Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,017
- 132,748
Naunga mkono hoja
P
Naunga mkono hoja
Sema mama kawa mkweli mpaka kapitiliza ... unaweza hisi sasa kuna bifu la wanawake na wanawake katika uongozi...
Kenge wewe! Majizi ya Kura Toka kuzimu na aliyeanza huu wizi Yuko kuzimu tayari!Hahahahaaa, nyumbu bwana. Kesho anaweza kwenda kuchukua nafasi ya kugombea uraisi akapewa halafu baada ya oktoba 25 ambapo mama la mamama atajipatia ushindi wa 98% atarudi alikotoka. Kwakweli unyumbuni Kuna kazi!!
Unasemaje nyumbu?!!!UMmebadili makalio kua kichwa
Bifu lipo subiri bunge livunjwe utaona motoSema mama kawa mkweli mpaka kapitiliza ... unaweza hisi sasa kuna bifu la wanawake na wanawake katika uongozi...