Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

kwa mbaaali naiona kama fiction story any way inaweza kua kwl probably.....ivo naipa 19% kuwa ni true imekutokea
Usemacho ni kweli...Kwa jinsi nilivyochanganyikiwa, hata nikitaja jina langu litaonekana ni fiction...Namshukuru Muumba naendelea kurecover.
 
Haya kila la heri ukibadili msimamo wako rudi hapa uifahamishe kadamnasi ya JF, "Jamani hasira sasa zimepungua sana hivyo natangaza rasmi kurudi katika dimba la mahusiano kwa hiyo msishangae mkisikia MJUMBE WA AMANI kaamua kupenda tena."
Nadhani hiyo itakuwa kati ya muigiza tunayoambiwa.
 
pole sana . wewe unatongozwa unajifanya nina mtu nina mtu.wake za watu wenyewe wanajiita masingle.sasa sijui utaanzaje tena .
ila marufuku kumtambulisha mpenzi au mchumba.ukitongozwa kubali tu huwezi jua ya kesho ,kusex na mtu sio lazima ukumbuke
mi nawashangaa wanawake ukiwatongoza asilimia 90 wanasema ooh nina mtu ukija kwa wanaume asilimia 80 watakwambia wako single saxa hawa wanawake wamebond na nani daaaah
 
Utasahau tuu.My sio wew pekee uliyeumizwa niwengi ila wanasahau japo inachukua muda mrefu kupona kidonda.Nami niliumizwa na kuachwa na Pete mkonon.nilikat taama n kuapa kwa miungu yote sintajiingiza tena kwenye mahusiano.Ila nashukuru Mungu alinikutanisha n mume wangu japo haikuw rahic kumwamin ila xx nimeolew na Mungu katujalia mapacha.Usijali utasahau tuu
 
yaani toaka 2011 mtu anakugegeda si mtoto angeshaanza shule?
kweli uzinzi haulipi ebu cheki faida yake
ungetulia zako miaka yote hyo ungekuwa mbali
mlikuwa mnapanga nini miaka yote hyo? yaani mimi sikai na mwanaume hata mwezi kama hasomeki bora nionekane sina maana kuliko kuwa daraja la mtu
Sema we kiaz nikisema mi muhogo nitaambiwa na mzizi... Hizo zinaitwa presha za kujitakia.[emoji12]
 
Mwanaume hana kosa kabisa.

Ila pole.
 
Mwanaume kuingiza mwanamke ndani kwake siku ambayo ni lazima mkutane afu aache milango wazi tena jua linawaka??? Mimi nafkiri alikuwa amepanga kukuacha ila nashindwa kuelewa hili la kutuma watu hadi mama yake waje kukuomba msamaha kulikoni?? Kukusanifu au??? Pole lakini
 
Mi nilivurugwa mpaka nikafeli mtihani,nikaapa sitopenda tena wanawake, lakini sa hv nabutua tu, yaani ni kutamani tu akizingua napiga chini
 
Pole sana Dada... Nahis utakuwa sawa tu utakapokuwa kwenye mood nzuri.. Wanaume wapo wazuri na wabaya pia maana kila mtu ana malezi yake alivyolelewa
 
"Atafute mwanamke mwingine wa kuchezea ila sio wewe", una maana gani kwa kauli yako hii ?? wakati nawe amekuchezea zaidi ya miaka mitano akikugegeda au labla ni story za kutunga.
I wonder unakaa na mtu bila ndoa miaka mitano yote iyooo wakati unajua fika kila mwaka unapopinduka mwanamke hushuka thamani na umri unaenda. miaka mitano mtu anakula tuu mzigo !!!!! Namsikitikia atakae kuja kukuoa.
 
acha ubwege hao watu hata uwape kote kote hawatosheki. utaishia jela kwa ujinga. maisha yapo tu.
Wanshangaza hakika... Sasa aendako atakutana na aliyemzaa...

!??

Mkae muwashauri hawa mabint . Wanaume ni MBWAA.
 
"Atafute mwanamke mwingine wa kuchezea ila sio wewe", una maana gani kwa kauli yako hii ?? wakati nawe amekuchezea zaidi ya miaka mitano akikugegeda au labla ni story za kutunga.
I wonder unakaa na mtu bila ndoa miaka mitano yote iyooo wakati unajua fika kila mwaka unapopinduka mwanamke hushuka thamani na umri unaenda. miaka mitano mtu anakula tuu mzigo !!!!! Namsikitikia atakae kuja kukuoa.
Kama ataendeleza msimamo (uaminifu) ataolewa maana tunapenda mwanamke anaejitambua
 
Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.

Wahenga wanasema time is the best healer, some of our problems are best cured with time. Kwa sasa naamini ni jazba tuu hizo, hilo linadhihirishwa na usemi wako kuwa huitaji mwanamme maishani mwako ( kitu ambacho ni nearly imposible sababu hutoweza ishi maisha yako yote yaliyobaki pasipo kugegedwa )

So jipe muda, utapona maumivu uliyonayo na pengine ukarudiana naye. Wahenga pia walisema zimwi likujualo halikuli likakwisha, huyo kama ulivyosema umemsoma vyema, mapungufu yake ni yako basi lichukulie hili pia ni pungufu lako.

Mimi ushauri wangu ni kwamba msamehe, muanze maisha upya. Kuhusu swala la kumfumania tayari una advantage mezani. Play well your cards. Ukifikia uamuzi wa kurudiana, never lose time, mwambie afanye utaratibu muoane.

Wengi wamesalitiwa but wamecarry on na maisha yameendelea. Mfano, Clinton alijulikana kabisa anamgegeda Monica tena ofisini but Hillary alisamehe and here they are, hakuna kosa lisilosamehewa chini ya jua.

Dah,

Hawa wahenge sijui sikuhizi wapo wapi waendelee kutoa misemo mipya. [emoji12][emoji12][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mjumbe wa amani kidogo uvuruge aman!!! Hapana endelea kua balozi wa aman bhana, pole kwa yote ubavu wako upo unakusubiri tuu haman namna muda ukifika itakua.
 
"Atafute mwanamke mwingine wa kuchezea ila sio wewe", una maana gani kwa kauli yako hii ?? wakati nawe amekuchezea zaidi ya miaka mitano akikugegeda au labla ni story za kutunga.
I wonder unakaa na mtu bila ndoa miaka mitano yote iyooo wakati unajua fika kila mwaka unapopinduka mwanamke hushuka thamani na umri unaenda. miaka mitano mtu anakula tuu mzigo !!!!! Namsikitikia atakae kuja kukuoa.
Sasa umkute huyu binti ameokoka yupo kwenye makanisa haya ya kinabii
.. Utasems ni malaika anashuka jinsi anavyonena kwa lugha.

Hakika wanaume kupata mke ni kaaziii..
 
Back
Top Bottom