'USELA' wa Makonda

'USELA' wa Makonda

Zengwe lake na GSM ..walee Home shopping centre
Kapewa ujiko kujenga bakwata...
Nasikia hawa jamaa gsm wameleta IPHONE 6S kama 10,000 hivi basi kila TRA wakingia wanapewa...hizi sumu hata kina Wema wamehongwa kumuanganisha mkuu wa mkoa na gsm
 
Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
mkuu umenichekesha sana eti mtu mzima anayejua anapoishi
 
Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.


!
!
Usishangae kukuta kampa shkamoo mheshimiwa Ndalichakwooo . Chezea dully wewe.
 
Sijawahi kufanya kazi serikalini lakini sijaona ubaya wa Mkuu wa Mkoa kwenda kumpokea rais.
Mkuu wa Mkoa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, kumpokea rais ni kumhakikishia usalama wake pia.
 
Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
Unashangaa nini hapo? Kwenye maadhimisho ya jeshi aliongozana na masheikh kufanya usafi halafu ghafla akakimbilia ukonga alipokuwa rais!!!!
 
Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
Hiyo v8 yake kairemba mataa taa yakuwakawaka kama ya wale watoto wa kiarabu mabishoo enzi za Meck Sadiki ilikuwa tofauti sana
 
Hana Usela wowote huyo,ni ile laana ya Mzee wa Warioba ndio inamsumbua.
 
Si ajabu akawa anamwamkia “shkamoo muheshimiwa baba,pole kwa safari",nini kilichompeleka airport yaani alimuamuru driver kuwasha V8 usiku kwenda kumpokea mtu mzima anaepajua anapoishi,hope alichukua bodaboda maana haingii akilini..aibu hii.
Inaelekea ww no mtovu wa nidhamu
Kwa maelezo yako inaelekea hata baba yako alipokuwa anarudi kazin haukuwa ukienda kumpokea wala kumsalim

Mana hata kwenye vtabu vya din vmeamrisha kuwaheshim viongozi
""""###*SHAME ON YOU BROTHER*###"""
 
Back
Top Bottom