Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

Hapo kwenye Kumove on kaka ndo ninapoteseka, kuna muda nasema au awe mwanamke wangu wa kujiridhishanae tu kwamba ninapokuwa na hamu ya kufanya mapenzi
Utaambulia magonjwa tu,we nenda Tution mpende mwalimu na hesabu zake anazokufundisha
 
Mapenzi hayana ushauri mkuu kasome vitabu hivi
We only just began a guide toward successful courtship
The way superior man think
Jibidishe wewe kama ww
Nikwambie kitu..

Niliyo pitia Mimi katika prime age,kuwa hai Leo ni ushuhuda wa kweli..

Ushawai kuto kula siku nne, siku ya NNE NIKAPAKUA CHAKULA KINGI NA SAMAKI NA

TONGEE nikachanika kooni mpaka tonge kufika tumboni ikawa issue nikashindwa kula nikawa nakunywa kwa mlija juice mpaka koo kupona mzee Kuna MENGII ACHA.

Baadae kama miezi sita nikapona sijawai msamehe yule dada mpaka Leo hii

Now ni miaka mingi IMEPITA after nikawa HEARTLESS now Nina familia ila sijawai tena kumpenda mtu mwanamke kama yule sijawai babaishwaga na mtu aitwaye MWANAMKE
 
Nikwambie kitu..

Niliyo pitia Mimi katika prime age,kuwa hai Leo ni ushuhuda wa kweli..

Ushawai kuto kula siku nne, siku ya NNE NIKAPAKUA CHAKULA KINGI NA SAMAKI NA

TONGEE nikachanika kooni mpaka tonge kufika tumboni ikawa issue nikashindwa kula nikawa nakunywa kwa mlija juice mpaka koo kupona mzee Kuna MENGII ACHA.

Baadae kama miezi sita nikapona sijawai msamehe yule dada mpaka Leo hii

Now ni miaka mingi IMEPITA after nikawa HEARTLESS now Nina familia ila sijawai tena kumpenda mtu mwanamke kama yule sijawai babaishwaga na mtu aitwaye MWANAMKE
Aisee
 
Wakuu ,ushauri wakusema aongeze wanawake nawambia hawezi kabsa niko hapa ,iko hivi kwa maelekzo yake ni mtu anaependa sehemu moja Kiasili hawana tabia ya kuchanganya ,tafakuri mkuu usije jichanganya juu ya hilo kwa utulivu wake atumie muda asome vitabu hivyo hapo niimeandik

Vitabu hivyo vitamuondolea udhaifu
Vitamfungua ajue afanye nn
Hauwezi shauri penzi la mwenzako hayafanani ukianza na unaetoa ushauri hauwezi fanana tabia za asili ,na hata anaetaka akautumie ushauri hafanani na kipimo cha wako

Maan unaweza sema weka wanawake wengi kumbe ,na mwanamke wake akasema namm nafanya nimkomoe huku wako aliacha na akatuliaa mpeni mbinu za kutatua shida yake sio ushauri wakuuu hilo nawaomba
 
Asante kaka kwa ushauri mzuri, lakini mimi ni mtu ambae nikimpenda mtu nampenda kweli kweli sinaga uongo katika mapenzi, naogopa kuingia katika pombe pengine nikiingia huko naweza kuingia mazima 🥹
Ivii Kuna mtu alie nyooka na good behaved kama Mimi.

Unadhani Mimi ningekujaga kunywa pombe maishani... Mwaka huu ndio wife kanisemea kwa mama kua nakunywa pombeee.

Nimekaa na wife five years hajui Huwa na kunywa mdogo mdogo

Ili u move one Tafuta wanawake wengine DATE nao ili akili iweze ku hamisha file.. ukiendelea kulia Lia huwezi muacha huyo mpenzi mwisho utakua BUSHOKE

Nilikua silali kama richimavoko(silali) nusra kujiua Mimi niliwekeza muda, Kila nilicho kua nacho.. Mimi ni MWAMINIFU mnoo hata kwa sura TU ukiniona utajua kua Mimi ni gentlemen.

