Usha flirt naye sana

Usha flirt naye sana

Kama umepanga kukutana na mtu ambaye humfahamu:
1. Wahi kwene eneo la tukio
2. Kaa kwene kona, sehemu ambayo unaona kwa urahisi watu wanaoingia. Muulize amevaa rangi gani?
3. Ukimuona mtu ameingia anang'aa ng'aa macho na pengine amevaa rangi hiyo, ujue ndio huyo.
4. Ku komfemu jidai kum - bipu kwene simu. Ukiona anapapasa pochi kutoa simu, na ukagundua umeingia choo cha kike, zima simu haraka, jidai unaenda toilet, tokea mlango wa nyuma, kula kona!
5. Au unaweza kujikausha tu ukaendelea kupiga stori na wadau wengine ila simu iwe off
 
Duh, kaazi kweli kweli - Lizzy
Bora sie hadi tutoke huku Nkasi hadi tuonane sura zitakuwa zishabadilika.

@AshaDii, umejuaje kama jina langu ni local name afu nimeli-rebrand?
 
mimi nashauri watu kabla ya kukutana
muende facebook kwanza
muonane sura zenu,majina yenu kamili
utazame na friends list yake usije kuona
anamjua mkeo,mumeo.mama yako,boss wako...
ukiwa clear ndo muonane

hahaha nimeipenda hii.
uko smart ndugu duuh.
naona hautaki kurudia makosa lol.
 
Kama umepanga kukutana na mtu ambaye humfahamu:
1. Wahi kwene eneo la tukio
2. Kaa kwene kona, sehemu ambayo unaona kwa urahisi watu wanaoingia. Muulize amevaa rangi gani?
3. Ukimuona mtu ameingia anang'aa ng'aa macho na pengine amevaa rangi hiyo, ujue ndio huyo.
4. Ku komfemu jidai kum - bipu kwene simu. Ukiona anapapasa pochi kutoa simu, na ukagundua umeingia choo cha kike, zima simu haraka, jidai unaenda toilet, tokea mlango wa nyuma, kula kona!
5. Au unaweza kujikausha tu ukaendelea kupiga stori na wadau wengine ila simu iwe off
Dah!umenikumbusha mbali sala lol!
Hii nilishaitumia siku moja bana,

Nilikubaliana kukutana mahala na mkaka na hatukuwahu kuonana hanijui simjui,
Basi nikawahi kufika eneo la tukio moyo ukiwa unanienda mbio balaa kwa sijawahi kwenda kukutana na mtu simjui,
Basi jamaa akaja nikamuuliza kavaje akaniambia rangi ya tshet tu basi nikawa makini kuangalia kila anaeingia,
Hamad kaingia mtu aliestua sana mara akawa anapiga simu nimjua khaaaa!
Sijui ndio usharobaro kavaa pensi oversize msinglend juu ya tshet,kasuka nywele huku ana heren jamann jaman,
Kuangalia vizuri kavaa machen chen yale makubwa yan hizo swaga zake nikawa nishamchoka kbs!
Kwa kweli kwa vile sina ujasiri hata wa kusimama na mtu wa ivo hata sekunde,nilizima simu na tukapisha pale mlangon nikasepa zangu kwa aman na tangu siku hiyo nilikoma siwezi kwenda kumuona mtu nisomjua kbs!!!
 
Dah!umenikumbusha mbali sala lol!
Hii nilishaitumia siku moja bana,

Nilikubaliana kukutana mahala na mkaka na hatukuwahu kuonana hanijui simjui,
Basi nikawahi kufika eneo la tukio moyo ukiwa unanienda mbio balaa kwa sijawahi kwenda kukutana na mtu simjui,
Basi jamaa akaja nikamuuliza kavaje akaniambia rangi ya tshet tu basi nikawa makini kuangalia kila anaeingia,
Hamad kaingia mtu aliestua sana mara akawa anapiga simu nimjua khaaaa!
Sijui ndio usharobaro kavaa pensi oversize msinglend juu ya tshet,kasuka nywele huku ana heren jamann jaman,
Kuangalia vizuri kavaa machen chen yale makubwa yan hizo swaga zake nikawa nishamchoka kbs!
Kwa kweli kwa vile sina ujasiri hata wa kusimama na mtu wa ivo hata sekunde,nilizima simu na tukapisha pale mlangon nikasepa zangu kwa aman na tangu siku hiyo nilikoma siwezi kwenda kumuona mtu nisomjua kbs!!!

