Yani acha kbs,
Kwanza nilikua na hofu ya ajabu angekuwa makin angenistukia,
Yan mawasiliano ndio yaliishia pale sikusubutu kupokea simu yake wala kujibu msg,
Alihangaika km wiki hv nae akachoka akapotezea,
Ila alijua kuwa nilimkimbia but hakujua sababu!!!
mwenyewe alijitupiaaa kwa ajili ya kukuona wewe ukamtoroka lol
Ila kwa hii thred nimejifunza kitu