Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
.......Hakuna kuuwa chama hapa.......chama hakifii sisi tulioko huku miataani tunajua vizuri.....mimi nina bibi yangu mzee kabisa nikipiga nae story za kisissa anajua zito ni msaliti....sembuse watu wa kawaida.....hii ya kuleana leana ndo inaiua na kuanzisha makambi ccm....wangemtimua lowasa mapema mambo yangekuwa safi ccm lakini walileta huu uoga uoga wa kijinga jinga angalia walipo........hakuna kitu ccm hawakipendi sasa hivi kama kusemwa zito na hakuna kitakachoiua cccm haraka kama zito kufukuzwa chadema belive me....
@Dr mo umepotoka kabisa mimi ninacho pinga ni njia inayotumiwa na lema.
HIVI UNAFIKIRI HII NI NJIA YA KUJENGA AU KUTUGAWA.
TIME WILL TELL HII SIO NJIA NJEMA KABISA.