Pole sana huyo ni cheki bobu:lol:
 
katafute filam inaitwa
YOU HAVE GOT MAIL'

watu walikuwa wapenzi mtandaoni,wanashauriana na kupeana mahaba
wakati in real life ni maadui hawaelewani....lol

The Boss niliiona ile movie mwaka jana ndo haya ya JF mtu mmoja ni mkubwa tu tunafanya nae kazi ,Nikaenda kwenye meza yake nakuta JF page nikakodoa na kuona jina lake lol nakujiuliza kumbe huyu ndie fulani lol nilikauka kama sio mie FL1 ...
 
The Boss niliiona ile movie mwaka jana ndo haya ya JF mtu mmoja ni mkubwa tu tunafanya nae kazi ,Nikaenda kwenye meza yake nakuta JF page nikakodoa na kuona jina lake lol nakujiuliza kumbe huyu ndie fulani lol nilikauka kama sio mie FL1 ...

Firstlady,

Mi mwenyewe nimembaini dogo mmoja kijana wangu wa ofisini sasa hivi namchora tu, anapenda kweli kuja humu MMU na jina lake namjua nakuwa makini sana asinikamate na mimi :lol:
 
Uso wa mbuzi utaendelea tu...thats online life and what she sees is the real life. All above avoid online flings!
 
Kama umepanga kukutana na mtu ambaye humfahamu:
1. Wahi kwene eneo la tukio
2. Kaa kwene kona, sehemu ambayo unaona kwa urahisi watu wanaoingia. Muulize amevaa rangi gani?
3. Ukimuona mtu ameingia anang'aa ng'aa macho na pengine amevaa rangi hiyo, ujue ndio huyo.
4. Ku komfemu jidai kum - bipu kwene simu. Ukiona anapapasa pochi kutoa simu, na ukagundua umeingia choo cha kike, zima simu haraka, jidai unaenda toilet, tokea mlango wa nyuma, kula kona!
5. Au unaweza kujikausha tu ukaendelea kupiga stori na wadau wengine ila simu iwe off

Hii nimeipenda sana
Asante sana kwa haya maujanja
 
Duh, kaazi kweli kweli - Lizzy
Bora sie hadi tutoke huku Nkasi hadi tuonane sura zitakuwa zishabadilika.

@AshaDii, umejuaje kama jina langu ni local name afu nimeli-rebrand?



Na mimi si ndio hao hao.....lol....
 
Na kweli ni cheki bob,
Maana zile swaga na mie mluga luga lol
Nilihisi dunia yote na watu wake watastop shuhuli zao kwa muda na kunitizama mie na huyo cheki bob!

pole Cantalisia, so baada ya hapo ulimreject kabisa?? lol sipati picha mimacho ilivyokutoka
 
Na kweli ni cheki bob,
Maana zile swaga na mie mluga luga lol
Nilihisi dunia yote na watu wake watastop shuhuli zao kwa muda na kunitizama mie na huyo cheki bob!

Cantalisia,

Mimi tabia ya kuwahi eneo la tukio na kukaa mahala ambapo sipo ilikuwa inanisaidia sana, kwa mfano unamwambia upo kwenye counter kumbe ukakaa ndani ya gari hushuki unaangalia tu pale mahali.

Lakini mimi zaidi nilifanya kiusalama coz unaweza kuwa unawasiliana na binti kumbe ana kijeba chake kinastukia kinapokonywa simu wanakuja wote halafu inakuwa balaa bin valangati :lol::lol:
 
embu watu rudini na ID zenu za Darhotwire,

PapaK kasharudi, wengine vipi??, hakika inawezekana watu wengi tunafahamiana humu, basi tu
 
kiukweli nilikuwa napenda nijuane na wana jf japo wawili watatu,nikutane nao tutie story ila sio kimapenzi.lakini kwa hali hii,bora nisijuane na mtu humu.tutaishia humu humu.wengine kazi kuchorana tu
 
pole Cantalisia, so baada ya hapo ulimreject kabisa?? lol sipati picha mimacho ilivyokutoka
Yani acha kbs,
Kwanza nilikua na hofu ya ajabu angekuwa makin angenistukia,
Yan mawasiliano ndio yaliishia pale sikusubutu kupokea simu yake wala kujibu msg,
Alihangaika km wiki hv nae akachoka akapotezea,
Ila alijua kuwa nilimkimbia but hakujua sababu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom