Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Deshmo,

Sitaki MODS wawafungie watu wa aina hii leo.Walete matusi mimi tuwagonge kwa hoja.Wataishia kutukana tu leo
Jirekebishe braza nilikuwa nakuheshimu sana lakini kadri siku zinavyoenda mbele naona wewe na mwenzio yeriko nyerere ndio mnaoharibu chama, kumbuka kuna watu tumepoteza ndugu zetu na tumepoteza viungo vyetu kwa mapenzi tuliyonayo kwenye hiki chama sasa tunapoona mnashindwa kumalizana kwenye vikao vyenu na kuja kuharibiana humu jamvini mnatuvunja nguvu....please stop that, Jengeni chama kaka 2015 sio mbali. Na usipende kumuona kila anaekupinga ni msaliti wengine tuna damu zetu kwenye hiko chama
 
Am sorry to say this,

Lema kila siku ya Mungu umetuthibitishia upuuzi wako, ujinga wako, uwezo wako wa kitoto nia yako ya kushindana na watu usiweza kushindana nao kwa namna yeyote ile.

Ni kweli usiopingika kuwa unatumika sana sasa hivi ama kwa kujua au kwa kutojua kwa ahadi uijuayo ambayo ni sawa na ndoto za alinacha. Tathmini uwezo awako na huyo ama hao unaopambana nao........ umekuwa kama punje ya haradani.

Hakuna marefu yasiyo na ncha na hao wanokupa kibri walikuwa na urefu sasa ncha yao ndiyo inayokusukuma wewe. Lema umekwisha, ulikotoka na ulipo ni sawa na Mashariki na Magharibi.

Japo hatuishi kwa hisia ila tunajua ni nani unataka kuhusika naye ila yule ni moto nyie wamachame uwezo wenu mdogo sana na tunajua wazo lenu la mwisho litakuwa kumwondolea UHAI wake ila watu wamejipanga sana. Mtaondoka tu wapuuzi nyie. Huu unyanyasaji mliouanzisha umefikia kikomo.

Huyu kijana hamtamweza na muda si mrefu audio ya kikao chenu cha siri na mikakati yenu dhidi yake. Tumechoka sasa.

Halafu Lema wewe ni hovyo sana yani badala ya kwenda Arusha kuwaeleza watu ule mchezo mchafu unaofanyiwa manake nini..... unang'ang'na na wenzio........

Sasa kama ni mbaya acha iwe mbaya.......
 
Good.Endeleeni kunijadili vijana wa CCM


Kweli pombe ni mbaya Lema nae ni CCM? Sisi tuna jadili uzi hapa JF ambao ni haki ya kila mtu ajadili,wewe unakandia watu humu kwani wewe Ben Saanane ni Moderator wa mijadala hapa JF? Au wewe unaishi hapa JF? Acha udikteta Ben,demokrasia ni kuvumilia na mawazo mabaya usiyo penda kwa watu wengine
 
Ndugu LEMA ninakubaliana na wewe kwa %100 na mm nina amini kama chama wataendelea kumngangania zitto kabwe ikulu watazidi kuiona kwenye tv na kuisikia kwenye radio
 
Wazee wa gerezani wanatokwa na mapovu kwa kumtetea huyo mtu aneyetuhumiwa kwa usaliti kisa ni mtu wa pande zao.

Lakini am sure mtu huyo angekuwa anatumia jina la kigalatia hakika tusingewaona kwenye mjadala huu.

Ama kweli nchi hii haitokuja kuisha vituko...na log off kama Washa Washa kisha nasepa zangu.
 
Jirekebishe braza nilikuwa nakuheshimu sana lakini kadri siku zinavyoenda mbele naona wewe na mwenzio yeriko nyerere ndio mnaoharibu chama, kumbuka kuna watu tumepoteza ndugu zetu na tumepoteza viungo vyetu kwa mapenzi tuliyonayo kwenye hiki chama sasa tunapoona mnashindwa kumalizana kwenye vikao vyenu na kuja kuharibiana humu jamvini mnatuvunja nguvu....please stop that, Jengeni chama kaka 2015 sio mbali. Na usipende kumuona kila anaekupinga ni msaliti wengine tuna damu zetu kwenye hiko chama

Acha unafiki.Matusi yote uliyotukana post zilizopita hayawezi kufuta na kuhalalisha unafiki unaoleta hapa
 
Huyo "BOYA" ameshachanganyikiwa, anaitenganisha CHADEMA na Tanzania ili kumtetea huyo CHEKBOB wa arusha mjini!
Njaa zitawauwa ni aibu sana kwa vijana wadogo hawa kutumika na wazee kwa maslahi yao binafsi.
vijana wanapata kazi kwa kujipendekeza na kutumiwa kuwazoofisha au kuwawinda wanasiasa wengine.
 
Njaa zitawauwa ni aibu sana kwa vijana wadogo hawa kutumika na wazee kwa maslahi yao binafsi.
vijana wanapata kazi kwa kujipendekeza na kutumiwa kuwazoofisha au kuwawinda wanasiasa wengine.

Tangu umejiunga JF ulishawahi kujenga hoja gani yenye impact kwa jamii zaidi ya kujadili watu.Unatumia ID fake lakini uwezo wako wa kufikiri wa kusikitisha
 
Kweli pombe ni mbaya Lema nae ni CCM? Sisi tuna jadili uzi hapa JF ambao ni haki ya kila mtu ajadili,wewe unakandia watu humu kwani wewe Ben Saanane ni Moderator wa mijadala hapa JF? Au wewe unaishi hapa JF? Acha udikteta Ben,demokrasia ni kuvumilia na mawazo mabaya usiyo penda kwa watu wengine

Demokrasia ya kizuzu haipo kwenye kamusi yangu ya siasa.Msimamo wangu uko very clear.

Unafiki sio sehemu ya demokrasia maana Transparency ndiyo alama kuu ya demokrasia ninayoifahamu.So acha unafiki ili uingie katika kamusi yangu
 
Nasema Hivi siku mh Zitto akitangaza kukihama chadema kwa kufukuzwa au kwa lolote CCM Itafanya SHEREHE KUBWA hadharani,, sitaki kuamini kama zitto anaweza kuondoka chadema.....ILA KIONGOZI WA WASALITI NI LAZIMA ASALITIWE VIKALI

Hayo ni mawazo potofu,chadema ilipofikia kiongozi yoyote wa juu akiondoka,chama hakifi,ila nakiri kuwa kitatikisika kwa muda.
 
lema lema lema, be specular with what ur presenting, '' no researching, no right 2 speech, unless otherwise u will be bringing a fallacy 2 us. Nakushaur kamanda lema, Pitia coment zote, na maswali yanayokuhusu , uyatolee ufafanuz, ili watanzania wakuelewe ulichokua, unamaanisha.

Lema amepotoka na katika hili amenikwaza sana tena sana.
 
Ni kweli vita vya panzi......

Matatizo katika taasisi huwa hayakosekani na uimara wa taasisi unapimwa kutokana na uwezo wa kutatua matatizo na siyo uwezo wa kutengeneza matatizo kwa sababu kuna matatizo mengine yanatokana na mabadiliko ya mazingira kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa chama kuzuia kabla hajatokea.

Tatizo ninaloliona kwa CHADEMA kama chama ni vijana kuwa ndiyo nguzo ya chama kiasi kwamba hata wazee wa chama wamekuwa embedded kwenye nguzo hizo ambazo ziko dotted allover the place. Kigezo imara kwa siasa za Tanzania kwa chama kuweza kupambana na changamoto kama hii ni kwa vijana kuwa ndiyo embedded kwenye nguzo za wazee.

Shida inakuja pale tatizo linapojitokeza kama hili kwa sasa. Wazee kwa vile ni matawi tu (dependent) ndani ya chama, ndiyo maana wanakuwa hawana uwezo wa kulitatua, matokeo yake ndiyo haya kwa vile vijana bado damu yao ni moto na wana upungufu wa hekima na busara huku wakiongozwa na jaziba katika maamuzi ambayo ni delicate kama hili.

Inabidi dhana ya peoples power wairejee na waifanyie tathmini kuhusiana na jinsi inavyotumika katika changamoto za kimakundi ndani ya chama kwa faida ya chama. Hii ni kazi ya mkutano mkuu wa CHADEMA.
Mkuu hawa CHADEMA wanaidhalilisha demokrasia.
Halafu nfo wanstaka dhamans ys kuonhoza nchi?
Wangekuwa chama tawala leo, wengine tayari wangekuwa wako mortuary, ngumi hadharani na kwenye vikao, bado watoto hao!
 
mkuu unaejua niambie...lazima tukubali kutokubaliana ndipo tusonge mbele, siasa za visasi na kukamiana hazijengi zaidi ya kuongeza ufa kama taifa.

kwa post hii....hivi unafikiri Lema na Zito wanaweza kukaa pamoja na kujadili mambo ya msingi kwa maslai ya chama na Taifa.?

Viongozi waache ujinga wanatukatisha tamaa wananchi , na hatime kuifanya ccm itawale kwa muda mrefu zaidi

unajuaachokifanya huyo unaemtetea ndani ya chama chetu, uliwahi kukaachini na kuhesabu watu wangapi kasha sababisha kufukuzwa ndani ya chama? mkuu ni wakati wa kungia mizizi siyo matawi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom