Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
.......Hakuna kuuwa chama hapa.......chama hakifii sisi tulioko huku miataani tunajua vizuri.....mimi nina bibi yangu mzee kabisa nikipiga nae story za kisissa anajua zito ni msaliti....sembuse watu wa kawaida.....hii ya kuleana leana ndo inaiua na kuanzisha makambi ccm....wangemtimua lowasa mapema mambo yangekuwa safi ccm lakini walileta huu uoga uoga wa kijinga jinga angalia walipo........hakuna kitu ccm hawakipendi sasa hivi kama kusemwa zito na hakuna kitakachoiua cccm haraka kama zito kufukuzwa chadema belive me....

@Dr mo umepotoka kabisa mimi ninacho pinga ni njia inayotumiwa na lema.

HIVI UNAFIKIRI HII NI NJIA YA KUJENGA AU KUTUGAWA.

TIME WILL TELL HII SIO NJIA NJEMA KABISA.
 
Either zitto anatetewa na ccm au na cuf. Hamwezi kumgusa zzk huo ndo ukweli kama mna ushahd mnaogopa nini? Waoga wakubwa nyieeee mnajifanya mnaquote kina malcom x na biko kumbe wanafiki tu. Chadema hatuhami na mabadliko yatapatkana tu.
Nani amekuambia uhame? Acha unafiki piga kazi za chama uone kama utasemeshwa Naibu katibu mkuu umekuwa mtu waajabu unashindwa na kina Mnyika wanapambana wewe unapanga mikakati ya kutubomoa.
 
Dada hujambo? Joyce kaingiaje tena hapa? Mwaka huu mtasema yote. Ngoja makamanda washuke na vitu humu tunasubiri kwa hamu hamtaweza kuzuia ukweli wa usaliti wa huyo zzk wenu,leo mtatafutana Lumumba kwa waume na wake.

Teh teh teh mimi inaniuma nini? Chadema ni adui wa taifa letu sasa mimi nitaumia kwani inaniongezea nini?
 
Mkuu Mwita Maranya baada ya Zitto kumbuka ni wewe na wengine waliokosa sifa ya ukaskazini ndio mtakaofuata.Kwani hata Zitto yalipomfika Chacha Wangwe alikuwa upande wa wahafidhina wa Chadema sasa hivi wamemgeuka.

Ukishindwa kuilinda na kuisimamia Katiba ya Chadema, na ukishindwa kuwaunganisha wanachadema mahali popote ulipo kama ni kiongozi, na kama unafanya matendo ya kukiumiza chama au matendo ya kukivuruga chama au unafanya matendo ya kumisaliti chama ni hakika kwamba utashughulimiwa pasipokujali kwamba jina lako ni Mwita, Mohamedi, Mwakaleli, Ngowi au Kalumanzila.
 
Sawasawa kabisa mgoshi CHAMVIGA ninasubiri uthibitisho.

BY the way wewe na THE BIG SHOW mna uhusiano gani hadi ununue kesi yake? Ni mambo ya multiple IDs kwakuwa naona kitu cha capital letter wote mmekizingatia au wewe ndiye msemaji wake?

The big show ni mtu wangu wa karibu na ninamfahamu msimamo wake katika masuala ya dini.
 
Last edited by a moderator:
Toa udini wako shetani wewe!Kila kitu mnakichukulia kwa misingi ile ile ya udini
tumeshawachoka na liwalo na liwe
Taifa hili si la kwenu mujahidin peke yenu
Taifa ni la kwetu sote
Pumba..vu wewe

Ukweli unauma sana. Jifunze kukabiliana nao.
 
salamu jf, nimekuwa nikifutilia kwa makini sana huu waraka wa usaliti, ambapo ni jambo la kawaida sana sehemu yyte ile iwe kazini au nyumbani, jambo la msingi kuwa na ushahidi wa kutosha ili kuthibitisha hayo yasemayo kwa watu bac kwa kusema hyvo wote tuamini ugomvi ni jambo la kawaida kbc ndo njia nzuri ya kudumisha uhusiano mzur cku zijazo na usiogope kumwambia rafiki yako pindi anapokosea jambo, naam mh zzk kabwe kama ni kweli anapaswa kushughulikiwa vizuri, kuna mawili ajirekebishe mapema au aondoke zake kwa amani tu, kama alivyo sema hana mpango wa kugombea ubunge tena ni uamuzi nzuri naona alishajua mambo yake ya siri ambayo amekuwa akifanye cku zote. Mwisho nampongeza sana mh lema kwa kuwa muwazi kbc hakuna kuleta ujinga ujinga ukithani watu wanakuogopa.

Hivi kwa nini mnataka aondoke na sio kufukuzwa kama kweli hoja ina mashiko ushahidi????!!
 
huyo Lema yupo wapi?hii ndo saa nane,hana jipya ni ulimbukeni tu unamsumbua,aende akareseat mtihani wa form four,ataambulia hata division 5
 
Naona kama kawaida watu wakibanwa wankimbilia UDINI.

Hivi kwa nini Sisi WAISLAM tuwe Cheap kiasi hiki? Kwanini kila kitu kisipo enda sawa basi UDINI, Tunamatatizo gani?

Je ni kweli sisi ni wanyonge kiasi hiki?
Au baadhi yenu mnatufanya siis kichaka cha kujificha na kufanya mambo yenu?

Yakikukuta ndio utakuja amini yasemwayo.
 
Nimekuwa nikimfuatilia ZZK na siasa za CDM na nchi hii kwa muda mrefu. Ni siasa zisizoeleweka, zilizojaa unafiki na njaa zilizopitiliza.
ZZK amekuwa central pole kwenye utata na mijadala mingi. Haeleweki, ni sawa na muumini ambae kwa Mungu yupo na kwa shetani yupo, haeleweki au niseme simuelewi.
ZZK kwa maoni yangu angeweza kuwa na future nzuri sana kisiasa ndani ya CDM kama angejipambanua na kuwa muwazi lakini imekuwa kinyume. Aliiacha CDM na kuwekeza katika siasa za MIMI na makofi na hongera nyingi toka kwa Magamba. Sina hakika kama anazifurahia au anaamini kwamba pongezi hizi ni sincere. Nionavyo amepotoka, kwa kutojua, kuchonganishwa akijua au makusudi.
CDM nao wamekuwa waoga mno kumchukulia hatua huyu bwana, either kwa woga wa propaganda au wanajua sio wasafi au kwa kufikiri atabadilika. Sasa amekomaa na kuweka mizizi. Anao wafuasi, kumuondoa si salama na kumbakiza ndani ya CDM sio salama.
Hapa ndio Magamba wanaposubiri. The choice is yours CDM. Live or die....You can't do both at once.

Ni mtazamo tu....Masela msijenge chuki
 
@Dr mo umepotoka kabisa mimi ninacho pinga ni njia inayotumiwa na lema.

HIVI UNAFIKIRI HII NI NJIA YA KUJENGA AU KUTUGAWA.

TIME WILL TELL HII SIO NJIA NJEMA KABISA.

Mkuu unategemea uzalendo kwa mtu anayekuletea story za bibi yake hapa!!!!?????
Kitchen cabinet ndio mawazo ya kuleta hapa bila ya aibu???!!!

Wamechagua kutokukuelewa na kukupinga ila watajifunza tu!!!
 
mkuu msalani mimi ninahisi hata huu uzi ameandikiwa na mzee wa sumu.huyu jamaa atapata shida sana kutaka kujilinganisha na zzk

ni kati ya hawa watu wawili, mzee wa sumu au mzee wa tindikali, ninavyomjua lema, hana uwezo wa kuanzisha uzi hapa jf.
 
Nimetafakari kwa kina kwa haya yanayoendelea ndani ya chadema na somo la usaliti lilotolewa na mh. Godbless Lema nikaja na picha kuwa kuna uwezekano kuna siri kubwa ndani ya kompyuta mpakato ya bwn. Samson Mwigamba hivyo nikaona ni busara kusubiri kusikia yaliyomo kisha kuchangia natumaini yakisha kamilika afisa habari wa chama Tumaini Makene atatuletea hapa jamvini

Mkuu nafikiri haitakuwa rahisi kuyatoa kwenye mtandoa.
 
mtihani mgumu kwa CDM kukubali kuishi na kirusi hatari zaidi ya HIV.....
 
Sawasawa kabisa mgoshi CHAMVIGA ninasubiri uthibitisho.

BY the way wewe na THE BIG SHOW mna uhusiano gani hadi ununue kesi yake? Ni mambo ya multiple IDs kwakuwa naona kitu cha capital letter wote mmekizingatia au wewe ndiye msemaji wake?

Mwita Maranya

Ukitaka kujipima ndani ya Chadema kama unakubalika jaribu kugombea nafasi yeyote makao makuu.
 
Last edited by a moderator:
@Dr mo umepotoka kabisa mimi ninacho pinga ni njia inayotumiwa na lema.

HIVI UNAFIKIRI HII NI NJIA YA KUJENGA AU KUTUGAWA.

TIME WILL TELL HII SIO NJIA NJEMA KABISA.

wewe umeelewwshwa tangu jana..unajifanya kipofu
 
Nani amekuambia uhame? Acha unafiki piga kazi za chama uone kama utasemeshwa Naibu katibu mkuu umekuwa mtu waajabu unashindwa na kina Mnyika wanapambana wewe unapanga mikakati ya kutubomoa.

Dah! Naona umeamua kumpa za uso naibu katibu mkuu wetu. Umenifurahisha sana. Achape kazi za chama ili mambo yazidi kusonga mbele.
 
Hongera sana Godbless J Lema kwa jinsi ulivyoamua kumfunga Paka kengele.

Nimefuatilia mjadala huu kwa umakini mkubwa sana na nimegundua kitu kimoja wewe ni mbunge unayevuta hisia za watu kuliko unavyofikiri kwa jinsi umati ulivyochangia hoja yako hii.Hongera sana!

Nikirudi kwenye mada ni kwamba imefika mahala Chadema kuamua kuondoa mapapa na masangara ambao wanakitafuna chama kidogo kidogo na ndani kwa ndani.Kwa bahati mbaya sana wahuni hawa wanajulikana lakini Kamati Kuu inapata kigugumizi cha kuwafutilia mbali!

Ifike mahala Tuseme sasa basi Inatosha.Wasaliti basi.Ama wajirudi watubu wasamehewe ama watimuliwe kama Paka mwizi.

Pia nitoe tu onyo kwa Chadema kwamba ni dhambi kubwa kusifiwa na CCM.Mwanachama yeyote wa Chadema anayepiganiwa na CCM kwa hali na mali uwe ndiyo uthibitisho wa kwanza kwamba Mwanachama huyo hafai kuwa kiongozi ndani ya Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom