Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Mheshimiwa Lema,

Hakika mimi niseme maneno machache tu,

Kwamda wa miaka 8 niliyoanza kuhudumu katika siasa kali niseme wazi, kikwazo kikuu cha kuelekea mageuzi ya kweli katika nchi hii kupitia siasa za mageuzi ni Zitto Zuber Kabwe,

Narudia tena Zitto Zuber Kabwe ndie msaliti namba moja na ndie kiongozi wa migogoro yote kila itokeapo ndani ya Chadema,

Sisi tumemaliza kazi yetu sasa tumewaachia wafanyamamuzi,

Sasa mkimshindwa tutachukua jukumu la kihafidhina zaidi wenyewe
Inabidi chama kimsikilize Main Actor Jason Bourne A.K.A Yericko Nyerere A.K.A Mfanyakazi wa Ikulu.

Kama anavyodai, yeye kazi yake ya ku-act waliyomtuma ameishaimaliza baada ya kuwa unmasked kilichobaki ni viongozi wa CHADEMA kufanya kazi yao.
Kweli ukiwa tapeli huwezi kuacha utapeli.
 
Last edited by a moderator:
mkuu mungi hujamshtukia huyo coward tu?nilimwambia aje na ile id yake really aone


wewe kikaragosi na njaa kali kaa utulie kabisa,

kama umeamua kumshawishi huyu mpuuzi mwenzako lema katika vita yenu na zitto kabwe tunapenda kuwahakikishia kwamba mtafeli tena kwa mara nyingine,

njaa kali na wachumia tumbo kama nyinyi,sisi ndio tutakuja sasa rasmi kuikomesha bii biashara yenu ya utumwa,

wasalimie mabwana zako wote wanaokutuma,na uwaambie shughuli ya zitto kabwe ni pevu sana,kama walidhani wataendeleza ukanda,udini na ukabila safari hii wamepotea njia sana,zitto atakomaa ndan ya chama hiki,na mamluki na njaa kali kama nyinyi hamtafika kokote...
 
Mheshimiwa sana Lema, kamanda ambaye nina imani nawe........katika hili siafikiani na wewe moja kwa moja. Nina mawazo sawa na yako kuwa yuko msaliti ndani ambaye baadhi ya wafuasi wake hawako nasi tena. Lakini wewe kama kiongozi wa ngazi ya juu chamani, tena mjumbe wa kamati kuu, hukupaswa kuyazungumzia haya humu JF. Nadhani itajengeka picha ya Mwigamba kuonewa hivi punde. Inaonekana wewe binafsi na Zitto Kabwe hampatani, na sasa mnarushiana vita vya maneno. Hata kama wewe hutaitika wito wa kulipeleka hili ngazi za Chama, Chama lazima kikuite ili uyathibitishe hayo na hatua stahiki zichukuliwe kwa ama wewe (ikithibitika unadanganya) ama Zitto ikithibitika ni msaliti. Vinginevyo hatutatofautiana na CCM, na hivyo kuyachelewesha mabadiliko.
 
ya mwigamba yaliathirije taasisi? Leo npo na nyinyi hadi umisukule uwatoke. Tunataka cdm iwe na vjana wanaoweza kutetea demokrasia na kusimamia ukweli

Hayafanani.Lema hapa katoa general statement kwa ID yake verified tofauti na aliyeandika tuhuma za uongo kuchafua chama na viongozi kwa ID fake

Walimu wako walipata shida sana kukuelimisha
 
Ukweli Usemwe:

Naona umekuja kujibu kwa id yako feki,

Njoo kwa jina lako halisi mkuu,

Mwandiga wanakushangaa

Acha upuuzi wewe. Mnazidi kujidhihirisha mlivyo waongo na waoga. Kazi kubuni buni mambo. Nawaruhusu mods waweke ID yangu kama kweli mimi ni huyo unayemdhania. Mmezoea uwongo kiasi kwamba hata woga wa kudanganya hamna. Jibuni hoja.
 
wewe kikaragosi na njaa kali kaa utulie kabisa,

kama umeamua kumshawishi huyu mpuuzi mwenzako lema katika vita yenu na zitto kabwe tunapenda kuwahakikishia kwamba mtafeli tena kwa mara nyingine,

njaa kali na wachumia tumbo kama nyinyi,sisi ndio tutakuja sasa rasmi kuikomesha bii biashara yenu ya utumwa,

wasalimie mabwana zako wote wanaokutuma,na uwaambie shughuli ya zitto kabwe ni pevu sana,kama walidhani wataendeleza ukanda,udini na ukabila safari hii wamepotea njia sana,zitto atakomaa ndan ya chama hiki,na mamluki na njaa kali kama nyinyi hamtafika kokote...

You are below my league.Nilishakupuuza muda mrefu na huwa sijibu post zako.Tafuta mateja wenzako.

Watu watanishangaa kuendelea kujibizana na kubwa jinga hapa.Mental Case.....!
 
wewe kikaragosi na njaa kali kaa utulie kabisa,

kama umeamua kumshawishi huyu mpuuzi mwenzako lema katika vita yenu na zitto kabwe tunapenda kuwahakikishia kwamba mtafeli tena kwa mara nyingine,

njaa kali na wachumia tumbo kama nyinyi,sisi ndio tutakuja sasa rasmi kuikomesha bii biashara yenu ya utumwa,

wasalimie mabwana zako wote wanaokutuma,na uwaambie shughuli ya zitto kabwe ni pevu sana,kama walidhani wataendeleza ukanda,udini na ukabila safari hii wamepotea njia sana,zitto atakomaa ndan ya chama hiki,na mamluki na njaa kali kama nyinyi hamtafika kokote...
THE BIG SHOW wape za mbavu hao vibaraka walamba viatu, lema alijua kwakuwa jf wamejaa misukule akaleta Uzi wake matokea yake wamebaki wale wale walamba viatu vyao kumtetea hapa jukwaani, Zitto kina kirefu Mbowe,slaa wanakijua ije kuwa huyu lema na wapambe wake kina sumu ya panya na Yule mtoto feki wa nyerere,
 
Last edited by a moderator:
Hayafanani.Lema hapa katoa general statement kwa ID yake verified tofauti na aliyeandika tuhuma za uongo kuchafua chama na viongozi kwa ID fake

Walimu wako walipata shida sana kukuelimisha

Wewe ndio kazi waliokupa, kutetea ujinga halafu unajifanya mtu wa principle. Kila siku unajifanya mtetezi wa watu kutumia vikao. Sasa huyo mjinga mwenzako Lema alishindwa nini kumpeleka huyo msaliti kwenye vikao? Woga na uwongo ndio mlichobaki nacho. Mbona hapa makao huna ubavu wa kupiga kelele, badala yake unakesha mitandaoni.
 
Mnaitana katika ushirika wenu wa wanga kwa kukiombea CHADEMA mabaya.Haitokei ,traitors wanashughulikiwa squarely.So just go home.Usivute kiti kusubiri

Mkuu mimi kama wa buku 7, sipendi CDM ife.
Inatusaidia sana kuona mabaya yetu, lakini hili la F4F wenu kutaka kufanya mapinduzi ndani ys CDM ili wawatoe real time thinkers linachekesha.
Of all the places bifu lenu mnalileta JF!
Kweli F4F noma.
 
wewe kikaragosi na njaa kali kaa utulie kabisa,

kama umeamua kumshawishi huyu mpuuzi mwenzako lema katika vita yenu na zitto kabwe tunapenda kuwahakikishia kwamba mtafeli tena kwa mara nyingine,

njaa kali na wachumia tumbo kama nyinyi,sisi ndio tutakuja sasa rasmi kuikomesha bii biashara yenu ya utumwa,

wasalimie mabwana zako wote wanaokutuma,na uwaambie shughuli ya zitto kabwe ni pevu sana,kama walidhani wataendeleza ukanda,udini na ukabila safari hii wamepotea njia sana,zitto atakomaa ndan ya chama hiki,na mamluki na njaa kali kama nyinyi hamtafika kokote...

what is this?????? ujinga huuu.
 
Unatoa vitisho ukiwa nyuma ya keyboard kwa ID fake?Njoo front kwa jina lako kama kweli wewe ni tishio kiasi hicho.Usitafute sympathy kama ilivyo kawaida yako.

Nyinyi hamchelewei kuwapora laptop nakuwapiga tofali,wacha wafumue tu mambo hata kwa fake ID tujue uozo wenu,
 
Lema utaendelea kulalamika kila siku mitandaoni...mipango uliopo hivi sasa ndani ya chama inajulikana... mumeanza kwa mwigamba mnataka kutengeneza ukabila ndani ya chama.... sisi wanachama hatutakubali chadema kuwa chama wachanga tuko nyuma ya hao unaowaita wasaliti....

Msaliti na wote mlio nyuma ya wasaliti jitihada zenu tumeziona.
Mmehakikisha madiwani wetu wafukuzwe kwa ajili ya juhudi zenu nyuma ya msaliti, mmesababisha watu wauawe Arusha kwa ajili ya juhudi zenu nyuma ya wasaliti, mmesababisha future za vijana akina mtela na julianza zianze kupotea kwa ajili ya juhudi zenu nyuma wa msaliti.
 
Mchaga mfanyie yote atakaa kimya lakini ukigusa hela yake basi jua umekwisha. Zitto atajuta kwanini alitibua dili la hawa jamaa zetu.
 
Yes...na wanamuogopa mno
mpaka Lema nae sasa ni attack dog ya Mbowe...
wanatamani kumfukuza but hawajui wanachama watasemaje so
kinachofanyika ni kushawishi watu kama hivi...

Nawe ni mwanasiasa?
 
Mi nadhani ndani ya CHADEMA kuna watu wenye busara na diplomats wazuri. Naamini ni muhimu wawashauri baadhi ya viongozi wa CDM ambao wanaamini katika kunangana kwenye mitandao kwamba wanakiweka chama pabaya... Wanatupa wakati mgumu sisi tunaotumia mda mwingi sana kukitetea chama at least humu mtandaoni...

Kwa hali kama hii inanifanya niutafakari upya "ushujaa" niliokuwa nimewapachika baadhi ya watu japo CHADEMA. Na bila shaka mambo haya yakiendelea binafsi nitaanza tena kuhofia kama kweli kila anayeimba "CHADEMA CHADEMA" anamaanisha kile anachokiimba...

Teh teh teh mwl imekuwa hivyo tena?
 
Lema,

Habari za siku,

Kama ulivyosema nyoka mdogo ndani ya nyumba ni hatari kuliko simba mia walio porini.

Lakini ukae ukijua huyo nyoka mdogo alikuwa mjusi tu kabla hamjaanza kumbagua mpaka akabadilika na kuwa nyoka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom