Wanaupaka rangi UPEPO na hizo siku unajua yanatumika Mabillion ya KODI zetu wanazitafuna tu na hakuna cha maana watakuja kusema hawa wahuni Chande km anapita hapa mwambieni hizo hela wanazokula wasipokuja na majibu ya kueleweka watazitapika yeye na wenzie wakina TaxHii Janja Janja Primary School Yaani Wanarukaruka Kama Maharage
Nitamwambia Chande Wazi Pia Jocobs MwambegeleWanaupaka rangi UPEPO na hizo siku unajua yanatumika Mabillion ya KODI zetu wanazitafuna tu na hakuna cha maana watakuja kusema hawa wahuni Chande km anapita hapa mwambieni hizo hela wanazokula wasipokuja na majibu ya kueleweka watazitapika yeye na wenzie wakina Tax
Huyo Mwambegele ndio hafai kabisa hata kwa kurumagia amewatia aibu majaji wote nchini sasa Chande akikosea tu kaifuta legacy yake yote aliyoiweka kwa miaka mingi km Jaji akikosea tu kanasa Jaji pekee wa kuheshimika atabaki kua CJ Nyalali hawa wengine magumashi mengi sanaNitamwambia Chande Wazi Pia Jocobs Mwambegele
WamechanganyikiwaIle so called tume eti umeongezwa! Muda ili kuongeza nini kwenye maandishi ya kubumba? ? Kuchakachua? Wanamchakachulia nani ? Nani ambaye hajui kilichotokea?
Alisema the brutality used was proportional to what was on the ground!
Umeisoma?Report imejaa UJINGA mwingi kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la pili angewatoa Akili ndiyo maana wanaenda kuedit angalau iwe na balance..
CHADEMA na LISSU ndiyo agenda kuu ya report ya mchongo kila zigo limeangushwa Kwa CHADEMA....hawa majaji ni zaidi ya wafumwa
Jaji Mkuu Samatta amebaki na integrity na heshima yake. Na wako waliokuwa majaji wazuri sana waliosimamia haki bila kuogopa ingawa sio wengi. Kuna mhaya ambae nimemsahau jina. Kuna aliyekuwa anapinga hukumu ya kifo. Sio Nyalali peke yake.Huyo Mwambegele ndio hafai kabisa hata kwa kurumagia amewatia aibu majaji wote nchini sasa Chande akikosea tu kaifuta legacy yake yote aliyoiweka kwa miaka mingi km Jaji akikosea tu kanasa Jaji pekee wa kuheshimika atabaki kua CJ Nyalali hawa wengine magumashi mengi sana
Ukweli huwezi kutumia muda mrefu hivyo, labda kama aliyeunda hiyo tume ukweli uliopo hauendani na utashi wake. Larry Madowo wa CNN yuko nje ya nchi alitumia wiki 3 kuweka matukio ya ukweli hadharanai. Hakupata shida maana aliweka matukio ya kweli. Ni ukweli gani unaochanganya hivyo hadi kuongeza muda kila mara?Hizo sababu za kuongeza muda ni reasonable kabisa unless unataka walipue kazi uje kuwananga.