Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
Unafiki ni kama huu una andika mafumbo bila kumtaja jina huyo msaliti Kiongozi! Taja jina uonekane na wewe sio mnafiki! Hapa Lema na wewe ni mnafiki huja taja jina la huyo unaemsema kuwa ni mnafiki
Kwani wewe CCM hili bandiko la Lema hapa linakuhusu nini?