timu ni moja ya asset kubwa wakiwatumia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtibwa ,Kagera na mbeya cityNalo Hilo Lina Mantiki Gani?
Ukiacha Azam Ni Timu Ipi Bongo Iliyo Na Pesa(tajiri) Zenye Mfumo Bora Wa Uendeshaji?
Hadi Saiv Simba Wanafarakana Kisa Pesa Za Mo.
Twende Ulaya Achana Na ViThread Uchwara Kufungua.
masuala ya ubingwa yanaingiaje hapa sasa?
Mkuu unawajua lakini Moro Kids....?Nyie leo tunawapa pongezi kwa kwa kuwafunga watoto wa mtaani wa Morogoro mjini, walio chini ya miaka ishirini magoli 5 - 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgecheza basi hata na polisi moro wakubwa wenzenu.Mkuu unawajua lakini Moro Kids....?
Hii team ndo iliokuza karibia robo ya timu ya Simba.... Na wachezaji wengi tuu ligi kuu wamepitia apa........!
Akitokea Mzamini akaamua ipande kama ilivo ni balaa ligii kuu......!
Mbona hiyo ni siku ya Wajinga?(nimeona nichomekee tu kidogo)
Mbona hiyo ni siku ya Wajinga?(nimeona nichomekee tu kidogo)