Hii kiboko na hapo so yeye tuu Bali msafara mkubwa wa viongozi wa kichama na serikali. Posho zitalipwa kama extra duty na mafuta. Usishangae trip ya kwenda airport kumpokea mheshimiwa ikaandikiwa 10,000litres huku ndiko kubana matumizi kulikotukuka kwa kiwango cha lamiDuh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
Yeye ni Mkuu wa Mkoa!. Raisi amefika kwenye Mkoa wake, lazima aende kumpokea! Hio ndio Protocol, kama matamko yake yanakuhusu badilika, mbona sisi wenzio tunaishi kwa amani!.Mkuu @Mor😵ne. unataka kutuambia nini kwa mfano wako huo ktk bandiko #14?kwamba Makonda anafanya kazi nzuri yakusifiwa?ipi,kwenda kumpokea Rais usiku ni kazi yake,Rais hana walinzi?hana dereva wa kumpeleka ikulu?kama usalama tungetegemea tumuone IGP au RPC sio mkuu wa mkoa.Makonda huo mda anaopoteza kujipendekeza kwa Rais autumie kwa kujifungia chumbani kusali kwa Mungu ampe hekima na busara kuongoza maana kila siku matamko na hata moja lililotekelezwa hamna,siamini kama Rais anataka kunyenyekewa hivyo,aonyeshe unyenyekevu wake kwa kufanya kazi inayoonekana,Dar kuna kero mbalimbali ikiwemo ujambazi azishughulikie hizo ndiyo kazi anayolipwa kuifanya halipwi mshahara ili akampokee boss wake.
Muda si mrefu atakuwa hapokei wageniDuh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
Duh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
umenena mkurugenzi...jamaa makonda sulu alovaa ni full modo aseeee eeeeeee eeeeeeeKuna jambo la kimfadhaiko lilimkuta akaamua kuchomoa shati.
Magu sio mchezo, we kaa kuchekacheka uone cha moto.Jamaa anayefuata Anafeki smile muda si mrefu atatumbuliwa
Mbona ndio kafurahi mpaka mwisho hapo..Jamaa anayefuata Anafeki smile muda si mrefu atatumbuliwa
Kabeba furushi,Kuna jambo la kimfadhaiko lilimkuta akaamua kuchomoa shati.
Wanapoteza muda wao wenyewe halafu wanatuhubiria sisi tufanye kazi!Duh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
Ndio maana yake. Waliopigwa pasi nyuma. kwa huku mbele wako sawa😳
Wewe mchokozi sana,😳😳 ninasikia waliojaliwa hivyo ule upande mwingine wanapunjwa kidogo😛😛
Usiniambie ndio unajua leo? I dont think so!Duh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
Hivi sio utaratibu mkuu wa mkoa kumpokea Rais?Mkuu @Mor😵ne. unataka kutuambia nini kwa mfano wako huo ktk bandiko #14?kwamba Makonda anafanya kazi nzuri yakusifiwa?ipi,kwenda kumpokea Rais usiku ni kazi yake,Rais hana walinzi?hana dereva wa kumpeleka ikulu?kama usalama tungetegemea tumuone IGP au RPC sio mkuu wa mkoa.Makonda huo mda anaopoteza kujipendekeza kwa Rais autumie kwa kujifungia chumbani kusali kwa Mungu ampe hekima na busara kuongoza maana kila siku matamko na hata moja lililotekelezwa hamna,siamini kama Rais anataka kunyenyekewa hivyo,aonyeshe unyenyekevu wake kwa kufanya kazi inayoonekana,Dar kuna kero mbalimbali ikiwemo ujambazi azishughulikie hizo ndiyo kazi anayolipwa kuifanya halipwi mshahara ili akampokee boss wake.
Yaani wanao weka Biblia ktk jukwaa la siasa hawana tofauti na wale wahubiri wa kwenye basi.Mnamlaumu Makonda kwa kosa gani!?. Je Biblia haikufundisha kuhusu Wanawali Werevu ambao hawakuacha taa zao zizimwe wakimsubiri Bwana harusi ata usiku wa manane uku wakiwa na mafuta ya akiba pembeni!?. Na wale wanawali wapumbavu wakawasha taa zao bila ya akiba ya mafuta ata Bwana harusi halikawia kufika na taazao zikaisha mafuta na wakatolewa harusini. Makonda anafanya kazi anayostaili, maana ata kama umesoma lakini lazima ueshimu mamlaka kwa kujishusha!. Wengi hapa JF mnamchukia kwa kuwa anang'aa na nyinyi kwa kuwa ni wakaidi mnafeli kila siku!. Kama una nyenyekea ili upate, na ukipata basi nawe inua kichwa ujisifu by (Ally Mafuruki!).