Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Nimekuwa nikimfuatilia ZZK na siasa za CDM na nchi hii kwa muda mrefu. Ni siasa zisizoeleweka, zilizojaa unafiki na njaa zilizopitiliza.
ZZK amekuwa central pole kwenye utata na mijadala mingi. Haeleweki, ni sawa na muumini ambae kwa Mungu yupo na kwa shetani yupo, haeleweki au niseme simuelewi.
ZZK kwa maoni yangu angeweza kuwa na future nzuri sana kisiasa ndani ya CDM kama angejipambanua na kuwa muwazi lakini imekuwa kinyume. Aliiacha CDM na kuwekeza katika siasa za MIMI na makofi na hongera nyingi toka kwa Magamba. Sina hakika kama anazifurahia au anaamini kwamba pongezi hizi ni sincere. Nionavyo amepotoka, kwa kutojua, kuchonganishwa akijua au makusudi.
CDM nao wamekuwa waoga mno kumchukulia hatua huyu bwana, either kwa woga wa propaganda au wanajua sio wasafi au kwa kufikiri atabadilika. Sasa amekomaa na kuweka mizizi. Anao wafuasi, kumuondoa si salama na kumbakiza ndani ya CDM sio salama.
Hapa ndio Magamba wanaposubiri. The choice is yours CDM. Live or die....You can't do both at once.

Ni mtazamo tu....Masela msijenge chuki

Mkuu ondoa hofu kabisa.

Hakuna mtu yeyote atakayetimuliwa Chadema halafu chama kikayumba.HAKUNA ASILANI!

Akishatimuliwa tu vibaraka wake wote watakunja mikia.Na huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Akina Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walidanganywa hivyo hivyo na baada ya kutimuliwa hakuna aliyewasaidia tena.
 
Haya Sasa kila mmoja ashaongea Ukweli ..Imetosha...Sasa..

Godblless Lema umeshaweka rekodi...straight...Nadhani Sasa Imetosha ....,funga huu mjadala Kamanda!!!!
 
Haya Sasa kila mmoja ashaongea Ukweli ..Imetosha...Sasa..

Godblless Lema umeshaweka rekodi...straight...Nadhani Sasa Imetosha ....,funga huu mjadala Kamanda!!!!

Na kweli rekodi iliyowekwa na Lema kwa siku mbili tu Imekuwa historia kubwa na ya kujivunia ndani ya JF.

Tunakaribia page ya 60....Fantastic!!
 
Lema keep up,make kuna watu wamerisha unga wa ndele hawajielewi,all bad thing come at the end and quality follows
 
Mkuu ondoa hofu kabisa.

Hakuna mtu yeyote atakayetimuliwa Chadema halafu chama kikayumba.HAKUNA ASILANI!

Akishatimuliwa tu vibaraka wake wote watakunja mikia.Na huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Akina Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walidanganywa hivyo hivyo na baada ya kutimuliwa hakuna aliyewasaidia tena.
Wewe msukule acha kujidanganya Zitto ndie alieibeba Chadema ambayo leo inakupa jeuri ya kuja JF kumtukana.
 
Na kweli rekodi iliyowekwa na Lema kwa siku mbili tu Imekuwa historia kubwa na ya kujivunia ndani ya JF.

Tunakaribia page ya 60....Fantastic!!
Lema amekufurahisha eeeh?
 
Lema amekufurahisha eeeh?

Kwahiyo Wanamtei walitaka Lema akileta upuuzi wake hapa tusiujibu kisa thread itakuwa imechangiwa sana? Cha muhimu waangalie michango. Post nyingi zimepinga huu ujinga wa mbunge wa arusha mjini kumchafua naibu katibu wake mkuu mitandaoni. Hivi Zitto angekuwa anatokea Moshi Lema angemuandika vibaya Hivi? Watanzania tujifunze sasa. Tumeshapata mwanga chama hichi ni Cha akina nani.
 
Last edited by a moderator:
Hatumtetei Zitto ila tunatetea misingi ya Chama kuheshimiwa,Chadema kina Kamati Kuu na Baraza Kuu kwanini msipeleke malalamiko yenu huko,Mnaogopa nini?Au JF ndio imeshageuka kuwa Kikao halali cha Chama cha kujadili matatizo ya ndani siku hizi?
....another calculated political move by CDM
 
@Dr mo umepotoka kabisa mimi ninacho pinga ni njia inayotumiwa na lema.

HIVI UNAFIKIRI HII NI NJIA YA KUJENGA AU KUTUGAWA.

TIME WILL TELL HII SIO NJIA NJEMA KABISA.
....this is politicaly calculated move....na lazima kutake risk haitakiwi kuogopa ogopa...utaona jinsi CDM itakavyo paaa...inategemea inachezwa je...?
 
Shida ya zitto anafanya maamuz yanayoenda kinyume na makubaliano ya chama halafu ccm wanamsifu na yeye akipewa sifa na ccm anapata kichwa (hapa kunamawili anafanya kaz ya ccm au anapata kiburi bila kujijui wanaompa kiburi ni maadui wake) kwa upande wang nilimwona mtu asiyefaa kabisa kuleta mabadiliko pale anapoenda kinyume na viongoz wenzake.
 
Kamanda Godbless J Lema kwanza nikupongeze sana kwa maneno murua uliyoandika katika thread hii. Pia nikufahamishe kuwa haya unayoyaandika leo wanachama wenzako wa Chadema wamekuwa wakilipigia kelele kwa muda mrefu kwamba huu usaliti unaoendelea kutokea ndani ya chama ni kwasababu Mkuu wa kikosi cha usaliti chama hakijambaini na kumchukulia hatua.

Mimi nataka nikuhakikishie kwamba siku huyo mkuu wa operation usaliti akibainika na chama kikamchukulia hatua kali bila kujali ukubwa wake ama udogo wake basi siku hiyo mtakuwa mmewatendea haki wanachama, haki ambayo wameisubiria kwa muda mrefu sana.

Kamanda Lema wewe ukiwa mjumbe wa kamati kuu, matarajjio yangu ni kwamba hoja hii utaiwasilisha katika kikao rasmi chakamati kuu na kwakuwa unaonekana unao ushahidi wa kumtambua mkuu wa kikosi cha usaliti basi hatua kali zitachukuliwa haraka sana ili kukinusuru chama na huu usaliti unaotaka kushika kasi.

hujashirikisha ubongo, umeandika maadamu kuandika tu

unamsema zitto? Mwita leo zito akisimama na mbowe au slaa kugombea uenyekiti bila kushikwa mikono na mtei, lazima zitto atashinda......piga ua

pili kumsema zitto JF na ww ku support inaonekana zitto hamumuwezi kwa kanuni mlizojiwekea wenyewe...........ATAWASHINDA TU, mtamshinda kwa chuki kama hizi
 
Shida ya zitto anafanya maamuz yanayoenda kinyume na makubaliano ya chama halafu ccm wanamsifu na yeye akipewa sifa na ccm anapata kichwa (hapa kunamawili anafanya kaz ya ccm au anapata kiburi bila kujijui wanaompa kiburi ni maadui wake) kwa upande wang nilimwona mtu asiyefaa kabisa kuleta mabadiliko pale anapoenda kinyume na viongoz wenzake.


sehemu ulipoweka CCM weka WANANCHI
 
Vijana wa Arusha wanamuogopa sana Zitto
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh!!! Huyu jamaa mara nyingi amekuwa akihusika na mifarakano ndani ya chama hata ikamfanya mwaka jana aombe radhi hapa jamvini kutokana na mapungufu yake na kusema kwamba angejirekebisha, lakini bado hali ni ile ile.

Anajua fika kwamba matatizo ndani ya chama kuna taratibu zake za kuweza kuyazungumzia ndani ya chama na kuyamaliza lakini si hivyo hupenda kukimbilia vyombo vya habari au FB kwenda kuandika mambo ambayo hayastahili kuanikwa hadharani.
 
The Big Show,

Kuna sehemu ulisema wewe ni mhasibu au accountant. Kumbe ulikuwa mwalimu? Nakufuatilia post zako kwa makini sana. Mana nilikuona mpiganaji ila kwa hii issue umekuwa biased bila kujisumbua kama ninavyojisumbua kukusoma ili nijue i should think the same Big or not.

Mjadala bado ni mbichi, personal attack hazisaidii. Tusome then tujudge at the end



Kwani ni dhambi kuwa mwalimu??

Ina maana mtu akijitambulisha kwa taaluma ya ualimu anachukuliwaje??sion mantik ya swali lako,

Mimi lini nimewahi kusema humu jukwaani kuwa taaluma yangu ni ualimu??nauheshimu ualimu,na naithamin taaluma hiyo kwan ndiyo nguzo kuu ya hapa nilipofikia,

Ni huyo mwita maranya kalisema hilo,na yeye bila shaka kaingia kingi baada ya kufuatilia mnyukano baina yangu na yule mdandia nasaba za watu yericko a,k,a jason bourne,

Uhasibu ndiyo ni taaluma yangu,niulize chochote kuhusu uhasibu nitakujibu na kukusaidia at any time hata nikiamka saa tisa za usiku,

Me siku zote sina personal attack,ila nasimamia misimamo yangu,situmikii tumbo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom