Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
kuna kitu kinawaunganisha hawa .....kwanini wanachama wa ccm wako tayari kufa kwa ajili ya zitto tena mpinzani hahahhahahha its very funny shetani kumshauri Mungu namna kulinda watu wake
Mbona Jason Bourne kipindi anatoa allegations kwa zzk hakuja na Verified ID ya YERIKO NYERERE au unajitoa ufahamu???Inamaana mpaka leo hii hujui Jason Bourne ni nani?? stop kidding please unatia kichefuchefu
Tunatatizo la uongozi ndani ya Chadema, sikutegemea kiongozi mkubwa kama huyu kuja kuleta unafiki jf.
Duh Tanzania ni kama tuna safari sana kupata ukombozi wa ukweli.
Nimekuelewa kaka,We unamtumikia kafiri ili upate kaujira kako, ila Jitahidi kukontrol hisia zako!
Bandueni neno Taifa kwenye jikichwa lenu la hii habari, na muweke chadema, muone kama mtatuona hapa.
Mmetuvuta wenyewe halafu mnatuuliza tumefata nini? Unanchekesha!
JUA LA UTOSI kinacho kera sana ni vijana kama hawa akina Ben Saanane nao kujiingiza siasa za makundi kwa kushanikia ujinga ambao unabomoa zaidi ya kujenga! Nae Ben Saanane anjifanya ana IQ kubwa kwa kufokea watu hapa JF kisa yeye yupo upande wa akina Lema,slaa,mnyina na mbowe. Lema katoka juzi NCCR anajifanya nae ni mwasisi wa chadema anaenza kusema watu bila utaratibu
JUA LA UTOSI kinacho kera sana ni vijana kama hawa akina Ben Saanane nao kujiingiza siasa za makundi kwa kushanikia ujinga ambao unabomoa zaidi ya kujenga! Nae Ben Saanane anjifanya ana IQ kubwa kwa kufokea watu hapa JF kisa yeye yupo upande wa akina Lema,slaa,mnyina na mbowe. Lema katoka juzi NCCR anajifanya nae ni mwasisi wa chadema anaenza kusema watu bila utaratibu
Mkuu huyu jamaa nina mashaka na brain yake, hapo umembana ngoja utasikia 'nina kampuni yangu na biashara zangu....','nina elimu yangu, makampuni yananigombania ila nimekataa...n.k'. Ngoja akujibu uoneBen Saanane bila chadema kuna kazi gani unaweza fanya? Nakuona unawaza kwa kutumia tumbo zaidi!
Wewe CHADEMA inakuhusu nini?Kila siku unaitukana humu leo unaleta unafiki wa kutoa ushauri?Acha unafiki
Siasa za makundi?Mimi nimekua JF since 2007 na ninatoa mawazo yangu.Sifurahishi watu
Mie siyo msemaji wa Zitto kama mlikuwa amtaki tuchangie huu uzi mngepeleka Ufipa.Hivi una uhakika juwa Zitto hajisikii vibaya kuwa wasemaji wake na watetezi wake wakuu ni CCM? Mbona mnazidi kumharibia mwenzenu hasa wewe ambaye ni mdini mkuu na ambaye kwa nafasi yako ulipaswa uwe neutral katika masuala haya? Inashangaza na kutia aibu.
Mkuu huyu jamaa nina mashaka na brain yake, hapo umembana ngoja utasikia 'nina kampuni yangu na biashara zangu....','nina elimu yangu, makampuni yananigombania ila nimekataa...n.k'. Ngoja akujibu uone
Hivi ulitegemea nini cha maana kwa mtu anaebeba chupa za sumu kwenye chama cha siasa. Nnakuhakikishia hajui hata maana ya siasa ni nini.
Kambi ya Mafisadi na wapambanaji dhidi ya ufisadi huko ni umoja?So umejitoa kambi ya Membe siku hizi?
Ben Saanane leo umelewa pombe za viroba
Hii post yako inanihusu nini?Yaani vibaraka wa CCM mnanitumia nakala ya nini?Endeleeni kuyumia ID Fake na kufundishana ujinga hapa.Mnatukana matusi mfululizo ila tutawacharaza kwa hoja hadi mshike adabu
Hoja hapa ni kuwa Unafiki utalimaliza taifa.
Mie siyo msemaji wa Zitto kama mlikuwa amtaki tuchangie huu uzi mngepeleka Ufipa.
Mmeleta JF acheni tudadavue madhaifu yenu habari za msemaji wa Zitto sisi hayatuhusu.
Labda tufahamishe alichokisema Lema ndiyo kinamfurahisha Zitto?
Ben Saanane leo umelewa pombe za viroba
mkuu unaejua niambie...lazima tukubali kutokubaliana ndipo tusonge mbele, siasa za visasi na kukamiana hazijengi zaidi ya kuongeza ufa kama taifa.hujui unachokiongea..
Ben Saanane bila chadema kuna kazi gani unaweza fanya? Nakuona unawaza kwa kutumia tumbo zaidi!