Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🄹

Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🄹

Mimi sijaona mwanamke wa kuushitua moyo

Labdaa wao kwa Sasa ndioo Wana lalamika.

Kinadada mmoja akawa anasema ivii mbona siwezi kukuacha
Mkuu inasikitisha sana! Kwenye mapenzi nahisi watu wengi wanapitia huko kabla ya kuwa na moyo mgumu!

Mshauri ajikeep busy tu, kwani hana hobbies? Hakuna haja ya kujiumiza hivi, juzi kati kuna dogo kajinyonga kisa mapenzi tu! Wanaume wapate exposure wasiwe wanyonge hivi!

Once you get hurt, u become strong!
 
Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu

Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia,

Kinachoniumiza zaidi nashindwa kumsahau kabisa, japo ameshaniomba msamaha mara kadhaa na kujutia alioyafanya, lakini moyo wangu bado unaniuma sana kila nikifikiria kwanini alifanya vile

Roho ya kutaka kumsamehe inanijia lakini moyo wa kukataa nao unaniambia lakini binafsi bado kuna chembe ya mapenzi yangu juu yake 🄺

Hakika Mapenzi yameniumiza sana 🄹
Acha uboya bhana na wewe yaani dunia hii na wanawake wote hawa Bado unalialia kwa msaliti. Maisha haya ni mafupi Sana piga chini tafuta mwingine naye akizingua tafuta chuma kingine.

Tafuta kifaa kingine hutojuta tena unaweza ukampata anayeifinyia kwa ndani na utamuona huyo msaliti hakuwa na maana yoyote kwako.
 
Mkuu inasikitisha sana! Kwenye mapenzi nahisi watu wengi wanapitia huko kabla ya kuwa na moyo mgumu!

Mshauri ajikeep busy tu, kwani hana hobbies? Hakuna haja ya kujiumiza hivi, juzi kati kuna dogo kajinyonga kisa mapenzi tu! Wanaume wapate exposure wasiwe wanyonge hivi!

Once you get hurt, u become strong!
Dunia Ina mambo hii, kulilia mwanamke mmoja ni kukosa MAARIFA.

Anatakiwa ili a move on ATAFUTE WANAWAKE WENGI WENGINE ILEWA MAANA YA date

Hata asipo sex nao atakiwe awe na DATE nyingi ili moyo wake uwe COMPLICATED ata move on mapemaa Sasa akilalia kulia Lia mwisho wa siku anaweza kujidhuruu
 
Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu

Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia,

Kinachoniumiza zaidi nashindwa kumsahau kabisa, japo ameshaniomba msamaha mara kadhaa na kujutia alioyafanya, lakini moyo wangu bado unaniuma sana kila nikifikiria kwanini alifanya vile

Roho ya kutaka kumsamehe inanijia lakini moyo wa kukataa nao unaniambia lakini binafsi bado kuna chembe ya mapenzi yangu juu yake 🄺

Hakika Mapenzi yameniumiza sana 🄹
Hadi karne hii mwanaume bado unalilia mapenzi??

Tatizo la kuwa na mpenzi mmoja, huyo sio mzazi wako. Move on
 
Back
Top Bottom