Yule ex ndio alinifamya nianze kupiga pombe ili nipate usingizi tena kwa sirii maana nilikuaga silali kabisa kabisa

NB. Penda kwa kiasii usipende mazima Mimi nilipona mapema na ilikua funzo

Yule dada alichoka zile ngoja, kesho , baadae akaniachaga.. sijawai msamehe mpaka Leo ...ameolewa na anawatoto watatu now
 
Nikwambie kitu..

Niliyo pitia Mimi katika prime age,kuwa hai Leo ni ushuhuda wa kweli..

Ushawai kuto kula siku nne, siku ya NNE NIKAPAKUA CHAKULA KINGI NA SAMAKI NA

TONGEE nikachanika kooni mpaka tonge kufika tumboni ikawa issue nikashindwa kula nikawa nakunywa kwa mlija juice mpaka koo kupona mzee Kuna MENGII ACHA.

Baadae kama miezi sita nikapona sijawai msamehe yule dada mpaka Leo hii

Now ni miaka mingi IMEPITA after nikawa HEARTLESS now Nina familia ila sijawai tena kumpenda mtu mwanamke kama yule sijawai babaishwaga na mtu aitwaye MWANAMKE
Ah weee, mi siwezi kujichana koromeo kisa mbunye weweee, chips zilivyo tamu famchezo nini!

Hivi kweli nisile kuku kabisa kwa ajili ya mapenzi? niache vipapatio? niache firigisi? niache wali nazi? niache sotojo la ndizi maini? khaaa WE KUWEZA? Unajidekeza tu ukikua utaacha.

Hivi umewahi kutoa mbwa bandani? Huu ni UJINGA.

Msosi mtamu wewe.

Cc: secretarybird Mbaga Jr
 
Ah weee, mi siwezi kujichana koromeo kisa mbunye weweee, chips zilivyo tamu famchezo nini!

Hivi kweli nisile kuku kabisa kwa ajili ya mapenzi? niache vipapatio? niache firigisi? niache wali nazi? niache sotojo la ndizi maini? khaaa WE KUWEZA? Unajidekeza tu ukikua utaacha.

Hivi umewahi kutoa mbwa bandani? Huu ni UJINGA.

Msosi mtamu wewe.

Cc: secretarybird Mbaga Jr
Nilikua mdogo, zamani miaka 20 iliyopitaa

😁😁
 
Wakuu ,ushauri wakusema aongeze wanawake nawambia hawezi kabsa niko hapa ,iko hivi kwa maelekzo yake ni mtu anaependa sehemu moja Kiasili hawana tabia ya kuchanganya ,tafakuri mkuu usije jichanganya juu ya hilo kwa utulivu wake atumie muda asome vitabu hivyo hapo niimeandik

Vitabu hivyo vitamuondolea udhaifu
Vitamfungua ajue afanye nn
Hauwezi shauri penzi la mwenzako hayafanani ukianza na unaetoa ushauri hauwezi fanana tabia za asili ,na hata anaetaka akautumie ushauri hafanani na kipimo cha wako

Maan unaweza sema weka wanawake wengi kumbe ,na mwanamke wake akasema namm nafanya nimkomoe huku wako aliacha na akatuliaa mpeni mbinu za kutatua shida yake sio ushauri wakuuu hilo nawaomba
Kaka mapenzi hayashauriki,

Wewe jamaa ili a move on anatakiwa aufanye moyo wake uwe COMPLICATED

ATAFUTE WANAWAKE WENGI A DATE NOW SIO LAZIMA SEX

YEYE AANZISHE DATE NA WANAWAKE WENGI WENGINE ILEWA MAANA YA DETE SIO SEXUAL
 
K

Kaka mapenzi hayashauriki,

Wewe jamaa ili a move on anatakiwa aufanye moyo wake uwe COMPLICATED

ATAFUTE WANAWAKE WENGI A DATE NOW SIO LAZIMA SEX

YEYE AANZISHE DATE NA WANAWAKE WENGI WENGINE ILEWA MAANA YA DETE SIO SEXUAL
Sio tabia yake itakua kazi mkuu tumuombee
 
Back
Top Bottom