Usha flirt naye sana

Usha flirt naye sana

Jamani acheni tuu. Zamani kama 10yrs back nilikuwa nawasiliana na msichana mmoja wa nairobi, tukafahamiana zaidi mpaka kila mmoja akatamani kuonana na mwenzake. Siku moja nikapata safari ya kikazi nairobi, nikafurahi kweli coz ningeonana na rafiki yangu. Nikamwambia nakuja naoirobi, akafurahi sana akatamani pia nifikie kwake ila nikakataa. Nilipofika nairobi, kama baada ya siku2 tukapanga kukutana. Kosa langu sikuweza kujificha kwanza so tukaonana direct. Jamani nilishtuka sana coz alikuwa ana sura ya utatanishi mpaka nikaogopa. nilimwambia nina haraka nitamtafuta kesho, nilipompiga mgongo tu,nika delete contacts zake na sikuwasiliana naye tena mpk leo. Ogopa kukutana na sura ambayo hukuitegemea...
 
Mkuu usafiri wangu bado natumia ule niliopewa na Mwenyezi Mungu bana
mambo ya GX 100 sijafikia viwango kabisa
Na kama ananipendea huo usafiri naona hapo uzalendo utanishinda

Mtu huvutiwa then hupenda, wengine wakivutiwa na uzuri wa umbo,wapo ambao wanavutiwa na magari....hujapenda kaka....

Ukipenda hukati tamaa kirahisi...lol
 
mambo ya Mheshimiwa mbunge mtarajiwa..jipange mkuu

Yaani Michelle,namkumbusha tu Mr. rocky maana unaweza kushangazwa mtu anayemdondokea ndo mbunge mtarajiwa, sasa akienda na Gx100 si ndo tutapata sababu ya kurudi chit chat kwa sredi nyingine? lol
 
Hommie unakumbuka tulivoumbuka siku ile tuna miadi ya kukutana na invizibo? Mi nlikwambia invizibo ni SHE ukabishaga. Damn!

Ndio maana utaratibu wako wa "kukagua" haujawahi kuhojiwa popote kwenye katiba yetu. una manufaa yake aisee😛oa
 
Mtu huvutiwa then hupenda, wengine wakivutiwa na uzuri wa umbo,wapo ambao wanavutiwa na magari....hujapenda kaka....

Ukipenda hukati tamaa kirahisi...lol
Nakubaliana na wewe
ila kama kigezo kuwa ni lazima niwe na hiyo GX100 hapo naona atakuwa hanipendi
mambo mengine yanakuja taratibu naweza nikavutika kwake hata kama siku hiyo nimeenda kwako na usafiri wangu wa Mwenyezi Mungu na then kama mambo yakikubali ndo mambo ya GX100 yanajitokeza
Huwa material things vinafuata baada ya real love kuonekana na sio kwamba tuanzie kwenye materials na then tuje love
Kupenda nakujua sana na nishawahi kutoswa so najua maumivu ya kumpenda mtu ambaye hakupendi na yale ya anayekupenda kwa nje huku moyoni mwake haupo kabisa na yale ya real love
 
Yaani Michelle,namkumbusha tu Mr. rocky maana unaweza kushangazwa mtu anayemdondokea ndo mbunge mtarajiwa, sasa akienda na Gx100 si ndo tutapata sababu ya kurudi chit chat kwa sredi nyingine? lol


Mkuu nakubaliana na wewe
Ila hata kama ni mbunge mtarajiwa mapenzi japo material things ni muhimu ila hayapo sana kwenye kuwa navyo (sikatai bila hivyo hakuna mapenzi aise kwa siku hizi)
ila sasa kama ndo kigezo chake mkuu hata kama atakuwa mbunge mtarajiwa ndo hata mimi nisikubalike
Sasa si tutakuwa tunashare hayo mafao ya ubunge bana
 
Hello Babu, Hommie yuko na AshaDii kasema anarudi muda si mrefu....usijitoe JF,for my sake...lol
Thats my girlie.... Yaani ni wewe tu umebakia, ni wewe tu kunipa joto la faraja. Nikupe zawadi gani hun? Ukimwona shem wangu mwambie am about to loose my temper. And thats too bad for her health
 
Yaani Michelle,namkumbusha tu Mr. rocky maana unaweza kushangazwa mtu anayemdondokea ndo mbunge mtarajiwa, sasa akienda na Gx100 si ndo tutapata sababu ya kurudi chit chat kwa sredi nyingine? lol

:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:😛oa:rant:
 
Jamani acheni tuu. Zamani kama 10yrs back nilikuwa nawasiliana na msichana mmoja wa nairobi, tukafahamiana zaidi mpaka kila mmoja akatamani kuonana na mwenzake. Siku moja nikapata safari ya kikazi nairobi, nikafurahi kweli coz ningeonana na rafiki yangu. Nikamwambia nakuja naoirobi, akafurahi sana akatamani pia nifikie kwake ila nikakataa. Nilipofika nairobi, kama baada ya siku2 tukapanga kukutana. Kosa langu sikuweza kujificha kwanza so tukaonana direct. Jamani nilishtuka sana coz alikuwa ana sura ya utatanishi mpaka nikaogopa. nilimwambia nina haraka nitamtafuta kesho, nilipompiga mgongo tu,nika delete contacts zake na sikuwasiliana naye tena mpk leo. Ogopa kukutana na sura ambayo hukuitegemea...


Nsuri una tabia mbaya jamani.... Dah! Yaani ulishindwa hata kuvumiliia kwa upole uweze walau muongee kidogo then ndio upoteee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom