Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Kwakuwa unatoka mkoa ule ule lazima umponde Zitto.

Ha ha ha haaaaa.... Huu ni ugomvi wetu wenyewe... Mtuache jamani.... Mbona sisi mbona huwa hatuwaingilii katika mikanganyiko yenu.... Kama Zitto anawauma mchukueni basi.....
 
Hiki chama sasa kwisha habari yake! Why always zitto? We we lema,zitto ni kiongozi wako mfuate mshauriane mambo yanayokusibu!
Halafu kiujumla hujui hata kuandika! Nina wasiwasi name uelewa wako wa mambo! Pangilia vizuri paragraph,hujui hata punctuation. Achana na zitto sio saizi yako.
 
sasa aipeleke wapi? Maana leo kutwa nzima mmejadili sana..

naona zamu yako sasa kutetea tumbo ben saa8 kapumzika! masikini vijana wa tz unakubali kutumika ivi mkuu kama kikaragosi yaan lema atundike upuuzi wake hapa na kukuamuru ww kudefend mwenzio now kaenda kulala daah!
fikiria chukua hatua kijana!
 
Najua siyo mnafiki ndiyo maana sijaficha ID. Kwani wewe Ritz ni nani?
Sijakuambia mambo ya unafiki nimekushauri tu, anyway ni ushauri, Ritz ni mwananchi wa kawaida tu muuza kahawa.
 
Mie nipanic nini wakati nafurahi hapa wafu wanavyozikana.

post zako zinaonesha hofu na 'mahaba' uliyo nayo kwa zitto ingawa unajitahd kuficha! na hicho ndicho wengi kinatupa shaka iweje adui ampende 'askari' wetu kiasi hiki??
 
Hiki chama sasa kwisha habari yake! Why always zitto? We we lema,zitto ni kiongozi wako mfuate mshauriane mambo yanayokusibu!
Halafu kiujumla hujui hata kuandika! Nina wasiwasi name uelewa wako wa mambo! Pangilia vizuri paragraph,hujui hata punctuation. Achana na zitto sio saizi yako.

Lakini umeelewa ? Lema hajawahi kusema anataka Urais wala Uenyekiti kwa hiyo hapa hakuna Ugomvi wa masilahi isipokuwa unafiki vs ukweli , tusubiri kesho
 
Hiki chama sasa kwisha habari yake! Why always zitto? We we lema,zitto ni kiongozi wako mfuate mshauriane mambo yanayokusibu!
Halafu kiujumla hujui hata kuandika! Nina wasiwasi name uelewa wako wa mambo! Pangilia vizuri paragraph,hujui hata punctuation. Achana na zitto sio saizi yako.

mambo ya jf yanaishia humu humu.
 
Kamanda Lema nakuelewa, lakini kuhusu posho sijakuelewa (na sidhani kama ntakuelewa), na unaonekana kupingana na misimamo ya wabunge wa chedema kuhusu Posho!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom