'USELA' wa Makonda

'USELA' wa Makonda

Duh kumbe Rais akienda hata Zenji lazima watu wapange foleni ya kumpokea?
sasa huu ukuu wa mkoa si adhabu sasa?
Nyani Ngabu
Hii kiboko na hapo so yeye tuu Bali msafara mkubwa wa viongozi wa kichama na serikali. Posho zitalipwa kama extra duty na mafuta. Usishangae trip ya kwenda airport kumpokea mheshimiwa ikaandikiwa 10,000litres huku ndiko kubana matumizi kulikotukuka kwa kiwango cha lami
 
Mkuu @Mor😵ne. unataka kutuambia nini kwa mfano wako huo ktk bandiko #14?kwamba Makonda anafanya kazi nzuri yakusifiwa?ipi,kwenda kumpokea Rais usiku ni kazi yake,Rais hana walinzi?hana dereva wa kumpeleka ikulu?kama usalama tungetegemea tumuone IGP au RPC sio mkuu wa mkoa.Makonda huo mda anaopoteza kujipendekeza kwa Rais autumie kwa kujifungia chumbani kusali kwa Mungu ampe hekima na busara kuongoza maana kila siku matamko na hata moja lililotekelezwa hamna,siamini kama Rais anataka kunyenyekewa hivyo,aonyeshe unyenyekevu wake kwa kufanya kazi inayoonekana,Dar kuna kero mbalimbali ikiwemo ujambazi azishughulikie hizo ndiyo kazi anayolipwa kuifanya halipwi mshahara ili akampokee boss wake.
Yeye ni Mkuu wa Mkoa!. Raisi amefika kwenye Mkoa wake, lazima aende kumpokea! Hio ndio Protocol, kama matamko yake yanakuhusu badilika, mbona sisi wenzio tunaishi kwa amani!.
 
anatakiwa kupunguza mwili, ni mdogo kwangu, yeye ana kitambi mimi sina hata cha kuazima. akifika umri wangu kuuzibiti mwili itamuwia vigumu sana. maisha na afya sio kula tu, na kufanya mazoezi ni afya pia. kila akivaa nguo inaonekana inambana.
 
[HASHTAG]#Hakuna[/HASHTAG] wa kufundisha umma huu? Securitywise yeye ndo wa kumpokea Rais anapotoka nje ya nchi na kumuhakikishia USALAMA..,.. Kuhusu kuvaa hata mimi nakiri amekosea kwa uelewa wangu maana angeweka hata koti JUU KWA Heshima ya anaempokea na kiprotocal,.....alafu najiuliza huwa hatembei na silaha yake kiunoni??
 
Mkuu @Mor😵ne. unataka kutuambia nini kwa mfano wako huo ktk bandiko #14?kwamba Makonda anafanya kazi nzuri yakusifiwa?ipi,kwenda kumpokea Rais usiku ni kazi yake,Rais hana walinzi?hana dereva wa kumpeleka ikulu?kama usalama tungetegemea tumuone IGP au RPC sio mkuu wa mkoa.Makonda huo mda anaopoteza kujipendekeza kwa Rais autumie kwa kujifungia chumbani kusali kwa Mungu ampe hekima na busara kuongoza maana kila siku matamko na hata moja lililotekelezwa hamna,siamini kama Rais anataka kunyenyekewa hivyo,aonyeshe unyenyekevu wake kwa kufanya kazi inayoonekana,Dar kuna kero mbalimbali ikiwemo ujambazi azishughulikie hizo ndiyo kazi anayolipwa kuifanya halipwi mshahara ili akampokee boss wake.
Hivi sio utaratibu mkuu wa mkoa kumpokea Rais?
 
Mnamlaumu Makonda kwa kosa gani!?. Je Biblia haikufundisha kuhusu Wanawali Werevu ambao hawakuacha taa zao zizimwe wakimsubiri Bwana harusi ata usiku wa manane uku wakiwa na mafuta ya akiba pembeni!?. Na wale wanawali wapumbavu wakawasha taa zao bila ya akiba ya mafuta ata Bwana harusi halikawia kufika na taazao zikaisha mafuta na wakatolewa harusini. Makonda anafanya kazi anayostaili, maana ata kama umesoma lakini lazima ueshimu mamlaka kwa kujishusha!. Wengi hapa JF mnamchukia kwa kuwa anang'aa na nyinyi kwa kuwa ni wakaidi mnafeli kila siku!. Kama una nyenyekea ili upate, na ukipata basi nawe inua kichwa ujisifu by (Ally Mafuruki!).
Yaani wanao weka Biblia ktk jukwaa la siasa hawana tofauti na wale wahubiri wa kwenye basi.
Huwa hawaendi kanisani wala chuo cha Biblia hawajui kiko mtaa gani.
 
Back
Top Bottom